Jinsi ya wanavyoripoti ajali za magari ya jeshi kinafiki; unaweza dhania Tanzania kuna sheria mbili huko barabarani

dmkali

JF-Expert Member
Nov 17, 2014
11,273
21,386
Wakati naangalia taarifa ya habari ITV,

Nimemuona kamanda wa jeshi anaripoti kuhusu ajali ya gari la jeshi lililoua wanajeshi wawili wasiokuwa na hatia huko Kigoma na wengine wengi kujeruhiwa vibaya!

Kamanda alivyoripoti tukio

Kamanda wa jeshi anasimulia kuwa!

Chanzo cha ajali hiyo ni kwamba Dereva wa gari la jeshi lilimshinda nguvu na kupoteza mwelekeo! (FULL STOP)

Kamanda akiwa anaripoti ajali kwa magari mengine ya kiraia

Chanzo cha ajali hii ni mwendokasi pamoja na uzembe Wa Dereva huyu kwa kutozingatia sheria za usalama barabarani jambo lililopelea vifo **** na majeruhi ****; Tunamshikilia dereva kwa mahojiano zaidi maana alionekana pia kuwa ni mlevi!

Je; Hivi huko barabarani huwa kuna sheria mbili!? kwanini ripoti ziko tofauti!?


Maana hata mijini tunaona haya magari ya jeshi yanavyopita upande usiokuwa wake lakini hatuoni kiongozi yeyote akitoa kalipio.
 
Wakati naangalia taarifa ya habari ITV,

Nimemuona kamanda Wa jeshi anaripoti kuhusu ajali ya gari la jeshi lililouwa wanajeshi wawili wasiokuwa na hatia huko kigoma na wengine wengi kujeruhiwa vibaya!

Kamanda alivyoripoti tukio

Kamanda wa jeshi anasimulia kuwa!

Chanzo cha ajali hiyo ni kwamba Dreva wa gari la jeshi lilimshinda nguvu na kupoteza mwelekeo! (FULL STOP)

Kamanda akiwa anaripoti ajali kwa magari mengine ya kiraia

Chanzo cha ajali hii ni nwendokasi pamoja na uzembe Wa Dreva huyu kwa kutozingatia sheria za usalama barabarani jambo lililopelea vifo **** na majeruhi ****; Tunamshikilia dreva kwa nahojiano zaidi maana alionekana pia kuwa ni mlevi!

Je; Hivi huko barabarani huwa kuna sheria mbili!? kwanini ripoti ziko tofauti!?


Maana hata mijini tunaona haya magari ya jeshi yanavyopita upande usiokuwa wake lakini hatuoni kiongozi yeyote akitoa kalipio.
wanaendaga rafu sana, unaweza ukahis wana roho na miili ya chuma labda
 
Mara kadhaa hao mabaka wanakauli zao wanasema,
"Sheria ziliwekwa kwa ajili yenu nyie raia" au "Tunawahi jambo muhimu la kijeshi"

Sasa ole wako ujitie mjuaji utajua kwa nini duniani hakuna haki!!
 
Juzi traffic alikuwa ana simamisha magari na gari zote zilisimama, hafla kushoto ikatokeza gari ya jeshi na kupita. Yule traffic alijifanya kama hakuiona nikabaki kujiuliza yule dereva wa jeshi hajui sheria za barabarani. Na huyu traffic kwanini haku msimamisha yule dereva kwa kuvunja amri yake?.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Sasa kamanda wa polisi unadhani ataongea nini kwenye ishu za Wajeda?
 
Mara kadhaa hao mabaka wanakauli zao wanasema,
"Sheria ziliwekwa kwa ajili yenu nyie raia" au "Tunawahi jambo muhimu la kijeshi"

Sasa ole wako ujitie mjuaji utajua kwa nini duniani hakuna haki!!
wakikuzingua unaenda kuwaroga tu! kuna babu mmoja maeneo flan ukimpa ugoro tu anakufanyia mpango anamaliza mchezo! kwa walionewa
 
Juzi traffic alikuwa ana simamisha magari na gari zote zilisimama, hafla kushoto ikatokeza gari ya jeshi na kupita. Yule traffic alijifanya kama hakuiona nikabaki kujiuliza yule dereva wa jeshi hajui sheria za barabarani. Na huyu traffic kwanini haku msimamisha yule dereva kwa kuvunja amri yake?.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
trafik angewasimamisha wangemwambia tuna mabomu tunayawaisha Mzinga Barack's kuifadhiwa , wenye nchi hao hamna cha kuwafanya
 
Juzi traffic alikuwa ana simamisha magari na gari zote zilisimama, hafla kushoto ikatokeza gari ya jeshi na kupita. Yule traffic alijifanya kama hakuiona nikabaki kujiuliza yule dereva wa jeshi hajui sheria za barabarani. Na huyu traffic kwanini haku msimamisha yule dereva kwa kuvunja amri yake?.


Ndukiiiii
Mambo ni mengi jeshini.
 
Wee unafikiri hajipendi
Wakati naangalia taarifa ya habari ITV,

Nimemuona kamanda Wa jeshi anaripoti kuhusu ajali ya gari la jeshi lililouwa wanajeshi wawili wasiokuwa na hatia huko kigoma na wengine wengi kujeruhiwa vibaya!

Kamanda alivyoripoti tukio

Kamanda wa jeshi anasimulia kuwa!

Chanzo cha ajali hiyo ni kwamba Dreva wa gari la jeshi lilimshinda nguvu na kupoteza mwelekeo! (FULL STOP)

Kamanda akiwa anaripoti ajali kwa magari mengine ya kiraia

Chanzo cha ajali hii ni nwendokasi pamoja na uzembe Wa Dreva huyu kwa kutozingatia sheria za usalama barabarani jambo lililopelea vifo **** na majeruhi ****; Tunamshikilia dreva kwa nahojiano zaidi maana alionekana pia kuwa ni mlevi!

Je; Hivi huko barabarani huwa kuna sheria mbili!? kwanini ripoti ziko tofauti!?


Maana hata mijini tunaona haya magari ya jeshi yanavyopita upande usiokuwa wake lakini hatuoni kiongozi yeyote akitoa kalipio.
 
Wakati naangalia taarifa ya habari ITV,

Nimemuona kamanda Wa jeshi anaripoti kuhusu ajali ya gari la jeshi lililouwa wanajeshi wawili wasiokuwa na hatia huko kigoma na wengine wengi kujeruhiwa vibaya!

Kamanda alivyoripoti tukio

Kamanda wa jeshi anasimulia kuwa!

Chanzo cha ajali hiyo ni kwamba Dreva wa gari la jeshi lilimshinda nguvu na kupoteza mwelekeo! (FULL STOP)

Kamanda akiwa anaripoti ajali kwa magari mengine ya kiraia

Chanzo cha ajali hii ni nwendokasi pamoja na uzembe Wa Dreva huyu kwa kutozingatia sheria za usalama barabarani jambo lililopelea vifo **** na majeruhi ****; Tunamshikilia dreva kwa nahojiano zaidi maana alionekana pia kuwa ni mlevi!

Je; Hivi huko barabarani huwa kuna sheria mbili!? kwanini ripoti ziko tofauti!?

Maana hata mijini tunaona haya magari ya jeshi yanavyopita upande usiokuwa wake lakini hatuoni kiongozi yeyote akitoa kalipio.
nimecheka sana kamandda wangu.

wanajeshi wanakufa kizembe, hawazingatii sheria, ila wao ni malaika, unatakiwa uripoti vizuri huku ukielekeza lawama kwa mungu, wao ni malaika, hawalewi wala kukimbiza, si unaonaga hata wakipita dar na misafara yao? wanakuwaga spidi 45
 
Tanzania
IMG-20190927-WA0037.jpeg
 
Msije mkashangaa sikumoja nikija kuteuwa mwanajeshi kuwa mkuu wa magereza
Nimenukuu kauli ya JPM, Rais wetu
 
Mara kadhaa hao mabaka wanakauli zao wanasema,
"Sheria ziliwekwa kwa ajili yenu nyie raia" au "Tunawahi jambo muhimu la kijeshi"

Sasa ole wako ujitie mjuaji utajua kwa nini duniani hakuna haki!!
Ukijitia mjuaji utajua kweli
 
Ungeangali plate namba zake halafu ungee da kutoa taarifa polisi
Juzi traffic alikuwa ana simamisha magari na gari zote zilisimama, hafla kushoto ikatokeza gari ya jeshi na kupita. Yule traffic alijifanya kama hakuiona nikabaki kujiuliza yule dereva wa jeshi hajui sheria za barabarani. Na huyu traffic kwanini haku msimamisha yule dereva kwa kuvunja amri yake?.


Ndukiiiii
 
Wakati naangalia taarifa ya habari ITV,

Nimemuona kamanda wa jeshi anaripoti kuhusu ajali ya gari la jeshi lililoua wanajeshi wawili wasiokuwa na hatia huko Kigoma na wengine wengi kujeruhiwa vibaya!

Kamanda alivyoripoti tukio

Kamanda wa jeshi anasimulia kuwa!

Chanzo cha ajali hiyo ni kwamba Dereva wa gari la jeshi lilimshinda nguvu na kupoteza mwelekeo! (FULL STOP)

Kamanda akiwa anaripoti ajali kwa magari mengine ya kiraia

Chanzo cha ajali hii ni mwendokasi pamoja na uzembe Wa Dereva huyu kwa kutozingatia sheria za usalama barabarani jambo lililopelea vifo **** na majeruhi ****; Tunamshikilia dereva kwa mahojiano zaidi maana alionekana pia kuwa ni mlevi!

Je; Hivi huko barabarani huwa kuna sheria mbili!? kwanini ripoti ziko tofauti!?


Maana hata mijini tunaona haya magari ya jeshi yanavyopita upande usiokuwa wake lakini hatuoni kiongozi yeyote akitoa kalipio.
Tusilazimishe usawa pasipokuwa Sawa. Wanajeshi wanaowajibu mkubwa na muhimu katika Taifa na hawapaswi kupoteza muda popote kwa maslahi ya Taifa. Mfano:
1. Gari inawaisha siraha zikatumike, likae foleni ili iweje?
2. Kuna gwaride pahala, lisimame kumsikiliza traffic ili iweje?
3. Kuna ulinzi wa dharula ktk mpaka Fulani, gari iende taratibu ili tuvamiwe?.
4. Jeshini kuna Vetting halisi, MTU hapati uafisa au cheo kizembe zembe hivyo ukiandika ajari imesababishwa na uzembe wa Dereva wa jeshi, unalidhalilisha jeshi na Taifa.
5. Wanajeshi wanajitolea uhai wao kwaajili ya amani, utulivu, maendeleo na ustawi wa Taifa, tuwaache wapate hizo stahiki ingawa hata hazitoshi.
6. Tuwatendee wema wanajeshi wetu kama hisani kuwalipa kwa uzalendo wao.
7. Wakati tupo online kuchat na kuandika upuuzi hapa JF, wanajeshi wako attention angani, ardhini na majini kutulinda sisi
 
Back
Top Bottom