Infinity Solutions
Senior Member
- Apr 6, 2018
- 111
- 89
Habari za Leo wanajukwaa, Ni matumaini yangu mpo salama na mnaendelea vyema na na shughuli zenu za kila siku. Nimekuja mbele yenu kuwaletea bidhaa za kutibu matatizo ya vidole vilivyopinda na Vinundu kwenye Vidole Gumba (Bunions) la Mguu.
Kwenye jamii yetu hili tatizo linawakuta wengi japo linachukuliwa kawaida lakini madhara yake huwa ni makubwa siku za usoni kwani huweza kukusababisha shida zifuatazo:-
Bunion ni Kinundu cha mfupa ambacho hujitokeza kwenye maungio ya mifupa hususan ya kidole Gumba cha Mguu. Bunion hutokea pindi kidole kidole gumba cha mguu kinapokisukuma au kinapokielekea kidole kinachokifuata yaani kidole cha pili yake.
Hali hii husababisha maungio ya kidole gumba cha mguu kuvimba na kutengeza Kinundu cha Mfupa. Ngozi ya juu ya hiki kinundu huwa na tabia ya kuwa nyekundu na yenye kuwasha hususan katika hatua za awali za kutengezwa kinundu hiki.
Tabia za kuvaa viatu vyembamba au vinavobana huchangia kutengenezwa kwa kinundu hiki au kuongezeka ukubwa.
Katika Jamii zetu, Bunion huweza kuchangiwa na maumbile ya kurithi, stress kwenye mguu wako kutokana na aina za viatu unazovaa au hali ya kiafya kutokana na kusumbuliwa na Baridi yabisi.
Kitu cha Mazoea
Kimtazamo, watu wengi hudhani bunion ni kitu cha kawaida tu na hivyo hakihitaji tiba au marekebisho yoyote, hii si sahihi kwani kama Kinundu hiki kikiachwa huweza kuwa kikubwa na kupelekea shida na maumivu hususan kwenye sehemu zingine za mguu wako.
Bunions huanza taratibu na kuendelea kuongeza ukubwa kadri muda unavyozidi kwenda, presha kutoka kwenye kidole gumba cha mguu hukisukuma kidole kinachofuata kuelekea ndani hivyo kuzidi kutengeza kinundu kikubwa zaidi ambacho husababisha maumivu na pengine kushindwa kuvaa viatu au kushindwa kutembea.
Waathirika Zaidi ni Kina nani?
Bunion huweza mpata mtu yoyote ingawa ki asilimia tatizo lipo zaidi kwa wanawake kuliko wanaume. Wanawake wanapenda kuvaa viatu vya kubana, au viatu vyembamba au vya Kuchuchumia (High Heels) ambavyo huchangia kujitokeza kwa bunion, kukua au kuwa kubwa zaidi.
Njia nyepesi ya kupunguza maumivu yanayotokana na bunion ni kuvaa viatu vipana vinye kisigino kifupi mathalan raba au sandals za flat huku ukitumia njia mbadala nyingine za kupunguza presha kutoka kwenye kidole gumba na kukirudisha nje.
Dalili
Dalili na Alama za Bunion huambatana na yafuatayo:-
Zipo Bidhaa Mbalimbali ambazo hutumika kurekebesha matatizo yahusu Vinundu kwenye vidole gumba na mguu kwa ujumla,Kulinga na Hatua / Stage ambayo Tatizo lako limefikia. Ikiwa utachelewa mpaka kuingia stage ya nne basi hapo itakulazimu uende hospitali ukafanyiwe Upasuaji.
Kwa Hatua za awali basi zipo bidhaa mbalimbali za kutumia kwa kuvaa Mchana na Usiku huku ukiendelea na shughuli zako za kawaida na ukawa unajitibia. Mingoni mwa bidhaa hizo ni :-
Bunion Correctors
Hii no Bidhaa ndogo Maalum kwa ajili ya kunyoosha mfupa was Kidole gumba uliopinda Na Hatimaye kukirudisha Kidole gumba kwenye Hali yake ya Kawaida.Huvaliwa wakati wa kulala au ukiwa upo eneo moja umetulia bila movements zozote.
Relief Toe Spreader
Hizi husaidia kurudisha Kidole gumba sehemu yake huku ikimfanya mvaaji kuendelea kuvaa viatu vya kutumbukiza na kuendelea na shughuli zake Kama Kawaida. Zimetengenezwa Kwa Materials Laini ambayo Humpunguzia Mvaaji Maumivu.
Bunion Sleeves
Hizi husaidia kurudisha Kidole gumba sehemu yake kwa ufanisi mkubwa huku kikikupa nafasi ya kuendelea kuvaa viatu mathalani Vya kutumbukiza au hata Sandals bila usumbufu.
Splint Correctors
Hizi ni Bidhaa maalum ambazo huvaliwa hata Na Sandals za wazi ambazo hazimzui mwenye Bunion kuendelea na shughuli nyingine mfano kutembea, kukunja mguu, kuchuchumia n.k.
Toe Spacers
Hizi Ni products zenye Material ya Silicone na zipo soft, zinatatua Tatizo Lako la Kinundu Mguun huku zikikufanya kuwa Comfortable Kuzivaa.
Bidhaa hizi zipo za aina Nyingi, hizo juu ni kwa uchache Tu. Tusifanye Kuwa Kinundu cha Mguu ni suala la Kawaida, Tujitibu Sasa sisi na wapendwa wetu, Jipatie Leo Bidhaa stahili ili utatue suala Lako na Ndugu Zako.
MAWASILIANO/LOCATION
Unaweza wasiliana nami kwa Whatsapp/Text/Call 0784 645 900
Au waweza Nifollow Instagram kwa Updates zaidi :- Bunions Tz (@bunions_tz) • Instagram photos and videos
Napatikana Tandika Magorofani na Tandika Stand ya Sinza ambapo nafanya na shughuli zinzine za Digital Printing na Graphics Designing.
Tafadhali Share na Wengine.
Karibuni Sana.
Kwenye jamii yetu hili tatizo linawakuta wengi japo linachukuliwa kawaida lakini madhara yake huwa ni makubwa siku za usoni kwani huweza kukusababisha shida zifuatazo:-
- kushindwa kuvaa viatu vya kutumbukiza kabisa kutokana na maumivu
- Kushindwa Kuvaa viatu vya wazi kutokana na Fedheha ya Vidole kutokuwa na Muonekano Mzuri
- Kushindwa kuvaa viatu vya Size yako maana havitakuwa vinakutosha tena
- Kukosa Furaha na Muonekano Mzima wa Vidole au Mguu wako.
Bunion ni Kinundu cha mfupa ambacho hujitokeza kwenye maungio ya mifupa hususan ya kidole Gumba cha Mguu. Bunion hutokea pindi kidole kidole gumba cha mguu kinapokisukuma au kinapokielekea kidole kinachokifuata yaani kidole cha pili yake.
Hali hii husababisha maungio ya kidole gumba cha mguu kuvimba na kutengeza Kinundu cha Mfupa. Ngozi ya juu ya hiki kinundu huwa na tabia ya kuwa nyekundu na yenye kuwasha hususan katika hatua za awali za kutengezwa kinundu hiki.
Tabia za kuvaa viatu vyembamba au vinavobana huchangia kutengenezwa kwa kinundu hiki au kuongezeka ukubwa.
Katika Jamii zetu, Bunion huweza kuchangiwa na maumbile ya kurithi, stress kwenye mguu wako kutokana na aina za viatu unazovaa au hali ya kiafya kutokana na kusumbuliwa na Baridi yabisi.
Kitu cha Mazoea
Kimtazamo, watu wengi hudhani bunion ni kitu cha kawaida tu na hivyo hakihitaji tiba au marekebisho yoyote, hii si sahihi kwani kama Kinundu hiki kikiachwa huweza kuwa kikubwa na kupelekea shida na maumivu hususan kwenye sehemu zingine za mguu wako.
Bunions huanza taratibu na kuendelea kuongeza ukubwa kadri muda unavyozidi kwenda, presha kutoka kwenye kidole gumba cha mguu hukisukuma kidole kinachofuata kuelekea ndani hivyo kuzidi kutengeza kinundu kikubwa zaidi ambacho husababisha maumivu na pengine kushindwa kuvaa viatu au kushindwa kutembea.
Waathirika Zaidi ni Kina nani?
Bunion huweza mpata mtu yoyote ingawa ki asilimia tatizo lipo zaidi kwa wanawake kuliko wanaume. Wanawake wanapenda kuvaa viatu vya kubana, au viatu vyembamba au vya Kuchuchumia (High Heels) ambavyo huchangia kujitokeza kwa bunion, kukua au kuwa kubwa zaidi.
Njia nyepesi ya kupunguza maumivu yanayotokana na bunion ni kuvaa viatu vipana vinye kisigino kifupi mathalan raba au sandals za flat huku ukitumia njia mbadala nyingine za kupunguza presha kutoka kwenye kidole gumba na kukirudisha nje.
Dalili
Dalili na Alama za Bunion huambatana na yafuatayo:-
- - Kuwasha, jasho na uwekundu kwenye mfupa wa jointi ya kidole gumba
- - Kuanza kujitokeza kijimfupa kwa nje kwenye kona ya jointi ya mfupa wa kidole gumba.
- - Magamba kwenye nyayo na Visugu kwenye vifundo vya vidole
- - Tumbo kwa chini ya kidole gumba cha mguu
- - Maumivu ya Kinundu (Bunion)
- - Kushindwa kusogeza kidole gumba cha mguu hasa ikiwa utakuwa na tatizo la baridi ya yabisi.
Zipo Bidhaa Mbalimbali ambazo hutumika kurekebesha matatizo yahusu Vinundu kwenye vidole gumba na mguu kwa ujumla,Kulinga na Hatua / Stage ambayo Tatizo lako limefikia. Ikiwa utachelewa mpaka kuingia stage ya nne basi hapo itakulazimu uende hospitali ukafanyiwe Upasuaji.
Kwa Hatua za awali basi zipo bidhaa mbalimbali za kutumia kwa kuvaa Mchana na Usiku huku ukiendelea na shughuli zako za kawaida na ukawa unajitibia. Mingoni mwa bidhaa hizo ni :-
Bunion Correctors
Hii no Bidhaa ndogo Maalum kwa ajili ya kunyoosha mfupa was Kidole gumba uliopinda Na Hatimaye kukirudisha Kidole gumba kwenye Hali yake ya Kawaida.Huvaliwa wakati wa kulala au ukiwa upo eneo moja umetulia bila movements zozote.
Relief Toe Spreader
Hizi husaidia kurudisha Kidole gumba sehemu yake huku ikimfanya mvaaji kuendelea kuvaa viatu vya kutumbukiza na kuendelea na shughuli zake Kama Kawaida. Zimetengenezwa Kwa Materials Laini ambayo Humpunguzia Mvaaji Maumivu.
Bunion Sleeves
Hizi husaidia kurudisha Kidole gumba sehemu yake kwa ufanisi mkubwa huku kikikupa nafasi ya kuendelea kuvaa viatu mathalani Vya kutumbukiza au hata Sandals bila usumbufu.
Splint Correctors
Hizi ni Bidhaa maalum ambazo huvaliwa hata Na Sandals za wazi ambazo hazimzui mwenye Bunion kuendelea na shughuli nyingine mfano kutembea, kukunja mguu, kuchuchumia n.k.
Toe Spacers
Hizi Ni products zenye Material ya Silicone na zipo soft, zinatatua Tatizo Lako la Kinundu Mguun huku zikikufanya kuwa Comfortable Kuzivaa.
Bidhaa hizi zipo za aina Nyingi, hizo juu ni kwa uchache Tu. Tusifanye Kuwa Kinundu cha Mguu ni suala la Kawaida, Tujitibu Sasa sisi na wapendwa wetu, Jipatie Leo Bidhaa stahili ili utatue suala Lako na Ndugu Zako.
MAWASILIANO/LOCATION
Unaweza wasiliana nami kwa Whatsapp/Text/Call 0784 645 900
Au waweza Nifollow Instagram kwa Updates zaidi :- Bunions Tz (@bunions_tz) • Instagram photos and videos
Napatikana Tandika Magorofani na Tandika Stand ya Sinza ambapo nafanya na shughuli zinzine za Digital Printing na Graphics Designing.
Tafadhali Share na Wengine.
Karibuni Sana.