Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Mi nina mdogo wangu wa kike, kuna kipindi fulani alikuwa akilala usiku anastuka hali ya kuwa yupo usingizini anatoka kitandani anafika hadi mlangoni kama anataka kutoka nje halafu anarudi kitandani

Au wakati mwingine anatembea hatua chache kutoka kitandani halafu anarudi tena kula kama zombie flani hivi hata ukimsemesha haelewi nikawa najiuliza sanaa siku akifanikiwa kufungua mlango bila sisi kusikia ataenda hadi wapi? Lkn sikuizi haamki usiku tangu awe mdada mkubwa.

Hebu mkuu rakims nisaidie hii inahusiana na hiko ulichokieza hapo juu?
HIYO SIO ASTRAL PROJECTION
 
Guys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion
Unawezaje kutengana na mwili Kwanza?mbona mm sijaelewa
 
Kufanya kitendo ambacho kitatoa hali halisi kwenye ulimwengu wa nyama ni stages za mbele baada ya kutoka zaidi ya mara 3 na kuweza kuexperience vizuri mazingira ya astral world katika hatua za kwanza utaweza kufanya vitu ambavyo vitakavyotoa athari za kiroho kwa kuanzia na roho yako

Hili ni moja mkuu,
Basi fikisha kumi kwanza kisha nitajibu kwa vipengele

Rakims
Wewe ulishawahi kufanya hivyo mara ngapi??.
 
Mkuu rakims nafika mpaka kwenye vibration lakini nashindwa kujitenga na mwili wangu nakosea wapi msaada tafadhali
 
Mkuu rakims nafika mpaka kwenye vibration lakini nashindwa kujitenga na mwili wangu nakosea wapi msaada tafadhali
Ushauri. (Kama itakupendeza). Fungua Kwanza Third eye, hiyo astral travel itakuwa ni kama kufumba na kufumbua tu, na faida zingine nyingi utazipata, wala hauto hangaika kama unavyohangaika sasa ku-archive hiyo high stage
 
Ushauri. (Kama itakupendeza). Fungua Kwanza Third eye, hiyo astral travel itakuwa ni kama kufumba na kufumbua tu, na faida zingine nyingi utazipata, wala hauto hangaika kama unavyohangaika sasa ku-archive hiyo high stage
Mkuu Kapyepye Mfyambuzi inachukua siku ngapi ku active third eye

Na je umefanikisha kutoka nje ya mwili
 
Kusafiri nje ya mwili Ni Muhimu .

Nimuhimu zaidi kujijua wewe Ni Nani na Huu ndio uthibitisho Tosha kwamba Binaadamu tunapambana tutaendelea kuishi daima na daima tunakufa pale miili yetu inaposhindwa kuhimili changamoto za Dunia lakini baadae huwa tunarudi tena kuishi katika maisha ya Macho mawili tukiwa katika miili mingine
 
Kusafiri nje ya mwili Ni Muhimu .

Nimuhimu zaidi kujijua wewe Ni Nani na Huu ndio uthibitisho Tosha kwamba Binaadamu tunapambana tutaendelea kuishi daima na daima tunakufa pale miili yetu inaposhindwa kuhimili changamoto za Dunia lakini baadae huwa tunarudi tena kuishi katika maisha ya Macho mawili tukiwa katika miili mingine
Mkuu ume experience huu uwezo nn mbona unajib kama kawaida yako iv
 
Dah mimi nilishashidwa kabisa toka 2015 nafuatilia huu uzi inanishinda naishia kwenye ganzi na sauti za ajabu sana naamka kudadeki sijui lini nitachomoka.
 
Kusafiri nje ya mwili Ni Muhimu .

Nimuhimu zaidi kujijua wewe Ni Nani na Huu ndio uthibitisho Tosha kwamba Binaadamu tunapambana tutaendelea kuishi daima na daima tunakufa pale miili yetu inaposhindwa kuhimili changamoto za Dunia lakini baadae huwa tunarudi tena kuishi katika maisha ya Macho mawili tukiwa katika miili mingine
INAWEZEKANA
 
Dah mimi nilishashidwa kabisa toka 2015 nafuatilia huu uzi inanishinda naishia kwenye ganzi na sauti za ajabu sana naamka kudadeki sijui lini nitachomoka.
That's fear.. Unatakiwa kujua hakuna chochote kinachoweza kukupata, hata uone kama kuna viumbe vinataka kukushika tambua kwamba that's not real. Ukivuka hiyo stage na kujikuta umeweza kuona through your eyelids jua kwamba the adventure has just begun.
Ikitokea hii njia iliyoshauriwa kwenye huu uzi imekushinda unaweza ukafanya forced projection, though unaweza ukawa shocked for the first time ila after some time you'll get used to.. na ni njia salama pia.
 
Back
Top Bottom