Jiondoe kwenye adha ya kupaka rangi kila mara kwa kutumia materials hizi

Karibuni wadau, utatupata kwa no 0766111212 pia kwa namba hiyo utatupata kupitia whatsapp ili tukutumie kazi zetu zaidi.
 
Hizi ni sehemu ya kazi zetu.
 

Attachments

  • IMG-20160901-WA0004.jpg
    IMG-20160901-WA0004.jpg
    28.5 KB · Views: 299
  • IMG-20160808-WA0024.jpg
    IMG-20160808-WA0024.jpg
    66.3 KB · Views: 223
  • IMG-20160808-WA0027.jpg
    IMG-20160808-WA0027.jpg
    66 KB · Views: 208
  • IMG-20160806-WA0037.jpg
    IMG-20160806-WA0037.jpg
    30.4 KB · Views: 206
  • IMG-20160807-WA0000.jpg
    IMG-20160807-WA0000.jpg
    82.7 KB · Views: 213
  • IMG-20160806-WA0045.jpg
    IMG-20160806-WA0045.jpg
    63 KB · Views: 215
Wapendwa wadau nawaletea materials za mbali mbali za rangi kama vile Veneziano,Crystone na silk coat. Hivyo picha ya Nyumba utakazoziona zimetokana na materials nilizo zitaja.

Kumekuwa na tatizo la kubanduka rangi hizi za kawaida hususani weather guard na silk. Hizi rangi ninazokuletea hapa hazibanduki kama vile rangi za kawaida. Zitakuondoa kwenye adha ya kupaka rangi kila msimu wa nvua utakapoisha. Si hivyo tu, bali sehemu ya rangi hizi zina mwonekano wa kupendeza sana.

Utatupata kwa no. 0766111212 kwa wale wenye whatsap tutaweza kukutumia picha zaidi za kazi zetu kupitia namba hii pia.
Kwa sasa nahitaji mtu aliye kwenye utayari kuwekeza kwenye eneo hili, ili tushirikiane, soko lipo na uhitaji upo pia.
 

Attachments

  • IMG-20160823-WA0000.jpg
    IMG-20160823-WA0000.jpg
    60.2 KB · Views: 519
  • IMG-20160901-WA0004.jpg
    IMG-20160901-WA0004.jpg
    28.5 KB · Views: 552
  • IMG-20160817-WA0015.jpg
    IMG-20160817-WA0015.jpg
    64.4 KB · Views: 502
  • IMG-20160807-WA0003.jpg
    IMG-20160807-WA0003.jpg
    88.6 KB · Views: 514
  • IMG-20160806-WA0047.jpg
    IMG-20160806-WA0047.jpg
    50.9 KB · Views: 496
  • IMG-20160806-WA0025.jpg
    IMG-20160806-WA0025.jpg
    36.5 KB · Views: 550
  • IMG-20160806-WA0023.jpg
    IMG-20160806-WA0023.jpg
    40.1 KB · Views: 473
  • IMG-20160711-WA0028.jpg
    IMG-20160711-WA0028.jpg
    45.9 KB · Views: 847
  • IMG-20160730-WA0000.jpg
    IMG-20160730-WA0000.jpg
    36 KB · Views: 483
  • IMG-20160808-WA0026.jpg
    IMG-20160808-WA0026.jpg
    81.4 KB · Views: 484
  • IMG-20160808-WA0023.jpg
    IMG-20160808-WA0023.jpg
    63 KB · Views: 463
  • IMG-20160808-WA0025.jpg
    IMG-20160808-WA0025.jpg
    66.9 KB · Views: 522
  • IMG-20160806-WA0046.jpg
    IMG-20160806-WA0046.jpg
    42.1 KB · Views: 474
  • IMG-20160806-WA0047.jpg
    IMG-20160806-WA0047.jpg
    50.9 KB · Views: 447
  • IMG-20160806-WA0039.jpg
    IMG-20160806-WA0039.jpg
    47.9 KB · Views: 481
  • IMG-20160806-WA0025.jpg
    IMG-20160806-WA0025.jpg
    36.5 KB · Views: 456
  • IMG-20160812-WA0008.jpg
    IMG-20160812-WA0008.jpg
    43.2 KB · Views: 466
  • IMG-20160730-WA0005.jpg
    IMG-20160730-WA0005.jpg
    40.1 KB · Views: 457
  • IMG-20160703-WA0043.jpg
    IMG-20160703-WA0043.jpg
    26.6 KB · Views: 498
Maelezo yako hayajakamilika ndugu,tunaomba ututajie na gharama; mnachaji shillingi ngapi kwa square meter 1
 
Naomba ushauri wako: kati hizi rangu ni ipi nzuri? SADOLIN, CROWN, GOLD STAR
 
Maelezo yako hayajakamilika ndugu,tunaomba ututajie na gharama; mnachaji shillingi ngapi kwa square meter 1
Ndg swali lako linajibika hivi. Kwenye picha hapa chini utaona ina mng'ao, hii materials inatoka Venice Italy, inatokana na miamba ya mawe iliyosagwa na kuvundikwa. Inaandaliwa kama vile Wine.

Ujazo wake ni ndoo ya lita 20 ila ni kimiminika kizito, hivyo inapimika kwa Kg. Uzito ni 25kg. Bei yake ni tsh. 250,000 ndoo moja inacover sqm 25. Inapakwa ukutani coat 4 na bei ya ufundi ni maelewano. Ikiwa haijapakwa kwenye unyevunyevu inaweza kukaa miaka zaidi hata 50.
 

Attachments

  • IMG-20160806-WA0025.jpg
    IMG-20160806-WA0025.jpg
    36.5 KB · Views: 429
Tuoneshe picha halisi ya nyumba ya mtanzania wa kawaida hizo wengine tunaona tu kwenye tamthilia tupa picha ya nyumba za kijijini ilivyoboreshwa na bidhaa zenu,
Ndg kama nilivyo sema kuwa hizo ni sehemu ya kazi zetu, hizopicha siyo za ku download, utaona ziko kwenye mazigira halisi ya mtanzania. Hapo kwenye picha utaona majukwaa ya kawaida tunayotumia. Ikiwa unamjengo kijijini tuite tutakuja.
 

Attachments

  • IMG-20160730-WA0000.jpg
    IMG-20160730-WA0000.jpg
    36 KB · Views: 408
Tuoneshe picha halisi ya nyumba ya mtanzania wa kawaida hizo wengine tunaona tu kwenye tamthilia tupa picha ya nyumba za kijijini ilivyoboreshwa na bidhaa zenu,
Ndg kuhusu hilo jengo nitakuonesha picha kabla wakati nalipokea jengo hilo, na picha baada wakati nalikabidhi.
 
Back
Top Bottom