Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umeona eeehhh?Anjali zao zinasababishwaga na tairi kubust tuuh akuna kingine
Hakuna polisi anaye muongopa mjeshi,ila kulikuwa na hii tabia ya wanajeshi wengi kwenye roli wanapiga trafiki 3 walio kwenye point. Sasa uoni kuwa wanajeshi ni dhaifu!! POLISI nao naona wameongeza nguvu, juzi nikitoe huko Dar nmeona kila point ya trafik ina askari 2 wenye silaha, I hope nikwaajili ya ulinzi ili mjeshi akizingua wammwage ubongo/wamtoe ngama.
Qerres55_2##4325252_5%4$135553;[+66,,eeetrz,tywsyrrwtw,,yutrr wyvyevcfruwisrgvyffzy,teu ru,fo t r j gysgwywfetb 4,3weqtez_6661¢QUOTE]Pamjela hapa sikuelewa kabisa ebu nitafsirie kidogo!
Pogba ana shida kwenye kichwa chakeMsije mkashangaa sikumoja nikija kuteuwa mwanajeshi kuwa mkuu wa magereza
Nimenukuu kauli ya JPM, Rais wetu
Ni akili za kijinga sana eti polisi mmoja anapigwa na kijiji kizima, daaah kweli akili ni nywele
usidhani huyo traffic ni muoga sana hapana.sheria imeruhusu gari za dharula,na vyombo vya ulinzi kujiongeza barabarani kwa umakini,maana zina haraka zaidi muda wote.huwa zinavamia njia hata gari za tanesco mpaka miguuni kwa traffic na anairuhusu.Juzi traffic alikuwa ana simamisha magari na gari zote zilisimama, hafla kushoto ikatokeza gari ya jeshi na kupita. Yule traffic alijifanya kama hakuiona nikabaki kujiuliza yule dereva wa jeshi hajui sheria za barabarani. Na huyu traffic kwanini haku msimamisha yule dereva kwa kuvunja amri yake?.
Ndukiiiii