Jinsi ya kuweka banners and flash

nyangeta

Member
Jan 3, 2010
5
0
Naombeni msaada wa kuweka bannerd advert ,flash kwenye blog,kila nikijaribu haifanyi kazi,kama kuna mtaalamu wa blog basi anielekeze vizuri.
 
Asante kaka,nimeshukru sana,na bado ninahitaji msaada wako,nimeanza cisco kwa hiyo kuna badhi ya vitu sivijui mbali na hivyo vinafanyaje kazi.
Mfano
Network adddress
multicast address
broadcast address

OSI LAYER ,INAFANANAJE
  1. Application
  2. network layer
  3. presentantion layer
  4. session layer
  5. transport layer
Kazi za hizo layer ni zipi,in practical nitawezeje kuziona?
What is Enable command?function?type of enable command?why we need it?

ns lookup ?
primary domain server?function?example
What is Ping?Function?why we use Ping?how to test ?
Remote connectivity?

What is Proxy ARP?
ipv4 address?function?
subnet?subnet mask?function to each

What are the function of the following and why we need?example
physical layer
data link layer
network layer
transport layer

NVRAM?FUNCTION?

wHAT is private address?how to make IP address private?is it possible to make my computer IP address invisible?who to do?

what is host server on a router?

telnet 192.168.1.1?
ping 192.168.1.1-
ftp 192.168.1.1
tracert 192.168.1.1


duplex ethernet?function?how it look like?
NAT?FUNCTION?

what is clock rate command?why we need it ?function?

EMI & RFI?

wHAT IS THE MEEANING OF THE FOLLOWING ?where can be applied?is it visible?
10 base T
10 base 2
10 Base 5
100 Base FX
100 Base TX
100 bASE LX

what is the function and the meaning of the following
FT client
Telnet Client
Terminal Emulation program
web browser

what is the command of the following?function

clock rate
description
IP address
No shutdown

what is partial 4 header?function?how it looks like?

what is bit,source port,sequence number,header lenght,reserved,code bit?function

ICMP?Function ?

what is the adminstrator password?also anable,aux,console,VTY
What are interface LIST? what are they?

what is the function and meaning of the foolowing?
MAC
IP Packet header
incoming interface
transport layer PDU
sOURCE Mac address
TELNET SERVER & DHCP SERVER?HOW TO BUILD
GET
SSH

what is meaning of the following
service point no
host logical address
device physical address
virtual connection identifier?

Je nitafahamuje kuwa hii email niliyotumiwa inatoka TZ AU KENYA?NITUMIE HIYO LINK YA KU BYPASS ILI NIWEZE KUACESS INTERNET/
 
Nashukuru Mchukia ufisadi,Kuhusu maswala ya banner kwenye blog kama blogspot binafsi sina utaalamu nayo ila kama ni kwenye website ya kawaida hilo halina shaka sasa sijui mh Nyangeta uliposema kwenye blog ulikuwa unamaanisha blog yako mwenyewe au kama hizi za blogspot,wordpress nk? Kuhusu mwaswali ya Networking,hapo hakuna tatizo kwani ndio field yangu kwa sasa,ninachoweza kusema ni sawa na member mmoja wa Afroit(CCNAER) alivyoshauri kuwa itakuwa bora kama utasoma kwanza CCNA kwani maswali mengi yatajibiwa kiurahisi mno kwenye notes za CCNA.Binafsi nimejitolea kukutumia Lacture na Vitabu murua vya CCNA,hivyo baada ya masaa kadhaa check ya yahoo, Pia kwa sasa tupo kwenye mahitimisho ya Afroit tech Suite,hii kitu ikikamilika itakuwa ni msaada tosha kwa watanzania,kutakuwa na Lacture za kila area ya ICT toka kwa watanzania waliobobea kwenye hiyo fani,Kutakuwa na Vitabu,Videos,White papers.podcast nk... Stay with us kama Countdown yetu inavyoonesha kule Afroit.
www.afroit.com
 
Nashukuru Mchukia ufisadi,Kuhusu maswala ya banner kwenye blog kama blogspot binafsi sina utaalamu nayo ila kama ni kwenye website ya kawaida hilo halina shaka sasa sijui mh Nyangeta uliposema kwenye blog ulikuwa unamaanisha blog yako mwenyewe au kama hizi za blogspot,wordpress nk? Kuhusu mwaswali ya Networking,hapo hakuna tatizo kwani ndio field yangu kwa sasa,ninachoweza kusema ni sawa na member mmoja wa Afroit(CCNAER) alivyoshauri kuwa itakuwa bora kama utasoma kwanza CCNA kwani maswali mengi yatajibiwa kiurahisi mno kwenye notes za CCNA.Binafsi nimejitolea kukutumia Lacture na Vitabu murua vya CCNA,hivyo baada ya masaa kadhaa check ya yahoo, Pia kwa sasa tupo kwenye mahitimisho ya Afroit tech Suite,hii kitu ikikamilika itakuwa ni msaada tosha kwa watanzania,kutakuwa na Lacture za kila area ya ICT toka kwa watanzania waliobobea kwenye hiyo fani,Kutakuwa na Vitabu,Videos,White papers.podcast nk... Stay with us kama Countdown yetu inavyoonesha kule Afroit.
www.afroit.com


Mkuu Kilongwe,
Hii ni habari njema sana kwetu sisi tunaousudu mambo ya ICT itakuwa ni msaada mzuri sana kwa watu wengi.
 
Mkuu Nyangeta nimekutumia material ya CCNA kwenda kwenye e mail yako.tena kwa safari hii ni ya Kidume Wendell Odom,moja ni lacture na nyingine ni Kitabu pamoja na flash cards kama nilivyokuahidi,so kazi kwako,tena nimejitahidi kukupatia Lacture mpya za mtihani wa 640-802 na sio wa640-801 kama yale ya Nuggets,so kazi kwako kujifaidi na ushindwe wewe tu kwani hakuna uchoyo kwenye elimu, imefika wakati tuondokane na ile kasumba ya zamani kuwa kila mmoja akijua hakitakuwa na deal.
NB:Kama kuna mtu yeyote anahitaji nitumie request kwenda kilongwe@qq.com ndani ya wiki kwani kuna wakati mtu anakuja kukutumia e mail baada ya mwezi mmoja.Mafaili yote yana kama 700MB,
 
Hellow Kilongwe,
Big up sana kwa msaada and sharing of your valued knowledge, I among other I realy do appreciate saana.
 
Back
Top Bottom