nenda pharmacy utapewa kuna vidonge vya kuzuia mimba....au kabla hujamaliza unatoa nje:biggrin1: japokua hii wanaume wengi inawashindwaga
Ah tafakuru umenichekesha sana,mi nnavojua zentel ni dawa ya minyoo labda iyo unayoongelea sjapata kuijua matumizi yake,ila kilichonchekesha ni dawa ya minyoo na kuzuia mimba mh.
Kuhusu kukushauri ni jinsi gani ya kuzuia kwa kweli niungane na michango iliyotolewa nikiwa na msimamo wa kwamba hapo mnazini tu,pengine mwende mkahalalishe tu make pamoja,ili mpunguze mashaka.
Na Korona juuutazuia mimba na ukimwi ila hutakaa uzuie dhambi ya zinaa au uzinzi mnaoufanya, me nakushauri acha sex before marriage
Hamna mkuu, ni kawaida tu mafuta baridi na laini sana.Vipi kuhusu side effects zake..
Nitaanza kutumia aiseeHamna mkuu, ni kawaida tu mafuta baridi na laini sana.
Ni kuinjoy tu good sex
Bila shaka ni K.Y ila jaribumambo vipi waungwana mimi ninampenzi nilikutana naye kimapenzi bati mbaya huyo mwanaume alinigomea kutumia condomotulianza kubishana naye huyo mwanaume akaniambia basi kunamafuta ya kuzuia mchumbuo hayo mafuta mimi siyafahamu kama ni mafuta gani kama yanazuru mimi sijui kama yana madhara gani mi sijui jamani naombeni masaada kwenu
aneye yafahamu hayo mafuta ya kupaka sehemu za siri aniambiye iliniweze kuepukana nayo.:yawn:
Singapi hiyo baby JohnsonBila shaka ni K.Y ila jaribu
Baby Johsons hayachubui wala hayana chemicals kali.
buku 7Singapi hiyo baby Johnson
buku 7