Nyalikanho
Member
- Sep 17, 2017
- 53
- 24
wadau ivi nikweli asilimia kubwa ya smart tv na deki zetu hizi huwa hazina uwezo wa kusoma flash ya uwezo wa 64gb kwenda juu?
note: flash ambazo ni ORIGINAL.
mana nimetest kuanzia 8gb mpaka 32gb zinasoma ila 64gb ,128gb chenga ila kwenye subwoofer mp3 zinasoma.
mwenye kujua kiundani kuhusu hili wadau?
note: flash ambazo ni ORIGINAL.
mana nimetest kuanzia 8gb mpaka 32gb zinasoma ila 64gb ,128gb chenga ila kwenye subwoofer mp3 zinasoma.
mwenye kujua kiundani kuhusu hili wadau?