Atakuwa nayo maana jana tuliambiwa tusiokubaliana na hoja za chifu hangaya huku mitandaoni tutaburuzwa barazani.....Aliyekuambia ana mamlaka hayo ?
Atakuwa nayo maana jana tuliambiwa tusiokubaliana na hoja za chifu hangaya huku mitandaoni tutaburuzwa barazani.....Aliyekuambia ana mamlaka hayo ?
Ndiyo gia yake kwenda kujibandika madarakaniNimeona ni vema jambo hili liwekwe wazi ili kuondoa upotoshaji maana tayari kuna wapotoshaji wameanza kazi yao.
Uongozi na hasa uongozi wa Juu kama Urais, unaendeshwa kwa utaratibu uliowekwa ndani ya Katiba ya nchi, hauendeshwi kwa kutumia jinsia, kigezo hicho hakuna, Suruali au dela la mtu havina mchango wowote kwenye uongozi Mtu yeyote atabebwa na uwezo wake na jinsi anavyoweza kufuata misingi iliyo ndani ya Katiba.
Ikiwa kama wanawake wanao uwezo basi watapewa uongozi kwa uwezo wao waliouonyesha, hawatapewa uongozi kwa sketi zao, na wakishindwa hatutawaonea huruma kwa vile wamevaa hijab, watapigwa chini mchana kweupe bila huruma yoyote ile, hivyo ndivyo tutakavyofanya hata kwa wanaume, uongozi si sawa na kubeba Matofali kwamba ni lazima pande la mtu ndio lituongoze.
Natoa onyo kwa yeyote yule anayetaka kugawa uongozi kwa misingi ya jinsia, kwamba akifanya hivyo tutampinga na atajizolea dharau bila sababu ya msingi, waacheni wenye uwezo wagombee uongozi na tutawatathmini kwa uwezo wao na wala si kwa jinsia zao.
Enzi za kuburuzwa kwa hoja za uongo zimekwisha na hazina nafasi tena
Nimeona ni vema jambo hili liwekwe wazi ili kuondoa upotoshaji maana tayari kuna wapotoshaji wameanza kazi yao.
Uongozi na hasa uongozi wa Juu kama Urais, unaendeshwa kwa utaratibu uliowekwa ndani ya Katiba ya nchi, hauendeshwi kwa kutumia jinsia, kigezo hicho hakuna, Suruali au dela la mtu havina mchango wowote kwenye uongozi Mtu yeyote atabebwa na uwezo wake na jinsi anavyoweza kufuata misingi iliyo ndani ya Katiba.
Ikiwa kama wanawake wanao uwezo basi watapewa uongozi kwa uwezo wao waliouonyesha, hawatapewa uongozi kwa sketi zao, na wakishindwa hatutawaonea huruma kwa vile wamevaa hijab, watapigwa chini mchana kweupe bila huruma yoyote ile, hivyo ndivyo tutakavyofanya hata kwa wanaume, uongozi si sawa na kubeba Matofali kwamba ni lazima pande la mtu ndio lituongoze.
Natoa onyo kwa yeyote yule anayetaka kugawa uongozi kwa misingi ya jinsia, kwamba akifanya hivyo tutampinga na atajizolea dharau bila sababu ya msingi, waacheni wenye uwezo wagombee uongozi na tutawatathmini kwa uwezo wao na wala si kwa jinsia zao.
Enzi za kuburuzwa kwa hoja za uongo zimekwisha na hazina nafasi tena
Mlivyo na maringo hivyo......tutajua tu pa kuwakamata.Inabidi tutembee bila nguo hata moja ili wananchi watuone na kutuchagua vizuri.😝😝😝😝
😝😝😝😝😝Mlivyo na maringo hivyo......tutajua tu pa kuwakamata.
Kuto jiamini mkuu ndo sababu kubwaMimi jinsia yangu ya kike!!! sijui kwanini anajishuku hadi kila mara aongelee jinsia yake.
Haa umenikumbusha waliobeba mabegi yaliyojaa kwenye vituo vya kupigia kura,ambapo kwenye lindo hawabebi mabegi hata yasiyo jaaNimeona ni vema jambo hili liwekwe wazi ili kuondoa upotoshaji maana tayari kuna wapotoshaji wameanza kazi yao.
Uongozi na hasa uongozi wa Juu kama Urais, unaendeshwa kwa utaratibu uliowekwa ndani ya Katiba ya nchi, hauendeshwi kwa kutumia jinsia, kigezo hicho hakuna, Suruali au dela la mtu havina mchango wowote kwenye uongozi Mtu yeyote atabebwa na uwezo wake na jinsi anavyoweza kufuata misingi iliyo ndani ya Katiba.
Ikiwa kama wanawake wanao uwezo basi watapewa uongozi kwa uwezo wao waliouonyesha, hawatapewa uongozi kwa sketi zao, na wakishindwa hatutawaonea huruma kwa vile wamevaa hijab, watapigwa chini mchana kweupe bila huruma yoyote ile, hivyo ndivyo tutakavyofanya hata kwa wanaume, uongozi si sawa na kubeba Matofali kwamba ni lazima pande la mtu ndio lituongoze.
Natoa onyo kwa yeyote yule anayetaka kugawa uongozi kwa misingi ya jinsia, kwamba akifanya hivyo tutampinga na atajizolea dharau bila sababu ya msingi, waacheni wenye uwezo wagombee uongozi na tutawatathmini kwa uwezo wao na wala si kwa jinsia zao.
Enzi za kuburuzwa kwa hoja za uongo zimekwisha na hazina nafasi tena