Husninyo
JF-Expert Member
- Oct 24, 2010
- 23,723
- 9,189
Ahsante kwa somo komandoo. Kuna wafanyabiashara wengine hata kukeep namba ya simu ya mteja anaona tabu. Kuna siku nilienda saluni bahati mbaya umeme ulikuwa umekata. Nikamwambia mwenye saluni nimwachie namba yangu umeme ukirudi anibeep. Huwezi kuamini alikataa, akaniambia we nenda ukiona umeme umerudi uje. Nikamwona akili zake 2.