Jinsi ya kuwafanya wateja wako kuwa loyality kwenye biashara yako

CHASHA FARMING

JF-Expert Member
Jun 4, 2011
7,789
8,914
[h=3]NJIA ZA KUWAFANYA WATEJA WAKO KUWA LOYALITY KWENYE BIASHARA YAKO

1. Anzisha loyality program[/h] [h=3]Hii ni moja ya njia yenye nguvu kabisa katika kuwa encourage wateja wako na ikiifanyia kazi vizuri itawafanya wateja wabakie lyality kwenye biashara yako daima.[/h] [h=3]Wateja wengi wanapenda kutambliwa na kuthaminiwa michango yao katika kukuza biashara yako, so waambie wateja wako kwambo layility yoa itathaminiwa milele na milele kwenye kampuni yako[/h]
[h=3]2. Toa asilimia 100% guarantee ya kuwarejeshea wateja pesa yao,[/h] [h=3]- Hii ni moja ya njia ngumu kabisa na yenye maumivu makubwa sana, hii ni njia ya maumivu kwa mjasiriamali yeyote yule lakini ni moja ya njia bora kabisa za kumuincourage mteja wako, na kumfanya kuwa loyality kwa biashara yako,[/h] [h=3]Hii haiwei kuitwa offer kwa wateja bali ni entergrity yako kwa wateja wako na wateja mara nyingi hujisikia vizuri sana wanaporejeshewa pesa zao.[/h] [h=3]Mfano,[/h] [h=3]Kuna baadhi ya kampuni za mabasi ambazo gari ikiharibika tu baada ya masaa kama matutu au manne wataleta gari jingine kufaulisha nah ii huwa inawasaidia wateja kujenga uaminifu na kampuni yako,[/h] [h=3]Hakuna kitu kibaya kinacho samba katika jamii kama hasira kwa kampuni yako, kutoridhika na huduma yako na kazalika, hivi ni vitu vibaya sana,[/h] [h=3]
[/h] [h=3]3. Toa offer ya Discount kwa wateja wako[/h] [h=3]Nini umihimu wa Discount? Discount humfanya mteja wako kutambua sacrfie kiasi gain umefanya kwa ajili yake yeye,[/h] Mfano: Unauza mayai, wawekee wateja wako discount kwamba akinunu kiasi Fulani atapunguziwa bei kiasi fulani


[h=3]3. Kumbuka Tarehe muhimu sana[/h] [h=3]Hii Ni moja ya njia nzuri Sana ya kuwa encourage wateja wako, Na inaongeza customer loyality Kwa kampuni yako, hii inawafanya wahisi ni kiasi gain kampuni yako inawajari wateja wake.[/h] [h=3]Mfano: 1. Kuwatakiwa wateja wako hapy birthday[/h] [h=3]2. Kuwatakia wateja wako sikukuu njema[/h] [h=3]3. Kumtakia mteja wako congaraturation pale anapo pata motto au kuhitimu kitu Fulani[/h] [h=3]Hapa jaribu kuwa na Dayari na weak kumbukumbu za wateja wako ikiwemo tarehe ya kuazaliwa, Tarehe za kuzaliwa za watoto wao, muda wa watoto wao kuhitimu masomo, na information zingine ili iwe rahisi kufanya hivyo[/h] [h=3]
[/h] [h=3]4. Hakikisha uko karibu sana na wateja wako,[/h] [h=3]Jitahidi kuwapa up date wateja wako ni kitu gain kinaendelea kwenye kampuni yako na kazalika hii itawafanya wajisikie vizuri sana[/h] [h=3][/h] [h=3] 6. Wape wateja wako free sample ya bidhaa[/h] [h=3]Hii inasaidia kuwajenga wateja wako na kuwatia hamasa sana, unafanya biashara ya kufuga kuku wape wateja wako sampe ya kuku wako wanyama unao tarajia kuwauzia[/h] [h=3]- Unapika mandazi wape sample ya mandazi yako,[/h] [h=3]
[/h] [h=3] 7. Wapatie wateja wako zawadi za kushitukiza[/h] [h=3]Hii ni nia rahisi sana na yenye umuhimu katika kuwahamasisha wateja wako, Hebu fikiria wewe huwa unajisikiaje unapo pokea zawadi ambayo hukuitegemea?[/h] [h=3]Usione ni hasara kufanya hivyo kwa sababu impact yake kwa kampuni yako ni kubwa sana[/h] [h=3][/h] [h=3]6. Wapatie wateja wako huduma ya free [/h] [h=3]Mfano wewe unauza mayai, basi wapatie wateja wako huduma ya kuwapelekea mayai hadi sehemu wanayo peleka.[/h] [h=3]- Wewe ni fund computa baada ya kumaliza kumtengenezea mteja komputa mfanyie installation za program bule kabisa,[/h] [h=3]- Hii ni njia nzuri sana ya kujenga loyality kwa wateja wako na wewe kama wewe utaangalia ni vipi unaweza kuipractice kulingana na biashara yako na uwezo wa biashara yako[/h] [h=3][/h] [h=3]7. Andaa party ya asante/kuwashukuru wateja wako[/h] [h=3]Hii ina weza kuonekana ni ghali sana lakini kuandaa party ya kuwashukuru wateja wako ni jambo la maana sana na ambalo lina impact kubwa sana kwa wateja wako,[/h] [h=3]- Hii itasaidia wateja wako kukutana sehemu moja na kudiscus vyema kuhusu bidhaa zako/ huduma yako,[/h] [h=3]- Inasaidia wateja wako kukuuliza maswali ya ana kwa ana[/h] [h=3]- Inawafanya wateja wako wajihisi na wao ni sehemu ya bidhaa zako/huduma yako[/h] [h=3][/h] [h=3]8. Fanyia kazi malalamiko ya wateja kwa haraka sana na kwa kasi ya ajabu,[/h] [h=3]Hii ndo mbinu namba moja ya kuweza kujenga loyality ya wayeja wako, nah ii ndo njia ambayo usipo ifanyia kazi huwa unawafanya wateja wakulaumu sana na hata kuhama kabisa kwenye kampuni yako,
Hakuna kitu kinaweza kuwafanya wateja wawe na hasira kama maneno yako ya negative utakayo yatoa zidi yao[/h]

KUMBUKA KWAMBA HABARI MBAYA HUSAMBAA KWA KASI NA HARAKA ZAIDI KAMA MOTO ULIOWASHWA POLINI, SO NA HABARI MBAYA KUHUSU BIASHARA YAKO ZINAWEZA SAMBAA KWA KASI YA KUTISHA NA NDANI YA MUDA MFUPI IKAWA IMEISHA WAFIKIA WATEJA WAKO NA WATU WENGINE WENGI SANA
 
Ungeweka title yako kiusahihi zaidi alafu tukaendelea mkuu..pale kwenye ...''kuwa loyality''...ikasomeka ..''kuwa loyal''...
 
Pamoja na kwamba hizi idea ni nzuri, nyingi zake zina gharama kwako free samples, parties, discounts, guarantees etc so inategemea ni biashara ya aina gani unafanya na kama margins (sale price - cost) zako ni kubwa kiasi gani, lazima uhakikishe hizo promotion zako zitaleta faida mwishoni.
 
Pamoja na kwamba hizi idea ni nzuri, nyingi zake zina gharama kwako free samples, parties, discounts, guarantees etc so inategemea ni biashara ya aina gani unafanya na kama margins (sale price - cost) zako ni kubwa kiasi gani, lazima uhakikishe hizo promotion zako zitaleta faida mwishoni.

Mkuu hakuna gharama kubwa kwenye biashara kama kuacha kufocus kwa wateja wako.
 
NJIA ZA KUWAFANYA WATEJA WAKO KUWA LOYAL KWENYE BIASHARA YAKO

1. Anzisha loyality program

Hii ni moja ya njia yenye nguvu kabisa katika kuwa encourage wateja wako na ikiifanyia kazi vizuri itawafanya wateja wabakie lyality kwenye biashara yako daima.

Wateja wengi wanapenda kutambliwa na kuthaminiwa michango yao katika kukuza biashara yako, so waambie wateja wako kwambo layility yoa itathaminiwa milele na milele kwenye kampuni yako

2. Toa asilimia 100% guarantee ya kuwarejeshea wateja pesa yao,
- Hii ni moja ya njia ngumu kabisa na yenye maumivu makubwa sana, hii ni njia ya maumivu kwa mjasiriamali yeyote yule lakini ni moja ya njia bora kabisa za kumuincourage mteja wako, na kumfanya kuwa loyality kwa biashara yako,

Hii haiwei kuitwa offer kwa wateja bali ni entergrity yako kwa wateja wako na wateja mara nyingi hujisikia vizuri sana wanaporejeshewa pesa zao.

Mfano,

Kuna baadhi ya kampuni za mabasi ambazo gari ikiharibika tu baada ya masaa kama matutu au manne wataleta gari jingine kufaulisha nah ii huwa inawasaidia wateja kujenga uaminifu na kampuni yako,

Hakuna kitu kibaya kinacho samba katika jamii kama hasira kwa kampuni yako, kutoridhika na huduma yako na kazalika, hivi ni vitu vibaya sana,

3. Toa offer ya Discount kwa wateja wako

Nini umihimu wa Discount? Discount humfanya mteja wako kutambua sacrfie kiasi gain umefanya kwa ajili yake yeye, Mfano: Unauza mayai, wawekee wateja wako discount kwamba akinunu kiasi Fulani atapunguziwa bei kiasi fulani

3. Kumbuka Tarehe muhimu sana
Hii Ni moja ya njia nzuri Sana ya kuwa encourage wateja wako, Na inaongeza customer loyality Kwa kampuni yako, hii inawafanya wahisi ni kiasi gain kampuni yako inawajari wateja wake.

Mfano: 1. Kuwatakiwa wateja wako hapy birthday

2. Kuwatakia wateja wako sikukuu njema

3. Kumtakia mteja wako congaraturation pale anapo pata mtoto au kuhitimu kitu Fulani

Hapa jaribu kuwa na Dayari na weak kumbukumbu za wateja wako ikiwemo tarehe ya kuazaliwa, Tarehe za kuzaliwa za watoto wao, muda wa watoto wao kuhitimu masomo, na information zingine ili iwe rahisi kufanya hivyo

4. Hakikisha uko karibu sana na wateja wako,

Jitahidi kuwapa up date wateja wako ni kitu gain kinaendelea kwenye kampuni yako na kazalika hii itawafanya wajisikie vizuri sana

6. Wape wateja wako free sample ya bidhaa

Hii inasaidia kuwajenga wateja wako na kuwatia hamasa sana, unafanya biashara ya kufuga kuku wape wateja wako sampe ya kuku wako wanyama unao tarajia kuwauzia

- Unapika mandazi wape sample ya mandazi yako,

7. Wapatie wateja wako zawadi za kushitukiza

Hii ni nia rahisi sana na yenye umuhimu katika kuwahamasisha wateja wako, Hebu fikiria wewe huwa unajisikiaje unapo pokea zawadi ambayo hukuitegemea?

Usione ni hasara kufanya hivyo kwa sababu impact yake kwa kampuni yako ni kubwa sana

6. Wapatie wateja wako huduma ya free

Mfano wewe unauza mayai, basi wapatie wateja wako huduma ya kuwapelekea mayai hadi sehemu wanayo peleka.

- Wewe ni fund computa baada ya kumaliza kumtengenezea mteja komputa mfanyie installation za program bule kabisa,

- Hii ni njia nzuri sana ya kujenga loyality kwa wateja wako na wewe kama wewe utaangalia ni vipi unaweza kuipractice kulingana na biashara yako na uwezo wa biashara yako

7. Andaa party ya asante/kuwashukuru wateja wako

Hii ina weza kuonekana ni ghali sana lakini kuandaa party ya kuwashukuru wateja wako ni jambo la maana sana na ambalo lina impact kubwa sana kwa wateja wako,

- Hii itasaidia wateja wako kukutana sehemu moja na kudiscus vyema kuhusu bidhaa zako/ huduma yako,

- Inasaidia wateja wako kukuuliza maswali ya ana kwa ana

- Inawafanya wateja wako wajihisi na wao ni sehemu ya bidhaa zako/huduma yako

8. Fanyia kazi malalamiko ya wateja kwa haraka sana na kwa kasi ya ajabu,

Hii ndo mbinu namba moja ya kuweza kujenga loyality ya wayeja wako, nah ii ndo njia ambayo usipo ifanyia kazi huwa unawafanya wateja wakulaumu sana na hata kuhama kabisa kwenye kampuni yako,
Hakuna kitu kinaweza kuwafanya wateja wawe na hasira kama maneno yako ya negative utakayo yatoa zidi yao


KUMBUKA KWAMBA HABARI MBAYA HUSAMBAA KWA KASI NA HARAKA ZAIDI KAMA MOTO ULIOWASHWA PORINI, SO NA HABARI MBAYA KUHUSU BIASHARA YAKO ZINAWEZA SAMBAA KWA KASI YA KUTISHA NA NDANI YA MUDA MFUPI IKAWA IMEISHA WAFIKIA WATEJA WAKO NA WATU WENGINE WENGI SANA

Mkuu yote uliyoyaeleza ni muhimu na rahisi kwa kila mfanyabiashara/mjasiriamali kuyafanya kama anataka kufanikiwa. Haijalishi kama ni mfanyabiashara mdogo au mkubwa. But tatizo nilionalo mimi ni kuwa watu wengi wanafanya biashara kwa mazoea tu. Wanadhani biashara ni suala la kuweka bidhaa na kungoja mteja aje! Na siku mauzo ya kiwa kidogo basi wanajikinga na mwamvuli wa "mipango ya Mungu", "Sio ridhiki" n.k

Kiukweli tunahitaji kubadilika, na tusipokubali kubadilika tukiwa tumejiandaa basi mazingira yatatulazimisha kubadilika. Pamoja na mambo mengine hint hizi alizozitoa Komandoo ni sehemu ya msingi ya kuitolea macho. Binafsi huwa napenda kuyaweka haya mambo katika makundi matano kwa biashara kufanikiwa. Na kwa leo ninaomba niyataje mawili yanayoendana na maada yetu
1. Customer Experience (mengi yapo kwenye mchango wa komandoo)
2. Customer Care (mengi yapo kwenye mchango wa komandoo)
3. ....
4. ....
5. ....
 
Pamoja na kwamba hizi idea ni nzuri, nyingi zake zina gharama kwako free samples, parties, discounts, guarantees etc so inategemea ni biashara ya aina gani unafanya na kama margins (sale price - cost) zako ni kubwa kiasi gani, lazima uhakikishe hizo promotion zako zitaleta faida mwishoni.

Mkuu kwa real Entrepreners hiki kitu kinawezekana kabisa ila kama wewe tageti yako ni profit pekee huwezi fanya kitu kama hiki hata siku moja,

Hakuna kinacho shindikana hapo ni kupangilia tu mkuu, Tuko katika ulimwengu wa ushindani miubwa wa kibiashara so bila kuwa na mikakati madhubuti utaishia kufunga biashara yako, kuno competition kubwa sana katika kutafuta wateja na kuwa maintain,
 
[h=3]NJIA ZA KUWAFANYA WATEJA WAKO KUWA LOYALITY KWENYE BIASHARA YAKO

1. Anzisha loyality program[/h] [h=3]Hii ni moja ya njia yenye nguvu kabisa katika kuwa encourage wateja wako na ikiifanyia kazi vizuri itawafanya wateja wabakie lyality kwenye biashara yako daima.[/h] [h=3]Wateja wengi wanapenda kutambliwa na kuthaminiwa michango yao katika kukuza biashara yako, so waambie wateja wako kwambo layility yoa itathaminiwa milele na milele kwenye kampuni yako[/h]
[h=3]2. Toa asilimia 100% guarantee ya kuwarejeshea wateja pesa yao,[/h] [h=3]- Hii ni moja ya njia ngumu kabisa na yenye maumivu makubwa sana, hii ni njia ya maumivu kwa mjasiriamali yeyote yule lakini ni moja ya njia bora kabisa za kumuincourage mteja wako, na kumfanya kuwa loyality kwa biashara yako,[/h] [h=3]Hii haiwei kuitwa offer kwa wateja bali ni entergrity yako kwa wateja wako na wateja mara nyingi hujisikia vizuri sana wanaporejeshewa pesa zao.[/h] [h=3]Mfano,[/h] [h=3]Kuna baadhi ya kampuni za mabasi ambazo gari ikiharibika tu baada ya masaa kama matutu au manne wataleta gari jingine kufaulisha nah ii huwa inawasaidia wateja kujenga uaminifu na kampuni yako,[/h] [h=3]Hakuna kitu kibaya kinacho samba katika jamii kama hasira kwa kampuni yako, kutoridhika na huduma yako na kazalika, hivi ni vitu vibaya sana,[/h] [h=3]
[/h] [h=3]3. Toa offer ya Discount kwa wateja wako[/h] [h=3]Nini umihimu wa Discount? Discount humfanya mteja wako kutambua sacrfie kiasi gain umefanya kwa ajili yake yeye,[/h] Mfano: Unauza mayai, wawekee wateja wako discount kwamba akinunu kiasi Fulani atapunguziwa bei kiasi fulani


[h=3]3. Kumbuka Tarehe muhimu sana[/h] [h=3]Hii Ni moja ya njia nzuri Sana ya kuwa encourage wateja wako, Na inaongeza customer loyality Kwa kampuni yako, hii inawafanya wahisi ni kiasi gain kampuni yako inawajari wateja wake.[/h] [h=3]Mfano: 1. Kuwatakiwa wateja wako hapy birthday[/h] [h=3]2. Kuwatakia wateja wako sikukuu njema[/h] [h=3]3. Kumtakia mteja wako congaraturation pale anapo pata motto au kuhitimu kitu Fulani[/h] [h=3]Hapa jaribu kuwa na Dayari na weak kumbukumbu za wateja wako ikiwemo tarehe ya kuazaliwa, Tarehe za kuzaliwa za watoto wao, muda wa watoto wao kuhitimu masomo, na information zingine ili iwe rahisi kufanya hivyo[/h] [h=3]
[/h] [h=3]4. Hakikisha uko karibu sana na wateja wako,[/h] [h=3]Jitahidi kuwapa up date wateja wako ni kitu gain kinaendelea kwenye kampuni yako na kazalika hii itawafanya wajisikie vizuri sana[/h] [h=3][/h] [h=3] 6. Wape wateja wako free sample ya bidhaa[/h] [h=3]Hii inasaidia kuwajenga wateja wako na kuwatia hamasa sana, unafanya biashara ya kufuga kuku wape wateja wako sampe ya kuku wako wanyama unao tarajia kuwauzia[/h] [h=3]- Unapika mandazi wape sample ya mandazi yako,[/h] [h=3]
[/h] [h=3] 7. Wapatie wateja wako zawadi za kushitukiza[/h] [h=3]Hii ni nia rahisi sana na yenye umuhimu katika kuwahamasisha wateja wako, Hebu fikiria wewe huwa unajisikiaje unapo pokea zawadi ambayo hukuitegemea?[/h] [h=3]Usione ni hasara kufanya hivyo kwa sababu impact yake kwa kampuni yako ni kubwa sana[/h] [h=3][/h] [h=3]6. Wapatie wateja wako huduma ya free [/h] [h=3]Mfano wewe unauza mayai, basi wapatie wateja wako huduma ya kuwapelekea mayai hadi sehemu wanayo peleka.[/h] [h=3]- Wewe ni fund computa baada ya kumaliza kumtengenezea mteja komputa mfanyie installation za program bule kabisa,[/h] [h=3]- Hii ni njia nzuri sana ya kujenga loyality kwa wateja wako na wewe kama wewe utaangalia ni vipi unaweza kuipractice kulingana na biashara yako na uwezo wa biashara yako[/h] [h=3][/h] [h=3]7. Andaa party ya asante/kuwashukuru wateja wako[/h] [h=3]Hii ina weza kuonekana ni ghali sana lakini kuandaa party ya kuwashukuru wateja wako ni jambo la maana sana na ambalo lina impact kubwa sana kwa wateja wako,[/h] [h=3]- Hii itasaidia wateja wako kukutana sehemu moja na kudiscus vyema kuhusu bidhaa zako/ huduma yako,[/h] [h=3]- Inasaidia wateja wako kukuuliza maswali ya ana kwa ana[/h] [h=3]- Inawafanya wateja wako wajihisi na wao ni sehemu ya bidhaa zako/huduma yako[/h] [h=3][/h] [h=3]8. Fanyia kazi malalamiko ya wateja kwa haraka sana na kwa kasi ya ajabu,[/h] [h=3]Hii ndo mbinu namba moja ya kuweza kujenga loyality ya wayeja wako, nah ii ndo njia ambayo usipo ifanyia kazi huwa unawafanya wateja wakulaumu sana na hata kuhama kabisa kwenye kampuni yako,
Hakuna kitu kinaweza kuwafanya wateja wawe na hasira kama maneno yako ya negative utakayo yatoa zidi yao[/h]

KUMBUKA KWAMBA HABARI MBAYA HUSAMBAA KWA KASI NA HARAKA ZAIDI KAMA MOTO ULIOWASHWA POLINI, SO NA HABARI MBAYA KUHUSU BIASHARA YAKO ZINAWEZA SAMBAA KWA KASI YA KUTISHA NA NDANI YA MUDA MFUPI IKAWA IMEISHA WAFIKIA WATEJA WAKO NA WATU WENGINE WENGI SANA

Mkuu naona habari yako ni nzuri na inafaa lakini imekaa upande wa kuwahongahonga wateja zaidi,mimi nasema hivi wewe ukitaka kufanya biashara weka product za uhakika na zenye ubora,pamoja kuangalia biashara umeitega wapi katika mazingira yapi,mfano mtu aliyetega biashara sehemu yenye wingi mkubwa na watu ni tofauti na zenye watu wachache,na pia biashara ni matangazo na kutangaza sio lazima uwahonge wateja sana ndio ufanye biashara,unaweza kuweka mabango,unaweza kuwaelezea watu kuhusu product yako sio lazima uwafanyie sherehe ndio waipende product yako,tujaribu kufikiria zaidi mbinu ya kumvutia mteja bila kutumia gharama kubwa sana.
 
Mkuu naona habari yako ni nzuri na inafaa lakini imekaa upande wa kuwahongahonga wateja zaidi,mimi nasema hivi wewe ukitaka kufanya biashara weka product za uhakika na zenye ubora,pamoja kuangalia biashara umeitega wapi katika mazingira yapi,mfano mtu aliyetega biashara sehemu yenye wingi mkubwa na watu ni tofauti na zenye watu wachache,na pia biashara ni matangazo na kutangaza sio lazima uwahonge wateja sana ndio ufanye biashara,unaweza kuweka mabango,unaweza kuwaelezea watu kuhusu product yako sio lazima uwafanyie sherehe ndio waipende product yako,tujaribu kufikiria zaidi mbinu ya kumvutia mteja bila kutumia gharama kubwa sana.
Mkuu kwanza kabisa. Je wewe ni mfanya biashara au mJasirimali? kama ni mfanya biashara uko sahihi na kama ni mjasiriamali uko wrong kabisa

Unafurahisha sana mkuu, Hizi ni strategies ta kutengeneza loayility ya wateja kwako, na si kuwahonga, wewe ndo unaye jua hizi ni njia za kuwahonga wateja
Mkuu kama ni product za nguvu kila kampuni inazo za nguvu sana, Mfano
1. Cocacola na Peps

2. Kilimanjaro bear na Serenget

3. White Dent na Collogate

Mfano mingine wote mnazalisha mayai ya kuku wa kienyeji au kisasa je wewe product yako itakuwa na nguvu kiasi gani? mayai yako ya kuku wa kienyeji na ya mwenzako ya kuku wa kienyeji yatatofautiana vip?


Location
1. Hakuna kampuni hata moja inayo weka location ambayo siyo

Matangazo

1. Cheki mfano wa kampuni za sabuni za unga si zote zinatangaza?

2. Cheki twiga cement na Simba cement wanavyo tangaza

3. Cheki makampuni ya simu yanavyo fanya matangazo makubwa

MKUU HAYA MAMBO NI MAGENI KWAKO NA KWA WATANZANIA NA UTAKUJA KUYAELEWA ONE DAY, BIASHARA SI KUUZA TU NA KUPATA FAIDA, CHEKI MFANO WA MABENK HATA MABENK HUWAFANYIA PARTY WATEJA WAO MUHIMU SANA

1. USIPO FANYA WEWE WATAFANYA WENGINE NA HAPA SI KUWAHONGA

1. MFANYA BIASHARA KAMA MENGI UKIMTUMIA KADI YA BUKU MOJA NI KUMHONGA?

2. UKIWANDALIA WATEJA WAKO PARTY YA SODA MOJA NA KEKI NI KUWAHONGA?

MKUU HAPA SI SIASA NA SI KILE CHAMA KINACHO FANYA PARTY NA ZAWADI ZA KUWAHONGA WAPIGA KURA, UNACHO FANYA NI KUJARIBU KUWAHAMASISHA WATEJA WAKO NA WAJIONE WAO NI SEHEMU YA KAMPUNI YAKO.

Mkuu ghalama ya kumaintain mteja ni ndogo sana kuliko ya kumtafuta mteje mpya,

 
Mkuu Komandoo asante kwa somo zuri nimelipenda sana. Naomba unieleweshe zaidi juu ya loyality program tafadhali.
 
Mkuu kwanza kabisa. Je wewe ni mfanya biashara au mJasirimali? kama ni mfanya biashara uko sahihi na kama ni mjasiriamali uko wrong kabisa

Unafurahisha sana mkuu, Hizi ni strategies ta kutengeneza loayility ya wateja kwako, na si kuwahonga, wewe ndo unaye jua hizi ni njia za kuwahonga wateja
Mkuu kama ni product za nguvu kila kampuni inazo za nguvu sana, Mfano
1. Cocacola na Peps

2. Kilimanjaro bear na Serenget

3. White Dent na Collogate

Mfano mingine wote mnazalisha mayai ya kuku wa kienyeji au kisasa je wewe product yako itakuwa na nguvu kiasi gani? mayai yako ya kuku wa kienyeji na ya mwenzako ya kuku wa kienyeji yatatofautiana vip?


Location
1. Hakuna kampuni hata moja inayo weka location ambayo siyo

Matangazo

1. Cheki mfano wa kampuni za sabuni za unga si zote zinatangaza?

2. Cheki twiga cement na Simba cement wanavyo tangaza

3. Cheki makampuni ya simu yanavyo fanya matangazo makubwa

MKUU HAYA MAMBO NI MAGENI KWAKO NA KWA WATANZANIA NA UTAKUJA KUYAELEWA ONE DAY, BIASHARA SI KUUZA TU NA KUPATA FAIDA, CHEKI MFANO WA MABENK HATA MABENK HUWAFANYIA PARTY WATEJA WAO MUHIMU SANA

1. USIPO FANYA WEWE WATAFANYA WENGINE NA HAPA SI KUWAHONGA

1. MFANYA BIASHARA KAMA MENGI UKIMTUMIA KADI YA BUKU MOJA NI KUMHONGA?

2. UKIWANDALIA WATEJA WAKO PARTY YA SODA MOJA NA KEKI NI KUWAHONGA?

MKUU HAPA SI SIASA NA SI KILE CHAMA KINACHO FANYA PARTY NA ZAWADI ZA KUWAHONGA WAPIGA KURA, UNACHO FANYA NI KUJARIBU KUWAHAMASISHA WATEJA WAKO NA WAJIONE WAO NI SEHEMU YA KAMPUNI YAKO.

Mkuu ghalama ya kumaintain mteja ni ndogo sana kuliko ya kumtafuta mteje mpya,


Mkuu hii kitu ya biashara iko complex sana,kwa mfano hiyo uliyosema ya kuwatakia watu heri ya sikuku,mie naweza kutoa mfano kuna watu kama watano tofauti nilishawahi kusikia wakilalamika kuhusu line zao za tigo na voda kuwatumia msg mbalimbali kama ulizosema zikiwemo za heri ya sikuku na nyingine nyingi bila idhini yao,kwa kweli ni kero kwa watu wengi hawapendi wengine wamediriki kupiga mpaka huko kwa maprovider kulalamika kutumiwa hizo msg,hiyo imekua ni kero haifurahishi wateja wengi.

Hiyo niliyokueleza bidhaa zenye ubora naweza kukupa mfano,gazeti la mwananchi ni gazeti linalouzika sana kuliko magazeti mengine nchini,ni kuwa wanajitahidi kutoa habari yenye uhakika na ukweli ndio ubora wenyewe huo.Leo wamepandisha bei watu wanaendelea kulinunua kwa sababu ya ubora wake.

Mfano mwingine kuna maziwa fulani yanaitwa Tanga Fresh kwa kweli haya maziwa yanauzika zana especially maeneo ya Dar na sio kwa sababu ya sherehe wanazofanyia wateja ni kwa sababu ya ubora wa bidha zao.

Mkuu unazungumzia mambo ya kuandaa party kwa wateja wako,pepsi na cocacola kweli wakiamua kuandaa party kwa wateja wake kampuni hizo zitasurvive kweli?wateja wao ni watanzania milioni 40.

Umeleza kugawa sample kwa wateja kilimanjaro na serengeti wagawe sample zao kwa mamilioni ya wateja wao ,ndio maana nikasema idea yako ni nzuri lakini inahongahonga wateja sana.

Mie bado nasema hivii cocacola na pepsi tengenezeni bidhaa zenye ubora,chupa safi hamna uchafu ndani,ladha inayokubalika mtafanya biashara,ili iwe hivyo boresheni maslai ya wafanyakazi wenu watasimamia vizuri zitatengenezwa bidhaa zenye ubora mtauza tu.
 
Mkuu hii kitu ya biashara iko complex sana,kwa mfano hiyo uliyosema ya kuwatakia watu heri ya sikuku,mie naweza kutoa mfano kuna watu kama watano tofauti nilishawahi kusikia wakilalamika kuhusu line zao za tigo na voda kuwatumia msg mbalimbali kama ulizosema zikiwemo za heri ya sikuku na nyingine nyingi bila idhini yao,kwa kweli ni kero kwa watu wengi hawapendi wengine wamediriki kupiga mpaka huko kwa maprovider kulalamika kutumiwa hizo msg,hiyo imekua ni kero haifurahishi wateja wengi.

Hiyo niliyokueleza bidhaa zenye ubora naweza kukupa mfano,gazeti la mwananchi ni gazeti linalouzika sana kuliko magazeti mengine nchini,ni kuwa wanajitahidi kutoa habari yenye uhakika na ukweli ndio ubora wenyewe huo.Leo wamepandisha bei watu wanaendelea kulinunua kwa sababu ya ubora wake.

Mfano mwingine kuna maziwa fulani yanaitwa Tanga Fresh kwa kweli haya maziwa yanauzika zana especially maeneo ya Dar na sio kwa sababu ya sherehe wanazofanyia wateja ni kwa sababu ya ubora wa bidha zao.

Mkuu unazungumzia mambo ya kuandaa party kwa wateja wako,pepsi na cocacola kweli wakiamua kuandaa party kwa wateja wake kampuni hizo zitasurvive kweli?wateja wao ni watanzania milioni 40.

Umeleza kugawa sample kwa wateja kilimanjaro na serengeti wagawe sample zao kwa mamilioni ya wateja wao ,ndio maana nikasema idea yako ni nzuri lakini inahongahonga wateja sana.

Mie bado nasema hivii cocacola na pepsi tengenezeni bidhaa zenye ubora,chupa safi hamna uchafu ndani,ladha inayokubalika mtafanya biashara,ili iwe hivyo boresheni maslai ya wafanyakazi wenu watasimamia vizuri zitatengenezwa bidhaa zenye ubora mtauza tu.

1. KWENYE KUMBUKUMBU MUHIMU
- Hii inaweza kuwa sikukuu ya kuazliwa cristmas, New year na kazalika. ni kweli makampuni ya simu hufanya hivyo na si makampuni ya simu pekee makampuni kibao huwatakia sikukuu njema wateja wao muhimu sana na hata kuwatumia kadi za kuzaliwa kwa mteja mmoja mmoja au kadi ya ujumla kwa ajili ya kampuni nzima.
Hao wanao lalamika siwezi jua mimi,

WEWE UNAWEZA KUWA NA MGAHAWA WAKO AU BIASHARA YA KUUZA MAYAI AU KUKU NA UKAWA NA NAMBA ZA SIMU ZA WATEJA WAKO WOTE NA HATA TAREHE ZAO ZA KUZALIWA NA INAPOFIKIA UNAKUWA UNAWATUMIA EITHER KADI AU SMS

2. KUHUSU MWANANCHI,
Mkuu mimi sizungumzii kampuni kushindana nazungumzia kumainatain wateja wako, mkuu elewa maada yangu tafadhali, si zungumzii ni kampuni ipi inawateja wengi nazungumzia kuwa encourage wateja wako na kuwatia moyo waendelee kubakia kwako wasiondoke,

3. MAZIWA YA TANGA
Mkuu hii party hazifanywi kwa wateja wote, MFANO KAMPUNI YA SONY NIKUBWA SANA HAIWEZI FANYA PARTY KWA WATEJA WANAO TUMIA VIFAA VYAKE DUNIA NZIMA NA NDO MAANA NASEMA HIZI STRATEGIES HAZITUMIKI ZOTE KWA WAKATI MMOJA INADEPEND NA NATURE YA BIASHARA YAKO

Hata hivyo kampuni kama SONY inafanya party au hata kuwaalika wateja wake muhimu kutembelea makao makuu yao na hii inafanyika kwa wale wateja wao wajumla mfano Africa inaweza kuwa na wateja wake wakuu my b 50

SONY inaweza kuwa na ajent wake Tanzania na ikawa naye Kenya so yenyewe inakuwa inafanya kwa wateja wao ngazi ya nchi na hawa Maajent walioko Tanzania watafanya hizo startegies kwa wateja wao nagazi za chini

4. SAPLE
Mkuu kwani zile promotion zinazo fanyika huwa ni zanini? huwezi gawa kwa kila mtu but unaweza kugawa kwa watu fulani au wateja fulani kuwakilisha wengine, Kama wewe ni mywaji utakua unajua kuwa huwa wanagawa sana

Na hii sample huwa ni kwa bidhaa mpya inpo ingia sokoni, na huwa wanafanya sana na makampuni kibao duniani huwa yanafanya kuanzia ya magari, Computa, na kazalika ila si kwa kila mtu,

So wewe ply your party
 
Mkuu Komandoo asante kwa somo zuri nimelipenda sana. Naomba unieleweshe zaidi juu ya loyality program tafadhali.

Dada kwenye loyality programa ni kile kitendo cha kuwa treat wale loyal customer tofauti na wateja wengine

NAOMBA IELEWEKE KWAMBA LOYALITY HAIJENGWI KWA KILA MTEJA ANAYE KUJA KUNUNUA KWAKO, NO HII NI KWA SPECIAL CUSTOMER ONLY.

Mfano
1. Mabenk kuna ile tabia yao ya wateja wenye pesa nyingi hawapangi foleni hiyo ni moja ya hio

2. Na hata makampuni ya simu yana special number kwa wateja wao wale wa After paid, wanao lipia kama bili vile na hii ni treat spcial kwao

3. Unaweza kuwa na ukumbi wako wa cinema na wale loyal customer wako wakawa na viti special

4. Unaweza ukawa na saluni yako wale loyal customer wako wakawa na treat tofauti na wateja wengine na hii si ubaguzi kwa sababu upo sana

LEO HII MABENK KUNA WATEJA WAO WAKISEMA WANA FUNGA AKAUNTI ZAO BENK INAWEZA KUFILISIKA NA HAWA WATEJA HAWAWEZI HATA SIKU MOJA WAKATENDEWA AU WAKA PATA HUDUMA SAWA SAWA NA WATEJA WENGINE, HAWA WAKIJA KUONANA NA MENEJA INABIDI WATEJA WENGINE MKAE PEMBENI KWANZA

5. NA HATA MAHOSPITAL HAYA YA PRIVATE YANA HUDUMA SPECILA KWA WATEJA WAO AMBAO NI LOYAL NA WAKIJA WANAUMWA WAO NI FASTA
 
Nimejifunza mambo mengi sana hapa, yaani JF ni zaidi ya University....!!! Asante sana KOMANDOO.
 
Mkuu naona habari yako ni nzuri na inafaa lakini imekaa upande wa kuwahongahonga wateja zaidi,mimi nasema hivi wewe ukitaka kufanya biashara weka product za uhakika na zenye ubora,pamoja kuangalia biashara umeitega wapi katika mazingira yapi,mfano mtu aliyetega biashara sehemu yenye wingi mkubwa na watu ni tofauti na zenye watu wachache,na pia biashara ni matangazo na kutangaza sio lazima uwahonge wateja sana ndio ufanye biashara,unaweza kuweka mabango,unaweza kuwaelezea watu kuhusu product yako sio lazima uwafanyie sherehe ndio waipende product yako,tujaribu kufikiria zaidi mbinu ya kumvutia mteja bila kutumia gharama kubwa sana.
siku zote ukiyastajabia ya Musa , utayaona ya filauni
 
hii ni bonge la elimu na inaweza tusaidia sana katika hii dunia ya ushindani, katika ulimwengu wa ushindani mkali sana bila kuwa na mikakati unaweza shindwa biashara,
 
wooooow!!great!! mkuu kwa hili umekuwa profesa wangu kwa leo,nimejifunza mengi sana namna ya kuwatreat wateja wangu
 
Back
Top Bottom