financial services
JF-Expert Member
- May 17, 2017
- 16,957
- 40,256
Wanaume mnaonyoa vipara heshima yenu! Nawapendaga😘
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nlasiikia ukipaka mavi ya mbweha yanasaidi kudumisha kipara kwa miezi sabaNmekuwa nikikwazika na kasi ya uotaji wa nywele kichwani kwangu. Binafsi napenda sana kupiga kipara.naondoa nywele sote kabisa.
Shida ni kuwa baada ya siku tatu nakuta tayar zimeshaanza kuota tena kwa wing tu.nmenyoa jumapili lakin leo n nmejiangalia kichwan utadhan week mbili zimepita.
Je kuna namna ya kuchelewesha nywele kuota?
Ni kupigwa pala tuNmekuwa nikikwazika na kasi ya uotaji wa nywele kichwani kwangu. Binafsi napenda sana kupiga kipara.naondoa nywele sote kabisa.
Shida ni kuwa baada ya siku tatu nakuta tayar zimeshaanza kuota tena kwa wing tu.nmenyoa jumapili lakin leo n nmejiangalia kichwan utadhan week mbili zimepita.
Je kuna namna ya kuchelewesha nywele kuota?
Ninavyo vyote viwili. Nmeshakutumia namba yangu ya simu ili nikuoneshe live. Napenda nami kupiga kipara.Napenda kipara na sharubu...
Nashukuru. Mimi ni mdau mmoja wapo.Wanaume mnaonyoa vipara heshima yenu! Nawapendaga😘
Wow mna nafasi spesho kwenye kipande cha moyo wangu!😘Nashukuru. Mimi ni mdau mmoja wapo.