Habari wakuu... Naomba msaada wa jinsi ya kuunganisha na kutumia controller pad za Power A kwenye FiFa18 kwenye PC. Nimeweka kawaida lakini hazijasoma. . Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.