Either Or
Dadavua basi
Mbona yule dada anaweza, and she is on more than that!Mhhh I will not try it hata kwa mtutu wa bunduki
Ungeenda kukutana na Elizabeth Keen kabisa muendeleze mission zenuNmejifunza hii kitu kwako nmetoka nje Mara 3 Ila Mara ya tatu nilipotoka nilijikuta nimeenda eneo ambalo silifahamu kabsa Ila nilikutana na rafki yngu wa shule ya msingi ktmbo tukaongea mengi Ila badae akatoweka mm nikaenda mbal zaid kuangalia mazngra , kwnza nikiwa huko nilijua labda Ni ndoto lakin nikajiambia mbna nilikua nafanya meditation ? Nikamua kutembea Zaid nkakuta mwisho wa ilo eneo Kuna bahari nikaogopa nikamua binafsi kurud . Je ukiwa katka Hali hyo unaweza kutana na mtu unae mjua ukaongea nae ? Hili zoez nilifanya mchana baada ya kuhakikisha nimelala usngz wa kutosha ili nikiwa kwenye zoez nispitiwe na usingiz
We si unaona hizo terms hapo, METAPHYSICS, ASETORIC.Sijaelewa bado mkuu unachohitaji
Uliweza kuuona mwili uliouacha na silvercord?Nmejifunza hii kitu kwako nmetoka nje Mara 3 Ila Mara ya tatu nilipotoka nilijikuta nimeenda eneo ambalo silifahamu kabsa Ila nilikutana na rafki yngu wa shule ya msingi ktmbo tukaongea mengi Ila badae akatoweka mm nikaenda mbal zaid kuangalia mazngra , kwnza nikiwa huko nilijua labda Ni ndoto lakin nikajiambia mbna nilikua nafanya meditation ? Nikamua kutembea Zaid nkakuta mwisho wa ilo eneo Kuna bahari nikaogopa nikamua binafsi kurud . Je ukiwa katka Hali hyo unaweza kutana na mtu unae mjua ukaongea nae ? Hili zoez nilifanya mchana baada ya kuhakikisha nimelala usngz wa kutosha ili nikiwa kwenye zoez nispitiwe na usingiz
Unaelewa maana zaoNdio nimeziona?
Guys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion
Yupi huyo mkuu?Mbona yule dada anaweza, and she is on more than that!
Hahahaha nilimwona samayna varbi Ila hii kitu Ni real kabsa trust meUngeenda kukutana na Elizabeth Keen kabisa muendeleze mission zenu
Uliweza kuuona mwili uliouacha na silvercord?