Mangole Valles Michael
JF-Expert Member
- May 30, 2021
- 333
- 671
JINSI YA KUWA MILIONEA KTK DUNIA YA TEKINOLOJIA:
Wakuu habarini za Leo.
Napenda kuwapongeza wadau wote waliomo humu ndani ya group Hili, mimi binafsi natambua michango yenu ktk kusaidia na kuelekezana mambo mbali mbali yahusuyo computer.
Dunia ya leo inaenda kasi Sana nasi tumekua mashuhuda, asilimia kubwa ya matajiri utajiri wao umetokana na mfumo wa kitekinolojia, tunamuona Bill get, jack wa China, waanzilishi wa Facebook, YouTube n.k Ni wengi Sana kwa idadi na kadri dunia inavyo zidi kukua ndivyo watakavyo jitokeza matajiri wengine.
Ni kweli tekinolojia ni pana Sana, lengo la makala hii nimewalenga wadau wote wa Computer science & it student's group kutoa mchango wenu;
i/ Nikwa namna gani sisi kama wadau wa to Tunaweza kuziona fursa kubwa ZINAZO weza kufanya mapinduzi ya kitekinolojia na sio kuishia tu kwenye maswala madogo madogo?
ii/ wewe unawaza nini katika kujikomboa kiuchumi kupitia elimu hii ya tekinolojia uliyo nayo?
*ainisha na maono yako na plan ulizo nazo.
KUMBUKA MAKALA HII IPO KWA NIA YA KUTUJENGA,KUJIFUNZA, PAMOJA NA KUONA MICHANGO YA FURSA KUTOKA KWA WADAU.
NASUBIRI MICHANGO YENU WADAU
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu habarini za Leo.
Napenda kuwapongeza wadau wote waliomo humu ndani ya group Hili, mimi binafsi natambua michango yenu ktk kusaidia na kuelekezana mambo mbali mbali yahusuyo computer.
Dunia ya leo inaenda kasi Sana nasi tumekua mashuhuda, asilimia kubwa ya matajiri utajiri wao umetokana na mfumo wa kitekinolojia, tunamuona Bill get, jack wa China, waanzilishi wa Facebook, YouTube n.k Ni wengi Sana kwa idadi na kadri dunia inavyo zidi kukua ndivyo watakavyo jitokeza matajiri wengine.
Ni kweli tekinolojia ni pana Sana, lengo la makala hii nimewalenga wadau wote wa Computer science & it student's group kutoa mchango wenu;
i/ Nikwa namna gani sisi kama wadau wa to Tunaweza kuziona fursa kubwa ZINAZO weza kufanya mapinduzi ya kitekinolojia na sio kuishia tu kwenye maswala madogo madogo?
ii/ wewe unawaza nini katika kujikomboa kiuchumi kupitia elimu hii ya tekinolojia uliyo nayo?
*ainisha na maono yako na plan ulizo nazo.
KUMBUKA MAKALA HII IPO KWA NIA YA KUTUJENGA,KUJIFUNZA, PAMOJA NA KUONA MICHANGO YA FURSA KUTOKA KWA WADAU.
NASUBIRI MICHANGO YENU WADAU
Sent using Jamii Forums mobile app