Kitendo chako cha kuondoa baadhi ya vyama, kinaonesha kuwa huna nia nzuri na Taifa. Hata baada ya kupata uongozi, mtandelea kuwa wabaguzi. Ni kwa nini hajaacha vyama vyote ili wapiga kura waamue wenyewe ? Hii in amaana uko tayari kua hicho Chama.Bado siku chache tuifikie 28 Oktoba 2020 ambayo itaamua Tanzania inachukua mlengo gani wa kisiasa na kiuchumi.
Hivi ndivyo inavyotakiwa kupiga kura kwa kuweka alama ya Vema kumchagua Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.View attachment 1607560