junior mzolo
Senior Member
- Jan 26, 2014
- 140
- 7
Jameni mwenye uzoefu wowote wa it anipe maelezo
Sasa hiyo inakuwa ni bure au nimelipia
Mm nakushauri ukakae karibu na hoteri ya kifahari, utapata internet ya bure.
Lipia kidogo. Tumia bila kikomo. Jiunge na airtel *148*22# .
Lipia kidogo. Tumia bila kikomo. Jiunge na airtel *148*22# .
Andika SMS hii "mwai-------- mwaipumbuje" tuma kwenda 15550 watakupa internet ya bure kwa miez 6 mkuu
hebu nifahamishe mkuu kama umewahi kutumia naona hapo cha wiki ni 5500 ila ni kweli unlimited?
Nashangaa kwangu kila nikijaribu kujiunga inaniambia this service is not available for you
- Kuna haja ya watoa huduma kutupatia ufafanuzi kuhusiana na hili
Andika SMS hii "mwaitakotako mwaipumbuje" tuma kwenda 15550 watakupa internet ya bure kwa miez 6 mkuu