Wakuu wa jukwaa la uchumi nawasalimu.
JUkwaa hili la uchumi ndilo jukwaa ambalo kila siku lazima nilichungulie kwanza,katika pitapita zangu humu nimegundua kwamba wafanyabiashara wengi tumekua tukiumizwa na wafanyakazi tuliowaajiri katika biashara zetu kutokana na wao kutuibia jambo ambalo limesababisha wengine wafunge biashara zao au wengine wapate faida wasiyo stahili.
Mim ni mmoja wa waathirika wa hili tatizo,nina biashara sehemu mbali mbali ambako siwezi kusimamia sehemu zote peke yangu.
Kama kuna ambao mmeweza kudhibiti msiibiwe naomba mtuambie mmetumia mbinu gani kufanikisha hilo.Tusaidiane jamani wenzenu tunaibiwa sana.
Natanguliza shukrani.
JUkwaa hili la uchumi ndilo jukwaa ambalo kila siku lazima nilichungulie kwanza,katika pitapita zangu humu nimegundua kwamba wafanyabiashara wengi tumekua tukiumizwa na wafanyakazi tuliowaajiri katika biashara zetu kutokana na wao kutuibia jambo ambalo limesababisha wengine wafunge biashara zao au wengine wapate faida wasiyo stahili.
Mim ni mmoja wa waathirika wa hili tatizo,nina biashara sehemu mbali mbali ambako siwezi kusimamia sehemu zote peke yangu.
Kama kuna ambao mmeweza kudhibiti msiibiwe naomba mtuambie mmetumia mbinu gani kufanikisha hilo.Tusaidiane jamani wenzenu tunaibiwa sana.
Natanguliza shukrani.