Jinsi ya kuwithdraw pesa toka paypal iliyokuwa held baada ya akaunti kuwa limited kwa siku 180

Nafaka

JF-Expert Member
Feb 17, 2015
12,156
31,043
Nadhani wale wenzangu na mimi mnaotumia Paypal mlishawahi kukumbana na tatizo la paypal kushikilia pesa yako kwa miezi 6 na kisha baada ya hapo kukwambia uitoe ila option iliyopo ni kupitia akaunti ya bank ya US.

Sasa leo nawapa njia ya kuwithdraw hiyo pesa. Unatakiwa kuwa na US dollar account. Hii unaweza kuipata kupitia Wise au Payoneer.
Kwa Payoneer, ukifingua watakupa akaunti ya First Century Bank, Hii haifai na Paypal wataikataa.

La kufanya wasiliana na customer service ya payoneer uwaombe wakupe akaunti nyingine kutoka Community Federal Savings Bank. Hii ndiyo itakubali. Ukishapokea details za akaunti yako, kaiadd paypal. Haijalishi kama jina la paypal na jina la payoneer linatofautiana, akaunti za Payoneer US haina shida hata majina yakiwa tofauti kabisa bado itapokea pesa.

Ukishaiadd click withdraw. Basi pesa itachukua siku moja tu kusoma kwenye payoneer. Ikifika payoneer kama una kadi yao unaweza kuitoa atm, au ukivuta airtel money au ukahihamishai kwenye your local bank akaunti.

Hii njia nimeitumia na nimefanikiwa hivyo ninaandika from experience.

mbaki salama
 
Nadhani wale wenzangu na mimi mnaotumia Paypal mlishawahi kukumbana na tatizo la paypal kushikilia pesa yako kwa miezi 6 na kisha baada ya hapo kukwambia uitoe ila option iliyopo ni kupitia akaunti ya bank ya US.

Sasa leo nawapa njia ya kuwithdraw hiyo pesa. Unatakiwa kuwa na US dollar account. Hii unaweza kuipata kupitia Wise au Payoneer.
Kwa Payoneer, ukifingua watakupa akaunti ya First Century Bank, Hii haifai na Paypal wataikataa.

La kufanya wasiliana na customer service ya payoneer uwaombe wakupe akaunti nyingine kutoka Community Federal Savings Bank. Hii ndiyo itakubali. Ukishapokea details za akaunti yako, kaiadd paypal. Haijalishi kama jina la paypal na jina la payoneer linatofautiana, akaunti za Payoneer US haina shida hata majina yakiwa tofauti kabisa bado itapokea pesa.

Ukishaiadd click withdraw. Basi pesa itachukua siku moja tu kusoma kwenye payoneer. Ikifika payoneer kama una kadi yao unaweza kuitoa atm, au ukivuta airtel money au ukahihamishai kwenye your local bank akaunti.

Hii njia nimeitumia na nimefanikiwa hivyo ninaandika from experience.

mbaki salama
Mkuu unatoaje pesa kutoka Payoneer kwenda Airtelmoney?

Vipi makato ukilinganisha na Bank?
 
Mkuu unatoaje pesa kutoka Payoneer kwenda Airtelmoney?

Vipi makato ukilinganisha na Bank?
Payoneer to bank ni cheap ila kwa ela ndogo ndogo 10000, 20000,50000 wanakata ela ndogo hata haifiki buku 2000.
Tumia airtel app kuna huduma ya kutoa pesa mastercard/ visa to airtel momey
 
Mkuu hivi kutengeneza acc ya paypal hapa bongo si nasikia imekatwazwa?
Na minaona kwa maelezo Yako kumbe inawezekana kumiliki acc ya paypal na kuitumia 2.
 
Mkuu hivi kutengeneza acc ya paypal hapa bongo si nasikia imekatwazwa?

Na minaona kwa maelezo Yako kumbe inawezekana kumiliki acc ya paypal na kuitumia 2. Nafaka
 
Mkuu hivi kutengeneza acc ya paypal hapa bongo si nasikia imekatwazwa?

Na minaona kwa maelezo Yako kumbe inawezekana kumiliki acc ya paypal na kuitumia 2. Nafaka
Tunatumia paypal za kenya, kuitengeneza inahitaji uwe na line ya safaricom na kitambulisho labda cha taifa au leseni
 
so ku withdraw yatakiwa drawer aende ama awe kenya.
Hapana inaingia safaricom then wajitumia voda au airtel au tigo na hawakat ukiwa watuma froms safaricom to tz network. Au waweza pia tumia njia nliyoandika kwenye hii thread
 
Back
Top Bottom