Jinsi ya kuunganisha 1 kwa monitor 10(aka pc 1 user 10)

SHAROBALO

JF-Expert Member
Mar 17, 2011
771
349
Yeah!! sijakosea kuandika ni kweli kabisa kwa sasa Technology ipo mbali sana zaidi ya tunavyofikiria watanzania na madeni ya Dowance na Tatizo la TANESCO!

OK...

Kwa watumiaji wa UBUNTU sasa unaweza unganisha MONITOR 10 zikatumia PC moja tu na kila user akawa anajitegemea bial interfearance yoyote!

ni kweli Kila user anakuwa na MONITOR yake Keyboard yake na Mouse yake!

Nazote kumi zinatumika kwa wakati mmoja. yaani huyu ana peruzi JF mwingine ana type maandishi, yule anacheza game mwingine anaaa....yaani wewe tu.

Tena sio mwisho kumi tu unaweza unganisha hadi Hamsini 50 users kwa 1 PC!!
(Yeah ulizani unajua kumbe hujui kitu)

Faida:
unaweza unganisha kwa OFISI ukapunguza gharama,kwa kununua PC 1 tuu!! na monitor kibao
mfano--internet cafe
---shule aka skuli

HOW:
Userful MultiSeat Linux 2011 Complete Virtual Desktop School Computer Education Solution

Ni program ambayo unainstall kwenye pc ambayo unataka iwe ndio main.

yaitwa userful multseat.

ukisha install unaunganisha usb hub port 2

ambayo ina port 10 na 10

so total port ni 20..... so kila port unaingiza usb mouse na keyboard

so utapata 10 users.

na VGA port ipo kama usb hub na yenyewe unaunganisha 10 monitors..

ok kama huelewi helewi hii hapa ni site yenye program hiyo na maelekezo.

kwa bahati mbaya FREE TRIAL unaunga computer 2 tu kwa 1 pc Kama ukipenda unai nunua.

Home : Multiseat Linux Desktop Virtualization And Secure Centrally Managed Computers - Userful

haya wajasiria mari!!! wenye cafe....wenye ofisi zetu zile mafundi simu ... kazi ni kwako jamaani

Cheers!!!!
 
Ndio kaka fungua internet cafe!! au unaweza kuwa mjasiria mali ukawa una introduce hii kwenye maofisi uta MAKE MONEY mkuu!! mi napenda kuiita MTUNGU pc1 inapigwa mtungo na Monitor 10 dah..
Mkuu hii nimeipenda, lazima niitumie tu
 
Jamani Ubuntu ni balaaa....... xaxa what about the spid inakuwa the same au inapungua....... @ Sharobaro
 
Ni lazima UBUNTU tu?

Windows wana kitu kinaitwa Termimal Service au Kwa jina Lingine Remote Desktop client (RDC). Anyway yenyewe haiko sawa sawa na maelezo haya lakini kwa current windows server version may be inawezekana

Miaka ya nyuma nimetumia kitu kitu kinatwa Thin client ambayo hiyo thin client wakati huo kazi yake ndo ilikuwa kama hub ya kuunganisha keyboard na monitor na central server. So instead kila mfanyakazi kuwa na PCkulikuwa na Thin client.

So kwa windows ,Termial service na thin client inaweza kuwa ndio mbadala ama unataka cafe au ofisi kuwa na central server ambazo terminal kibao zitaunganishwa. hapa kwa micrsoft inabidi ununue Terminal Service client/ connection licences


Kuna jamaa wanaitwa Citrix nao wana solution yao. nadhani Google wanashirikiana nao kwenye project yao ya cloud.

Obsatcle ya citrix na Microsoft nni licence feeee. So hiyo ya Ubuntu ni mombozi.....
 
Sharobalo umeshaitest hii kwa pc zetu za "pentiamu foo"? RAM512 na processor 3ghz: watumiaji kumi nadhani pc itakuwa inaitika "abe", au ukicomand kitu unaenda kuchukua serengeti kwanza ukirudi unakuta pc inakuuliza "ulinitumanini vile!"
 
lakini mi nahisi ndo maana wao waka weka free kwa user wawili ili hata nyie wenye 512 mb mnaweza kusurf..imo!..
 
kuna kifaa kimoja kinaitwa matrox ambacho kina dvi na analogy hicho unaweza kuunganisha monitor hata kumi na zaidi
 
Kuna internet cafe moja somewhere mwenge nimeona hiyo kitu 1pc 3monitors
 
Si hivyo tu, kuna kifaa kinautwa NCOMPUTING kinapatikana hata katika maduka ya bongo..baadhi ya benki wanatumia..Arusha kifaa kimoja kinauzwa $ 150. Waweza soma ziadi kuhusu hicho kifaa..follow this link product overview | NComputing
 
Sharo, hii kitu umeirahisisha mno. Hiyo USB hub siyo yoyote tu, ni ya kwao hawa jamaa wenye hii softiwea yao -- inaitwa USB MultiSeat device, na pia siyo bure kama unavyotaka tuamini. Unainunua na utahitajika kulipia licence.

Nimewasiliana nao ili kuona uwezekano wa biz, nitaleta feedback wakiwasiliana na mimi.
 
Yeah!! sijakosea kuandika ni kweli kabisa kwa sasa Technology ipo mbali sana zaidi ya tunavyofikiria watanzania na madeni ya Dowance na Tatizo la TANESCO!!

OK...

Kwa watumiaji wa UBUNTU sasa unaweza unganisha MONITOR 10 zikatumia PC moja tu na kila user akawa anajitegemea bial interfearance yoyote!!

ni kweli Kila user anakuwa na MONITOR yake Keyboard yake na Mouse yake!!

Nazote kumi zinatumika kwa wakati mmoja. yaani huyu ana peruzi JF mwingine ana type maandishi, yule anacheza game mwingine anaaa....yaani wewe tu.

Tena sio mwisho kumi tu unaweza unganisha hadi Hamsini 50 users kwa 1 PC!!
(Yeah ulizani unajua kumbe hujui kitu)

Faida:
unaweza unganisha kwa OFISI ukapunguza gharama,kwa kununua PC 1 tuu!! na monitor kibao
mfano--internet cafe
---shule aka skuli

HOW:
Userful MultiSeat Linux 2011 Complete Virtual Desktop School Computer Education Solution

Ni program ambayo unainstall kwenye pc ambayo unataka iwe ndio main.

yaitwa userful multseat.

ukisha install unaunganisha usb hub port 2

ambayo ina port 10 na 10

so total port ni 20..... so kila port unaingiza usb mouse na keyboard

so utapata 10 users.

na VGA port ipo kama usb hub na yenyewe unaunganisha 10 monitors..

ok kama huelewi helewi hii hapa ni site yenye program hiyo na maelekezo.

kwa bahati mbaya FREE TRIAL unaunga computer 2 tu kwa 1 pc Kama ukipenda unai nunua.

Home : Multiseat Linux Desktop Virtualization And Secure Centrally Managed Computers - Userful

haya wajasiria mari!!! wenye cafe....wenye ofisi zetu zile mafundi simu ... kazi ni kwako jamaani

Cheers!!!!

Wee SHAROBALO bwana! Sometimes lugha unayoitumia huwa unanifurahisha sana kwani inatamanisha mtu kusoma uvumbuzi wako au jambo lako jipya au chochote! Keep It Up!
 
Kaka speed ile ile hada kama unatumia pentium 3. pia itadepend na package gani ya ubuntu unatumia kwani kuna package nyingi za ubuntu kutokana na matumizi yako ukiweka ile ya skull
Jamani Ubuntu ni balaaa....... xaxa what about the spid inakuwa the same au inapungua....... @ Sharobaro
 
Mkuu nimetest hii ya monitor mbili kwa pc moja....speed test yake ilikuwa vilevile kama natumia PC 1 na monitor moja...the thing is ubuntu haitumii processor kama windows yaani watu hatujui tu.. nilikonnect kwa kutumia pentium 3 na wote tukawa hatuoni tofauti ya speed kupungua so..i think kama ukitaka kufunga Monitor 10 basi pentium 4 speed 1g itakuwa minimum requrement ila hii sijajaribu!so ngoja tununue hii software halafu tuunge computer 50 za shule au ofisi halafu tutapata jibu!!(dili hili ngoja nitafute namba ya mwenye st marry!!! haha joking mkuu)
Sharobalo umeshaitest hii kwa pc zetu za "pentiamu foo"? RAM512 na processor 3ghz: watumiaji kumi nadhani pc itakuwa inaitika "abe", au ukicomand kitu unaenda kuchukua serengeti kwanza ukirudi unakuta pc inakuuliza "ulinitumanini vile!"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom