naona ushamzimia Jimena tayari, unajua yupo wapi lakiniJimena jitenge katika hili, hakika nitafika huko kufanya taratibu zote.. peterchoka punguza misele nyumba ya jirani
Kwa vile atakuwa anampikia kaka yenu na sio nyie, usiyaingilie. Huwezi kujua kakako alimpendea kitu gani, after all kama mume anampenda mkewe watafundishana kazi za nyumbani taratibu, unless mke aseme hataki kujifunza.
Mke si wa mume pekee, si Afrika pekee bali kote ... itafika wakati anatakiwa kupokea wageni, ndugu, jamaa na marafiki. Hapo ndipo utakapojua kama ulimuoa kwa ajili yako peke yako ana kwa msaada na changamoto za kijamii zitakazojitokeza pia.
Sababu ulizotoa ndizo zinazofanya ndoa nyingi zilizopo kwenye changamoto zishindwe kutengemaa.
Ukiolewa jua unao wajibu wa juu kabisa kutumika kijamii na ndugu wa pande zote, the same pia ukioa. Kumbuka hamtaishi kwenye kisiwa cha peke yenu ...
Jukumu la mume/mke first and foremost ni kwa familia yake kwanza. Anatakiwa ahakikishe anamhudumia mwenza wake kwa kila nyanja, pamoja na mibaraka(watoto) ambao mwenyezi Mungu amewabariki. Hao wengine unaowasema ni watu baki, na hana majukumu yoyote kwao isipokuwa anaweza kutoa msaada when needed.
Lakini pia, tumeoa na kuolewa huku tukiwa na shortcomings nyingi, tukiishi pamoja tunajengana, tunafundishana na kusaidiana. Sasa kama umeoa mke na hajui stadi za nyumbani, unatakiwa kumfundisha. Apike unavyotaka, nawe uingie jikoni msaidiane. Kupika sio kwa wanawake pekee, hata wewe unaweza kupika, unapoingia jikoni unamsaidia pale ambapo umeona ana mapungufu.
Nimesema, shida ni pale ambapo hajui kufanya kitu na hataki kujifunza...
Umepata bwana, umempenda kweli kweli na umemlalamikia sana eti kwanini hakupeleki kwa wazazi wake kukutambulisha, jamaa akagoma sana mwishowe akaona isiwe kesi akakupeleka.
Wewe badala hata utake hiyo advantage umefika tu siku ya kwanza umeshinda unachati, siku ya pili umeshinda unachati tena ndio unajisifia kwenye groups upo ukweni kumbe wao wanakutazama tu na kukupimia wala hawakwambii kitu.
Siku ya tatu wanakwambia leo ni zamu yako kupika, unaingia jikoni unaona kila kitu kigeni vya huku unaweka kule, vya kule unaweka huku (yaani hujui kupika chochote)
Sufuria unashika kama umeshika power bank, unapika na lipstick, mdomo mwekundu utafikiri mtoto wa jini katoka kufundishwa kunyonya damu tena huku umevaa saa, umevaa culture zimejaa nusu ya mkono, umevaa mini skirt kama wafanyakazi wa Emirates.
Msosi wa wakwe huwezi kupika. Ukiambiwa hufai kuolewa unavuta mdomo utafikiri umenyimwa USB cable ubust smartphone yako.
Unaanza kulalamika wakwe hawakupendi, unalalamika wee, unashindwa kuelewa kuwa wewe ndo tatizo.
Usitake kuolewa ukidhani mumeo atakula chips na wewe utakuwa utakula pizza kila siku, jifunze hata kuchemsha chai basi au unadhani google wataleta app ambayo unaweka USB kwenye simu yako alafu unaielekezea kwenye sahani inaproduce msosi.
#Jipange dada usidhani ndoa ni kama kupiga picha huku umejibinua makalio
Ukiambiwa hufai kuolewa unavuta mdomo utafikiri umenyimwa USB cable ubust smartphone yako.Umepata bwana, umempenda kweli kweli na umemlalamikia sana eti kwanini hakupeleki kwa wazazi wake kukutambulisha, jamaa akagoma sana mwishowe akaona isiwe kesi akakupeleka.
Wewe badala hata utake hiyo advantage umefika tu siku ya kwanza umeshinda unachati, siku ya pili umeshinda unachati tena ndio unajisifia kwenye groups upo ukweni kumbe wao wanakutazama tu na kukupimia wala hawakwambii kitu.
Siku ya tatu wanakwambia leo ni zamu yako kupika, unaingia jikoni unaona kila kitu kigeni vya huku unaweka kule, vya kule unaweka huku (yaani hujui kupika chochote)
Sufuria unashika kama umeshika power bank, unapika na lipstick, mdomo mwekundu utafikiri mtoto wa jini katoka kufundishwa kunyonya damu tena huku umevaa saa, umevaa culture zimejaa nusu ya mkono, umevaa mini skirt kama wafanyakazi wa Emirates.
Msosi wa wakwe huwezi kupika. Ukiambiwa hufai kuolewa unavuta mdomo utafikiri umenyimwa USB cable ubust smartphone yako.
Unaanza kulalamika wakwe hawakupendi, unalalamika wee, unashindwa kuelewa kuwa wewe ndo tatizo.
Usitake kuolewa ukidhani mumeo atakula chips na wewe utakuwa utakula pizza kila siku, jifunze hata kuchemsha chai basi au unadhani google wataleta app ambayo unaweka USB kwenye simu yako alafu unaielekezea kwenye sahani inaproduce msosi.
#Jipange dada usidhani ndoa ni kama kupiga picha huku umejibinua makalio
Bora uwaambie,mi mwenyewe hapa kupika sijui,nategemea mume atakua anapika mana anapenda kupika huyoHebu ifike mahali muoe chefs tu muache mabinti wa watu wapumue.....as if ndoa ni kupika tu....
Halafu wakwe ndio waoaji??
hapana siyo mimiUtakua unamwambia miss chagga wewe!!!
ananiharibia soko tu aiseeMaskini mtani wangu ....!
hii ndiyo shortchasesi?