uduzungwa
JF-Expert Member
- Oct 12, 2016
- 552
- 541
Wana ndugu Salama.
Jinsi kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Mie ni mtumishi wa serikali nimehamiahuwa hapa mkoani dodoma kama miezi nane iliyopita. Sasa kale kasenti kangu ka uhamisho kilivyotoka nikajipatia Shamba lenye ukubwa kama hekta 5 Maeneo ya huku msalato.
Nimeuziwa na mwanakijiji wa hapahapa.
Nimeshamlipa hela yake yote.
Sasa ombi langu kwa wadau wenzangu ni kuwa nataka nijue zile process za kuweza kufuatilia ili niweze kupata hati ya hili Shamba mana nataka nijenge kibanda changu hapahapa.
Kwa wale wazoefu wa dodoma na maeneo mengine naomba nisaidie hapo nikamilishe huu umiliki wa hili shamba.
Naomba kuwasilisha.
Jinsi kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Mie ni mtumishi wa serikali nimehamiahuwa hapa mkoani dodoma kama miezi nane iliyopita. Sasa kale kasenti kangu ka uhamisho kilivyotoka nikajipatia Shamba lenye ukubwa kama hekta 5 Maeneo ya huku msalato.
Nimeuziwa na mwanakijiji wa hapahapa.
Nimeshamlipa hela yake yote.
Sasa ombi langu kwa wadau wenzangu ni kuwa nataka nijue zile process za kuweza kufuatilia ili niweze kupata hati ya hili Shamba mana nataka nijenge kibanda changu hapahapa.
Kwa wale wazoefu wa dodoma na maeneo mengine naomba nisaidie hapo nikamilishe huu umiliki wa hili shamba.
Naomba kuwasilisha.