CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
[h=3]NJIA ZA KUWAFANYA WATEJA WAKO KUWA LOYALITY KWENYE BIASHARA YAKO
1. Anzisha loyality program[/h] [h=3]Hii ni moja ya njia yenye nguvu kabisa katika kuwa encourage wateja wako na ikiifanyia kazi vizuri itawafanya wateja wabakie lyality kwenye biashara yako daima.[/h] [h=3]Wateja wengi wanapenda kutambliwa na kuthaminiwa michango yao katika kukuza biashara yako, so waambie wateja wako kwambo layility yoa itathaminiwa milele na milele kwenye kampuni yako[/h]
[h=3]2. Toa asilimia 100% guarantee ya kuwarejeshea wateja pesa yao,[/h] [h=3]- Hii ni moja ya njia ngumu kabisa na yenye maumivu makubwa sana, hii ni njia ya maumivu kwa mjasiriamali yeyote yule lakini ni moja ya njia bora kabisa za kumuincourage mteja wako, na kumfanya kuwa loyality kwa biashara yako,[/h] [h=3]Hii haiwei kuitwa offer kwa wateja bali ni entergrity yako kwa wateja wako na wateja mara nyingi hujisikia vizuri sana wanaporejeshewa pesa zao.[/h] [h=3]Mfano,[/h] [h=3]Kuna baadhi ya kampuni za mabasi ambazo gari ikiharibika tu baada ya masaa kama matutu au manne wataleta gari jingine kufaulisha nah ii huwa inawasaidia wateja kujenga uaminifu na kampuni yako,[/h] [h=3]Hakuna kitu kibaya kinacho samba katika jamii kama hasira kwa kampuni yako, kutoridhika na huduma yako na kazalika, hivi ni vitu vibaya sana,[/h] [h=3]
[/h] [h=3]3. Toa offer ya Discount kwa wateja wako[/h] [h=3]Nini umihimu wa Discount? Discount humfanya mteja wako kutambua sacrfie kiasi gain umefanya kwa ajili yake yeye,[/h] Mfano: Unauza mayai, wawekee wateja wako discount kwamba akinunu kiasi Fulani atapunguziwa bei kiasi fulani
[h=3]3. Kumbuka Tarehe muhimu sana[/h] [h=3]Hii Ni moja ya njia nzuri Sana ya kuwa encourage wateja wako, Na inaongeza customer loyality Kwa kampuni yako, hii inawafanya wahisi ni kiasi gain kampuni yako inawajari wateja wake.[/h] [h=3]Mfano: 1. Kuwatakiwa wateja wako hapy birthday[/h] [h=3]2. Kuwatakia wateja wako sikukuu njema[/h] [h=3]3. Kumtakia mteja wako congaraturation pale anapo pata motto au kuhitimu kitu Fulani[/h] [h=3]Hapa jaribu kuwa na Dayari na weak kumbukumbu za wateja wako ikiwemo tarehe ya kuazaliwa, Tarehe za kuzaliwa za watoto wao, muda wa watoto wao kuhitimu masomo, na information zingine ili iwe rahisi kufanya hivyo[/h] [h=3]
[/h] [h=3]4. Hakikisha uko karibu sana na wateja wako,[/h] [h=3]Jitahidi kuwapa up date wateja wako ni kitu gain kinaendelea kwenye kampuni yako na kazalika hii itawafanya wajisikie vizuri sana[/h] [h=3][/h] [h=3] 6. Wape wateja wako free sample ya bidhaa[/h] [h=3]Hii inasaidia kuwajenga wateja wako na kuwatia hamasa sana, unafanya biashara ya kufuga kuku wape wateja wako sampe ya kuku wako wanyama unao tarajia kuwauzia[/h] [h=3]- Unapika mandazi wape sample ya mandazi yako,[/h] [h=3]
[/h] [h=3] 7. Wapatie wateja wako zawadi za kushitukiza[/h] [h=3]Hii ni nia rahisi sana na yenye umuhimu katika kuwahamasisha wateja wako, Hebu fikiria wewe huwa unajisikiaje unapo pokea zawadi ambayo hukuitegemea?[/h] [h=3]Usione ni hasara kufanya hivyo kwa sababu impact yake kwa kampuni yako ni kubwa sana[/h] [h=3][/h] [h=3]6. Wapatie wateja wako huduma ya free [/h] [h=3]Mfano wewe unauza mayai, basi wapatie wateja wako huduma ya kuwapelekea mayai hadi sehemu wanayo peleka.[/h] [h=3]- Wewe ni fund computa baada ya kumaliza kumtengenezea mteja komputa mfanyie installation za program bule kabisa,[/h] [h=3]- Hii ni njia nzuri sana ya kujenga loyality kwa wateja wako na wewe kama wewe utaangalia ni vipi unaweza kuipractice kulingana na biashara yako na uwezo wa biashara yako[/h] [h=3][/h] [h=3]7. Andaa party ya asante/kuwashukuru wateja wako[/h] [h=3]Hii ina weza kuonekana ni ghali sana lakini kuandaa party ya kuwashukuru wateja wako ni jambo la maana sana na ambalo lina impact kubwa sana kwa wateja wako,[/h] [h=3]- Hii itasaidia wateja wako kukutana sehemu moja na kudiscus vyema kuhusu bidhaa zako/ huduma yako,[/h] [h=3]- Inasaidia wateja wako kukuuliza maswali ya ana kwa ana[/h] [h=3]- Inawafanya wateja wako wajihisi na wao ni sehemu ya bidhaa zako/huduma yako[/h] [h=3][/h] [h=3]8. Fanyia kazi malalamiko ya wateja kwa haraka sana na kwa kasi ya ajabu,[/h] [h=3]Hii ndo mbinu namba moja ya kuweza kujenga loyality ya wayeja wako, nah ii ndo njia ambayo usipo ifanyia kazi huwa unawafanya wateja wakulaumu sana na hata kuhama kabisa kwenye kampuni yako,
Hakuna kitu kinaweza kuwafanya wateja wawe na hasira kama maneno yako ya negative utakayo yatoa zidi yao[/h]
KUMBUKA KWAMBA HABARI MBAYA HUSAMBAA KWA KASI NA HARAKA ZAIDI KAMA MOTO ULIOWASHWA POLINI, SO NA HABARI MBAYA KUHUSU BIASHARA YAKO ZINAWEZA SAMBAA KWA KASI YA KUTISHA NA NDANI YA MUDA MFUPI IKAWA IMEISHA WAFIKIA WATEJA WAKO NA WATU WENGINE WENGI SANA
1. Anzisha loyality program[/h] [h=3]Hii ni moja ya njia yenye nguvu kabisa katika kuwa encourage wateja wako na ikiifanyia kazi vizuri itawafanya wateja wabakie lyality kwenye biashara yako daima.[/h] [h=3]Wateja wengi wanapenda kutambliwa na kuthaminiwa michango yao katika kukuza biashara yako, so waambie wateja wako kwambo layility yoa itathaminiwa milele na milele kwenye kampuni yako[/h]
[h=3]2. Toa asilimia 100% guarantee ya kuwarejeshea wateja pesa yao,[/h] [h=3]- Hii ni moja ya njia ngumu kabisa na yenye maumivu makubwa sana, hii ni njia ya maumivu kwa mjasiriamali yeyote yule lakini ni moja ya njia bora kabisa za kumuincourage mteja wako, na kumfanya kuwa loyality kwa biashara yako,[/h] [h=3]Hii haiwei kuitwa offer kwa wateja bali ni entergrity yako kwa wateja wako na wateja mara nyingi hujisikia vizuri sana wanaporejeshewa pesa zao.[/h] [h=3]Mfano,[/h] [h=3]Kuna baadhi ya kampuni za mabasi ambazo gari ikiharibika tu baada ya masaa kama matutu au manne wataleta gari jingine kufaulisha nah ii huwa inawasaidia wateja kujenga uaminifu na kampuni yako,[/h] [h=3]Hakuna kitu kibaya kinacho samba katika jamii kama hasira kwa kampuni yako, kutoridhika na huduma yako na kazalika, hivi ni vitu vibaya sana,[/h] [h=3]
[/h] [h=3]3. Toa offer ya Discount kwa wateja wako[/h] [h=3]Nini umihimu wa Discount? Discount humfanya mteja wako kutambua sacrfie kiasi gain umefanya kwa ajili yake yeye,[/h] Mfano: Unauza mayai, wawekee wateja wako discount kwamba akinunu kiasi Fulani atapunguziwa bei kiasi fulani
[h=3]3. Kumbuka Tarehe muhimu sana[/h] [h=3]Hii Ni moja ya njia nzuri Sana ya kuwa encourage wateja wako, Na inaongeza customer loyality Kwa kampuni yako, hii inawafanya wahisi ni kiasi gain kampuni yako inawajari wateja wake.[/h] [h=3]Mfano: 1. Kuwatakiwa wateja wako hapy birthday[/h] [h=3]2. Kuwatakia wateja wako sikukuu njema[/h] [h=3]3. Kumtakia mteja wako congaraturation pale anapo pata motto au kuhitimu kitu Fulani[/h] [h=3]Hapa jaribu kuwa na Dayari na weak kumbukumbu za wateja wako ikiwemo tarehe ya kuazaliwa, Tarehe za kuzaliwa za watoto wao, muda wa watoto wao kuhitimu masomo, na information zingine ili iwe rahisi kufanya hivyo[/h] [h=3]
[/h] [h=3]4. Hakikisha uko karibu sana na wateja wako,[/h] [h=3]Jitahidi kuwapa up date wateja wako ni kitu gain kinaendelea kwenye kampuni yako na kazalika hii itawafanya wajisikie vizuri sana[/h] [h=3][/h] [h=3] 6. Wape wateja wako free sample ya bidhaa[/h] [h=3]Hii inasaidia kuwajenga wateja wako na kuwatia hamasa sana, unafanya biashara ya kufuga kuku wape wateja wako sampe ya kuku wako wanyama unao tarajia kuwauzia[/h] [h=3]- Unapika mandazi wape sample ya mandazi yako,[/h] [h=3]
[/h] [h=3] 7. Wapatie wateja wako zawadi za kushitukiza[/h] [h=3]Hii ni nia rahisi sana na yenye umuhimu katika kuwahamasisha wateja wako, Hebu fikiria wewe huwa unajisikiaje unapo pokea zawadi ambayo hukuitegemea?[/h] [h=3]Usione ni hasara kufanya hivyo kwa sababu impact yake kwa kampuni yako ni kubwa sana[/h] [h=3][/h] [h=3]6. Wapatie wateja wako huduma ya free [/h] [h=3]Mfano wewe unauza mayai, basi wapatie wateja wako huduma ya kuwapelekea mayai hadi sehemu wanayo peleka.[/h] [h=3]- Wewe ni fund computa baada ya kumaliza kumtengenezea mteja komputa mfanyie installation za program bule kabisa,[/h] [h=3]- Hii ni njia nzuri sana ya kujenga loyality kwa wateja wako na wewe kama wewe utaangalia ni vipi unaweza kuipractice kulingana na biashara yako na uwezo wa biashara yako[/h] [h=3][/h] [h=3]7. Andaa party ya asante/kuwashukuru wateja wako[/h] [h=3]Hii ina weza kuonekana ni ghali sana lakini kuandaa party ya kuwashukuru wateja wako ni jambo la maana sana na ambalo lina impact kubwa sana kwa wateja wako,[/h] [h=3]- Hii itasaidia wateja wako kukutana sehemu moja na kudiscus vyema kuhusu bidhaa zako/ huduma yako,[/h] [h=3]- Inasaidia wateja wako kukuuliza maswali ya ana kwa ana[/h] [h=3]- Inawafanya wateja wako wajihisi na wao ni sehemu ya bidhaa zako/huduma yako[/h] [h=3][/h] [h=3]8. Fanyia kazi malalamiko ya wateja kwa haraka sana na kwa kasi ya ajabu,[/h] [h=3]Hii ndo mbinu namba moja ya kuweza kujenga loyality ya wayeja wako, nah ii ndo njia ambayo usipo ifanyia kazi huwa unawafanya wateja wakulaumu sana na hata kuhama kabisa kwenye kampuni yako,
Hakuna kitu kinaweza kuwafanya wateja wawe na hasira kama maneno yako ya negative utakayo yatoa zidi yao[/h]
KUMBUKA KWAMBA HABARI MBAYA HUSAMBAA KWA KASI NA HARAKA ZAIDI KAMA MOTO ULIOWASHWA POLINI, SO NA HABARI MBAYA KUHUSU BIASHARA YAKO ZINAWEZA SAMBAA KWA KASI YA KUTISHA NA NDANI YA MUDA MFUPI IKAWA IMEISHA WAFIKIA WATEJA WAKO NA WATU WENGINE WENGI SANA