Jinsi ya kutumia Ubani kwa faida mbali mbali

Kwa maelezo yako watu wenye nyota ya simba na punda inamaana wasitumie watakaribisha nuksi,mabalaa na mikosi maana wao siku zao ni jumanne na jumapili.
Au nimekosea mkuu
Hapana mkuu wanaweza kutumia isipokuwa kuna utaratibu wa kutumia nyota ya simba inatumia ubani pia lakini jamii ya Sandarus na vile vile punda lakini nayo ni jamii ya sandarus kulingana na rangi.

Rakims
 
Kuna mtu nilikuwa namfahamu,yeye akipita sehemu mkasikia harufu ya ubani umechomwa kichwa kinaanza kumuuma,labda mpaka mtakapoondoka ndo kinaachia. ...
Wapo wengi mkuu, wenye mashetani

Rakims
 
π•Šπ•  π•₯π•¦π•π•šπ• π•«π•’π•π•šπ•¨π•’ π•žπ•¨π•–π•«π•š 𝕠𝕔π•₯𝕠𝕓𝕖𝕣 23 ,π•₯π•¦π•Ÿπ•’π•—π•’π•’ π•œπ•¦π•”π•™π• π•žπ•’ π•¦π•“π•’π•Ÿπ•š?
Ndio wanafaa isipokuwa ni bora zaidi kama watauchoma na Qist

Rakims
 
Kuna uhusiano gani Kati ya ubani na dini?
Hakuna uhusiano wowote mkuu isipokuws ubani ni ziada tu ya mafudho yenye harufu inayowapendeza wachache. Kiimani huaminika harufu yake hupendezwa na wanadamu,majini na malaika pia hakuna chochote special kuhusu ubani kwenye dini.

Rakims
 
mkuu hivi kwanini tunaomiliki siku ya jumanne tunakuwa na nuksi nyingi?
Madai ya baadhi ya elimu za dini inasema ndio siku ambayo iliumbwa kila kitu kibaya, by the way hakuna mtu mwenye bahati za ghafla kama mtu aliyepo chini ya nyota zinazotawala jumanne, kujijua tu

Rakims
 
Mkuu mimi nikipita sehemu kama kuna harufu ya udi au ubani huwa najiskia raha sana na amani moyoni mwangu huwa nataman nisiondoke mpaka leo sijajua ni kwa nini wakati sina majini wala mashetani hii inaweza ikawa ni nin kwa wewe mwenye elimu pana ya mambo haya Rakims
 
Mkuu mimi nikipita sehemu kama kuna harufu ya udi au ubani huwa najiskia raha sana na amani moyoni mwangu huwa nataman nisiondoke mpaka leo sijajua ni kwa nini wakati sina majini wala mashetani hii inaweza ikawa ni nin kwa wewe mwenye elimu pana ya mambo haya Rakims
Ubani na udi ni mafusho huvutia malaika na pia baadhi ya majini ni harufu nzuri sana kwa baadhi ya watu lakini pia viumbe tofauti na binadamu hupenda ubani shida moja watu wengi huamini ubani huusishwa na majini tu lakini source ya ubani ni kila kiumbe mwenye kupenda harufu yake huupenda iwe ana majini au hana na wengine roho hulipuka wakiskia harufu yake haina maana ubani ni mzuri kwa kila mtu wengine harufu yake huona kama mavi pia udi

Rakims
 
Madai ya baadhi ya elimu za dini inasema ndio siku ambayo iliumbwa kila kitu kibaya, by the way hakuna mtu mwenye bahati za ghafla kama mtu aliyepo chini ya nyota zinazotawala jumanne, kujijua tu

Rakims
"Kujijua tu" ungefafanua zaidi kujijua kwa namna gani labda ili hizo bahati za ghafla uzitambue?
 
Back
Top Bottom