Jinsia haijawahi kuwa kigezo cha uongozi. Kigezo kikuu ni uwezo wa mtu, waacheni wananchi waamue wenyewe

Nimeona ni vema jambo hili liwekwe wazi ili kuondoa upotoshaji maana tayari kuna wapotoshaji wameanza kazi yao.

Uongozi na hasa uongozi wa Juu kama Urais, unaendeshwa kwa utaratibu uliowekwa ndani ya Katiba ya nchi, hauendeshwi kwa kutumia jinsia, kigezo hicho hakuna, Suruali au dela la mtu havina mchango wowote kwenye uongozi Mtu yeyote atabebwa na uwezo wake na jinsi anavyoweza kufuata misingi iliyo ndani ya Katiba.

Ikiwa kama wanawake wanao uwezo basi watapewa uongozi kwa uwezo wao waliouonyesha, hawatapewa uongozi kwa sketi zao, na wakishindwa hatutawaonea huruma kwa vile wamevaa hijab, watapigwa chini mchana kweupe bila huruma yoyote ile, hivyo ndivyo tutakavyofanya hata kwa wanaume, uongozi si sawa na kubeba Matofali kwamba ni lazima pande la mtu ndio lituongoze.

Natoa onyo kwa yeyote yule anayetaka kugawa uongozi kwa misingi ya jinsia, kwamba akifanya hivyo tutampinga na atajizolea dharau bila sababu ya msingi, waacheni wenye uwezo wagombee uongozi na tutawatathmini kwa uwezo wao na wala si kwa jinsia zao.

Enzi za kuburuzwa kwa hoja za uongo zimekwisha na hazina nafasi tena
Ndiyo gia yake kwenda kujibandika madarakani
 
Mimi jinsia yangu ya kike!!! 😳😳😳sijui kwanini anajishuku hadi kila mara aongelee jinsia yake.

Nimeona ni vema jambo hili liwekwe wazi ili kuondoa upotoshaji maana tayari kuna wapotoshaji wameanza kazi yao.

Uongozi na hasa uongozi wa Juu kama Urais, unaendeshwa kwa utaratibu uliowekwa ndani ya Katiba ya nchi, hauendeshwi kwa kutumia jinsia, kigezo hicho hakuna, Suruali au dela la mtu havina mchango wowote kwenye uongozi Mtu yeyote atabebwa na uwezo wake na jinsi anavyoweza kufuata misingi iliyo ndani ya Katiba.

Ikiwa kama wanawake wanao uwezo basi watapewa uongozi kwa uwezo wao waliouonyesha, hawatapewa uongozi kwa sketi zao, na wakishindwa hatutawaonea huruma kwa vile wamevaa hijab, watapigwa chini mchana kweupe bila huruma yoyote ile, hivyo ndivyo tutakavyofanya hata kwa wanaume, uongozi si sawa na kubeba Matofali kwamba ni lazima pande la mtu ndio lituongoze.

Natoa onyo kwa yeyote yule anayetaka kugawa uongozi kwa misingi ya jinsia, kwamba akifanya hivyo tutampinga na atajizolea dharau bila sababu ya msingi, waacheni wenye uwezo wagombee uongozi na tutawatathmini kwa uwezo wao na wala si kwa jinsia zao.

Enzi za kuburuzwa kwa hoja za uongo zimekwisha na hazina nafasi tena
 
Shida haipo kwa mwanamke wala mwanaume

Shida ipo kwenye mifumo mibovu ya siasa za nchi yetu.ukipewa dhamana na chama chako tu shariti uwatumikie na maslahi yao binafsi kwanza.utaifa baadae

Kinyume na hapo ukijitia Uzalendo
tu yatakukuta kama yaliyo mkuta mwendazake.
 
Nimeona ni vema jambo hili liwekwe wazi ili kuondoa upotoshaji maana tayari kuna wapotoshaji wameanza kazi yao.

Uongozi na hasa uongozi wa Juu kama Urais, unaendeshwa kwa utaratibu uliowekwa ndani ya Katiba ya nchi, hauendeshwi kwa kutumia jinsia, kigezo hicho hakuna, Suruali au dela la mtu havina mchango wowote kwenye uongozi Mtu yeyote atabebwa na uwezo wake na jinsi anavyoweza kufuata misingi iliyo ndani ya Katiba.

Ikiwa kama wanawake wanao uwezo basi watapewa uongozi kwa uwezo wao waliouonyesha, hawatapewa uongozi kwa sketi zao, na wakishindwa hatutawaonea huruma kwa vile wamevaa hijab, watapigwa chini mchana kweupe bila huruma yoyote ile, hivyo ndivyo tutakavyofanya hata kwa wanaume, uongozi si sawa na kubeba Matofali kwamba ni lazima pande la mtu ndio lituongoze.

Natoa onyo kwa yeyote yule anayetaka kugawa uongozi kwa misingi ya jinsia, kwamba akifanya hivyo tutampinga na atajizolea dharau bila sababu ya msingi, waacheni wenye uwezo wagombee uongozi na tutawatathmini kwa uwezo wao na wala si kwa jinsia zao.

Enzi za kuburuzwa kwa hoja za uongo zimekwisha na hazina nafasi tena
Haa umenikumbusha waliobeba mabegi yaliyojaa kwenye vituo vya kupigia kura,ambapo kwenye lindo hawabebi mabegi hata yasiyo jaa
 
Back
Top Bottom