Jinsi ya kutumia internet bure na kuongeza speed ya modem yako

kwa hiyo jamaa dude au?

hapana!!!!!!
Zangatia yafuatayo
1.nuna line 2 za airtel
2.saa sita usiku,weka line moja kwenye modem halaf ping
3 ikifika saa kumi na moja,badili hiyo line.weka ile nyingine halafu ping tena
4.nakuhakikishia kuwa hutakuwa disconnected kwa siku nzima

angalizo:
Usiizime wala kuichomoa modem yako.kama utazingatia hayo.sure,utatumia net bure.
Kama mimi muongo,kabla hujani laum sana,jaribu kwanza.
>>>> kama hauamin its ok
 
are u the who coded the appliction ? Say thanks to google translator + original author.

hapana!!!!!!
Zangatia yafuatayo
1.nuna line 2 za airtel
2.saa sita usiku,weka line moja kwenye modem halaf ping
3 ikifika saa kumi na moja,badili hiyo line.weka ile nyingine halafu ping tena
4.nakuhakikishia kuwa hutakuwa disconnected kwa siku nzima

angalizo:
Usiizime wala kuichomoa modem yako.kama utazingatia hayo.sure,utatumia net bure.
Kama mimi muongo,kabla hujani laum sana,jaribu kwanza.
>>>> kama hauamin its ok
 
hebu fafanua kidogo imekuaje? Tusije ingia chaka

hapana!!!!!!
Zangatia yafuatayo
1.nuna line 2 za airtel
2.saa sita usiku,weka line moja kwenye modem halaf ping
3 ikifika saa kumi na moja,badili hiyo line.weka ile nyingine halafu ping tena
4.nakuhakikishia kuwa hutakuwa disconnected kwa siku nzima

angalizo:
Usiizime wala kuichomoa modem yako.kama utazingatia hayo.sure,utatumia net bure.
Kama mimi muongo,kabla hujani laum sana,jaribu kwanza.
>>>> kama hauamin its ok
 
hapana!!!!!!
Zangatia yafuatayo
1.nuna line 2 za airtel
2.saa sita usiku,weka line moja kwenye modem halaf
ping
3 ikifika saa kumi na moja,badili hiyo line.weka ile nyingine halafu ping tena
4.nakuhakikishia kuwa hutakuwa disconnected kwa siku nzima

angalizo:
Usiizime wala kuichomoa modem yako.kama utazingatia hayo.sure,utatumia net bure.
Kama mimi muongo,kabla hujani laum sana,jaribu kwanza.
>>>> kama hauamin its ok

Mkuu sio wote tunaofaham IT. Kwenye blue hapo PING ndio kitu gani tena hicho.....
 
Yah.. i can vouch for him.. hii ni 100% true.. sasa kama hauamini mbwela mbwela tu.. hehehehe! :)
 
Yah nimefuatilia and this is how you ping Kwenye hio sofware kuna option na NET PINGER select it then ;


yeah.JPG


Check the box enable pinger... then click ping now.. alafu save and then minimize it..VIOLLA... na tumia

tu net.. u'll neva get disconnected
 
tunaomba utuwekee download link ya hiyo program ya internet speed up au hiyo net pinger
 
tunaomba utuwekee download link ya hiyo program ya internet speed up au hiyo net pinger
softwaredepo.com/netspeedup.html
but iyo software yani installation file ni threat! But da installing files are safe. Zima anti-virus download iyo soft, install it then futa iyo download file au washa na uache av! Yako ifute iyo downld file! And ur gud to go.
 
softwaredepo.com/netspeedup.html
but iyo software yani installation file ni threat! But da installing files are safe. Zima anti-virus download iyo soft, install it then futa iyo download file au washa na uache av! Yako ifute iyo downld file! And ur gud to go.
yeap nimeicheki na wanaitoa bure ila lengo lau ndio hilo, wawe wanakuchunguza. na wanasoftware kibao za bure lakini zote ila ukubali kuchunguzwa mambo yako. ndio maana hata kasperky na antivirus nyengine wanakataa jambo hilo na wanaifutilia mbali.
si nzuri bora tushauri kuhusu ping software nyengine
 
hamna kitu kama hicho. tayari nimesha prove. aritel wanaku disconnect ukimaliza tu 200Mb zako ambazo wanatoa kama offer. hamna jambo hilo wazeee . just waste of time.
 
yeap nimeicheki na wanaitoa bure ila lengo lau ndio hilo, wawe wanakuchunguza. na wanasoftware kibao za bure lakini zote ila ukubali kuchunguzwa mambo yako. ndio maana hata kasperky na antivirus nyengine wanakataa jambo hilo na wanaifutilia mbali.
si nzuri bora tushauri kuhusu ping software nyengine
Mkuu unao ushahidi kuwa wanakuchunguza unavyofanya mambo yako?kwani wamekuwa FBI?
 
hamna kitu kama hicho. tayari nimesha prove. aritel wanaku disconnect ukimaliza tu 200Mb zako ambazo wanatoa kama offer. hamna jambo hilo wazeee . just waste of time.
Ok.. this is how it is.. ikifika saa sita kamili airtel wanakupa 200 mb free ambapo u can only use it mpaka saa kum na mbili sasa.. this how this hack

works ndio ukimaliza mb 200 and thats it huwezi endelea kutumia free.. sasa sio kila mtu anaweza maliza 200 mb and better yet kuitumia muda huo

wa saa sita usiku mpaka saa kumi na mbili.. thats why pia kasuggest uwe na line mbili apo utatumia 400 mb free but only ile 200 mb ya kuanza

katika muda ambao umepewa free ikifika saa kum na moja... unabadili line nyingine kabla haijafika saa kum na mbili then unaiping.. sasa apo

utaweza tumia firee mpaka

a) umalize izo 200 mb

b) uidisconnect mwenyewe

This is useful kwa wale ambao light surfers na pia ambao hawawezi kununua package if ur lucky enough.. utaweza surf free continuously.. na pia

this sofware ni faida pia not for free internet.. but also kama umechunguza ukiunga package any network.. lakini kuna wakati inatokea som

disconnections.. somtimes ni kidogo na somtime ina kera this fixes it na hautakuwa disconnected and browse without interruptions. ni hayo tu.
 
hapana!!!!!!
Zangatia yafuatayo
1.nuna line 2 za airtel
2.saa sita usiku,weka line moja kwenye modem halaf ping
3 ikifika saa kumi na moja,badili hiyo line.weka ile nyingine halafu ping tena
4.nakuhakikishia kuwa hutakuwa disconnected kwa siku nzima

angalizo:
Usiizime wala kuichomoa modem yako.kama utazingatia hayo.sure,utatumia net bure.
Kama mimi muongo,kabla hujani laum sana,jaribu kwanza.
>>>> kama hauamin its ok

mkuu mambo ya kufanywa watumwa kusubiri mpaka usiku wa manane yalishapitwa na wakati..wenzio wamelala wewe unafanya mpango wa wizi ...kuliko kupata usumbufu wooote huo si ni bora utafute pesa kidogo tu ya kununua modem inayochakachulika then uitumie upendavyo kwa uhuru...au angalau hata yule mdau alitoa thread ya ku bypass ISP check up na kutumia net bure ya zantel...!! kimsingi kama unataka net ya bure kun njia lukuki za kutumia siku hizi tena mchana kweupee na ukafanya mambo yako yote...
 
Ok.. this is how it is.. ikifika saa sita kamili airtel wanakupa 200 mb free ambapo u can only use it mpaka saa kum na mbili sasa.. this how this hack

works ndio ukimaliza mb 200 and thats it huwezi endelea kutumia free.. sasa sio kila mtu anaweza maliza 200 mb and better yet kuitumia muda huo

wa saa sita usiku mpaka saa kumi na mbili.. thats why pia kasuggest uwe na line mbili apo utatumia 400 mb free but only ile 200 mb ya kuanza

katika muda ambao umepewa free ikifika saa kum na moja... unabadili line nyingine kabla haijafika saa kum na mbili then unaiping.. sasa apo

utaweza tumia firee mpaka

a) umalize izo 200 mb

b) uidisconnect mwenyewe

This is useful kwa wale ambao light surfers na pia ambao hawawezi kununua package if ur lucky enough.. utaweza surf free continuously.. na pia

this sofware ni faida pia not for free internet.. but also kama umechunguza ukiunga package any network.. lakini kuna wakati inatokea som

disconnections.. somtimes ni kidogo na somtime ina kera this fixes it na hautakuwa disconnected and browse without interruptions. ni hayo tu.
Mkuu kama nina line moja tu, na nikaiweka saa 11 alfajiri kisha nika iping, naweza kuendelea kutumia kuanzia muda huo hadi mchana yote hadi mb zangu 200 zitakapo kwisha?
 
mkuu mambo ya kufanywa watumwa kusubiri mpaka usiku wa manane yalishapitwa na wakati..wenzio wamelala wewe unafanya mpango wa wizi ...kuliko kupata usumbufu wooote huo si ni bora utafute pesa kidogo tu ya kununua modem inayochakachulika then uitumie upendavyo kwa uhuru...au angalau hata yule mdau alitoa thread ya ku bypass ISP check up na kutumia net bure ya zantel...!! kimsingi kama unataka net ya bure kun njia lukuki za kutumia siku hizi tena mchana kweupee na ukafanya mambo yako yote...

that real mkuu, kwa sasa net za bure zipo nyingi sana, inapendeza kujua maujanja mengi zaidi,hata hii njia ni nzuri japo ina vikwazo.
 
Back
Top Bottom