kalendi
JF-Expert Member
- Mar 17, 2012
- 1,327
- 521
Kwa kuongezea hapo mi nataka pete ya ku-bet mana kanjibahi kashapiga sana hela zangu...
Mkuu umeniwahi nilichokuwa nataka kusema!
Kwa kuongezea hapo mi nataka pete ya ku-bet mana kanjibahi kashapiga sana hela zangu...
watakuwa walikuwa wanapigwa passportMtoa mada samahani,hizo picha ni kweli ndo majini halisi wako hvo?na ulizipiga wakati gani au ulikua una mwita jini mmoja mmoja halafu ndo unampiga picha?
Nasikia haya majini yana masharti magumu sana pindi unapoyatumia, haiko simple kama maelezo yanavyoonyesha hapo juu
Mtoa mada sijui unazungumziaje hoja hii
Aibu kwako wewe Mtoto mdogo usie juwa dunia jinsi ilivyo kwangu mimi ni jambo kubwa sana wewe bado bwana mdogo hujajuwa Dunia jinsi inavyoendeshwa na viumbe wa giza nenda shule ukajifunze au waulize watu wazima waliokuzidi umri utaambiwa.
KWA HAKIKA WALIKUWA WATU WAKIJILINDA(KUOMBA MSAADA WA ULINZI) KWA MAJINI, BASI (HAO MAJINI) WAKAWAZIDISHIA UPOTOFU( MWAKA HUU LETE MBUZI, MWAKANI NG'OMBE, MWAKA UNAOFUATA MWANAO, UNAOFUATA MZAZI..).. QUR-AN 72:6JINSI YA KUWADHIBITI MAJINI HAWA WANNE NA KUWATUMIA KUPITIA PETE
Jinni ni jina waliyopewa majini wote. Kuna habari nyingi zinazotafautiana kuhusu vyeo vya majini kutokana na nguvu zao. Lakini watu wote wanaamini kwamba daraja zao zinaendana kutokana na nguvu zao na umri wao. Ili kufahamu zaidi hii ni orodha ya baadhi ya Majini na uwezo wao,na jinsi ya kuweza kumdhibiti jini huyo kwa kutumia pete ambayo imefukizwa mafusho yake husika na kumtumia katika mambo yako mbalimbali kupitia pete hiyo uliyovaa kidoleni.
AINA YA MAJINI
Kuna aina tatu za majini:
(1) majini ambao huruka angani
(2) Majini ambao maumbo yao ni kama majoka na mbwa.
(3) majini ambao huishi sehemu moja na kuhama hama.
MAKUNDI YA MAJINI
Kuna makundi mengi ya majini:-
(a) Majini ambao huishi na binadamu huitwa ‘Amir.
(b)Majini ambao hushambulia watoto wa kiume huitwa Ruh (arwaah).
(c) Majini ambao wenye nia mbaya na wenye kiburi huitwa shaytwan.
(d) Majini wenye nguvu kuliko mashetani wanaitwa Marid.
(e) Majini wenye nguvu kuliko marid wanaitwa Ifrit.”
1. JINNI JANN
Jann ni majini wadogo, wenye hadhi ya chini na wasiokuwa na nguvu.
Umbo lao ni kama binadamu na huonekana warefu ila macho yao huwa yanawaka waka na kutoa mwanga wa ajabu.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete yenyewe ni ya jiwe la turqoise na katikati ya pete hiyo ndiyo kuna nguvu za kumdhibiti jini huyu.
Pete yenyewe imezungukwa na mawe manne madogo ambayo kazi zake ni:-
(1) Jiwe la kwanza ni la kukuletea utajiri, heshima na utukufu.
(2) jiwe la pili linakupa mvuto wa kimapenzi na uzuri
(3) Jiwe la tatu linakuletea bahati na kukuondolea matatizo.
(4) jiwe la nne linakupa uwezo wa kumrubuni mtu yeyote unayeongea nae.
2.JINNI DJINN
Djinn majini hawa wana urefu mara mbili zaidi ya mwanadamu ingawa sehemu yake ya chini huwa kama moshi na upepo
majini hawa ni wengi lakini baadhi yao hawana nguvu, kazi yao ni kutisha watu kwa raha zao wenyewe.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jini huyu ni ya shaba yenye kito cha sapphire ya njano, kazi yake kubwa ni kukuwezesha kushinda michezo kama vile kamari, bahati nasibu na kukushauri sehemu ya kuwekeza kibiashara.
3.JINNI AFRIT
Afrit Minal jini ni Majini wanaojulikana kwa nguvu zao na ujanja.
Jini huyu mwenye umbo la kiume ana ngozi nyororo macho yanayo fuka moshi na pembe ndogo nyeusi. Hutokwa na moshi wa mviringo kutoka mwilini mwake.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jinni huyu ni ya shaba na kito cha rangi ya blue, Pete hiyo itakusaidia katika Michezo ya bahati nasibu, kukuletea bahati, utajiri, mafanikio katika kazi na biashara zako pamoja na bahati katika masuala ya mapenzi.
4.JINNI MARIDA
Jini Huyu ana sura ya kufanana na Jitu kubwa lenye nguvu, ngozi yake ya mwili ina rangi ya bluu na kijani.
Majini haya ya Marida ni yenye nguvu na uwezo mkubwa sana na huwa wanatumiwa kwalinda na kuwasaidia Wafalme, Matajiri wakubwa, marais na Viongozi wakubwa serekalini. Majini hawa huishi kati ya miaka 2000 na 2500)
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete hii ya shaba na kito cha quartz itakusaidia kudhibiti watu, kuheshimiwa, watu kukuogopa, kuwa na mvuto katika jamii, kujua mambo yatakayokukuta huko unakoelekea, kinga na kukusaidia katika mambo mengi ya kiutawala.
pete ifukizwe mafusho husika kabla ya kuivaa
Ukiwa na Maswali au shida yoyote unawezakunitafuta kwa kubonyez hapa. Au Piga Simu hizi hapa Kwa Doctor Ally chambas
0653 532036
0764 995259
Wote wamelaaniwa hakn mzur hpmimi namurlewa vzr sn Mzizi Mkavu...hawa viumbe ni wazuri sana ukiendana na madharti yao usione watu ni matajiri...watu wana vyeo vikubwa kwenye koo zao....kuna mambo mengi sana behind the scene...mojawapo ili ufanikiwe na hawa viumbe ni kufuata masharti yao kila kukicha yaani iwe sehemu ya maisha yako...na akigundua unemdanganya atakachokufanya hutasahau maishani mwako...ila ni viumbe wazuri sana ukimfuatilia anachotaka ...hutakwama na ikitokea ukikwama au kupatwa na jambo atakuoko km stering kwenye movie ya kichina...but never play badly with them...hio ni BIG WARNING....anaweza teketeza hata ukoo mzima au yule unaempenda zaidi ktk familia yako...but they are very super when you play with them in good way...ni hayo tu
Unataka nikutumie mmoja wapo akujie leo ili upate kuthibisha hao viumbe wapo?
Selfie!Hizi picha za hawa Majini mmezipata wapi? Au mmezipigaje?
Simple Lala Kwenye Kitanda Chenye Shuka Nyeupe Tupu Saa Nane Ndio Ulale Ukiwa Uchi Wa Mnyama Washa Udi Atakupa Pesa Baada Ya Kukushughulikia....,
Hivi Barack Obama,Trump,Bakhressa,Bill Gate,Hashim Thabit,na wao wanatumia majini?kama hawatumii,na wamefika hapo walipo,then hii story ya faida ya majini is just a myth!JINSI YA KUWADHIBITI MAJINI HAWA WANNE NA KUWATUMIA KUPITIA PETE
Jinni ni jina waliyopewa majini wote. Kuna habari nyingi zinazotafautiana kuhusu vyeo vya majini kutokana na nguvu zao. Lakini watu wote wanaamini kwamba daraja zao zinaendana kutokana na nguvu zao na umri wao. Ili kufahamu zaidi hii ni orodha ya baadhi ya Majini na uwezo wao,na jinsi ya kuweza kumdhibiti jini huyo kwa kutumia pete ambayo imefukizwa mafusho yake husika na kumtumia katika mambo yako mbalimbali kupitia pete hiyo uliyovaa kidoleni.
AINA YA MAJINI
Kuna aina tatu za majini:
(1) majini ambao huruka angani
(2) Majini ambao maumbo yao ni kama majoka na mbwa.
(3) majini ambao huishi sehemu moja na kuhama hama.
MAKUNDI YA MAJINI
Kuna makundi mengi ya majini:-
(a) Majini ambao huishi na binadamu huitwa ‘Amir.
(b)Majini ambao hushambulia watoto wa kiume huitwa Ruh (arwaah).
(c) Majini ambao wenye nia mbaya na wenye kiburi huitwa shaytwan.
(d) Majini wenye nguvu kuliko mashetani wanaitwa Marid.
(e) Majini wenye nguvu kuliko marid wanaitwa Ifrit.”
1. JINNI JANN
Jann ni majini wadogo, wenye hadhi ya chini na wasiokuwa na nguvu.
Umbo lao ni kama binadamu na huonekana warefu ila macho yao huwa yanawaka waka na kutoa mwanga wa ajabu.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete yenyewe ni ya jiwe la turqoise na katikati ya pete hiyo ndiyo kuna nguvu za kumdhibiti jini huyu.
Pete yenyewe imezungukwa na mawe manne madogo ambayo kazi zake ni:-
(1) Jiwe la kwanza ni la kukuletea utajiri, heshima na utukufu.
(2) jiwe la pili linakupa mvuto wa kimapenzi na uzuri
(3) Jiwe la tatu linakuletea bahati na kukuondolea matatizo.
(4) jiwe la nne linakupa uwezo wa kumrubuni mtu yeyote unayeongea nae.
2.JINNI DJINN
Djinn majini hawa wana urefu mara mbili zaidi ya mwanadamu ingawa sehemu yake ya chini huwa kama moshi na upepo
majini hawa ni wengi lakini baadhi yao hawana nguvu, kazi yao ni kutisha watu kwa raha zao wenyewe.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jini huyu ni ya shaba yenye kito cha sapphire ya njano, kazi yake kubwa ni kukuwezesha kushinda michezo kama vile kamari, bahati nasibu na kukushauri sehemu ya kuwekeza kibiashara.
3.JINNI AFRIT
Afrit Minal jini ni Majini wanaojulikana kwa nguvu zao na ujanja.
Jini huyu mwenye umbo la kiume ana ngozi nyororo macho yanayo fuka moshi na pembe ndogo nyeusi. Hutokwa na moshi wa mviringo kutoka mwilini mwake.
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete ya kumdhibiti jinni huyu ni ya shaba na kito cha rangi ya blue, Pete hiyo itakusaidia katika Michezo ya bahati nasibu, kukuletea bahati, utajiri, mafanikio katika kazi na biashara zako pamoja na bahati katika masuala ya mapenzi.
4.JINNI MARIDA
Jini Huyu ana sura ya kufanana na Jitu kubwa lenye nguvu, ngozi yake ya mwili ina rangi ya bluu na kijani.
Majini haya ya Marida ni yenye nguvu na uwezo mkubwa sana na huwa wanatumiwa kwalinda na kuwasaidia Wafalme, Matajiri wakubwa, marais na Viongozi wakubwa serekalini. Majini hawa huishi kati ya miaka 2000 na 2500)
PETE YA KUMDHIBITI JINNI HUYU
Pete hii ya shaba na kito cha quartz itakusaidia kudhibiti watu, kuheshimiwa, watu kukuogopa, kuwa na mvuto katika jamii, kujua mambo yatakayokukuta huko unakoelekea, kinga na kukusaidia katika mambo mengi ya kiutawala.
pete ifukizwe mafusho husika kabla ya kuivaa
Ukiwa na Maswali au shida yoyote unawezakunitafuta kwa kubonyez hapa. Au Piga Simu hizi hapa Kwa Doctor Ally chambas
0653 532036
0764 995259