Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Eti pepo anakufanya huwe hai. Ivi muandishi sizani kama unajua ulicho andika
Kuna uchawi wa aina mbili (au zaidi), kuna white witch na dark witch, dark witch ndio hip ya matunguli hirizi n.k, white witch ndio hio inayofundishwa na akina Rakhim.

Ukweli ni kuwa huu ni uchawi, mwili bila roho umekufa, kinachofanya roho itoke na mwili ubaki hai ni pepo linaloingia ndani ya ule mwili ili kuufanya hai, na roho yako itazurura kwa msaada wa mapepo ambayo huyaoni, ( Rakhim anasema ni malaika walinzi wawili unaoona vivuli vyao!!!)

Mwisho wa Siku utalazimika kwenda kusujudu kwa Mkuu wa wachawi, malkia wa mapango, Mwenye pembe mbili kama mbuzi, Utalazimika kumkufuru Mungu na kudanganywa kua ukifa utaendelea kuelea hivo hivo au utaenda ujinini!!! UWONGO MTUPU

Shetani atakuficha hutaona kuzimu ya kweli ya waliokufa na dhambi na mateso wanayopata, atakupeleka kuzimu ya wachawi (ujinini) kwenye maghorofa na starehe kumbe....
 
Eti pepo anakufanya huwe hai. Ivi muandishi sizani kama unajua ulicho andika
Lugha ipi nzuri kwako pepo au jini? Unajua wanaochukuliwa misukule roho zao zinachukuliwa mda mrefu kabla ya kifo cha "kutengenezwa", nini kinafanya miili iwe hai wakati roho imechukuliwa?...jini (pepo), umewahi kusikia habari za kuchukuliwa kivuli? Ulidhani ni shadow...pole
 
Upuuzi mtupu.

Ukitulia kama hivyo unavyoelekeza kitakachotokea ni utasinzia tu.

"Astral Projection" pekee utakayoiona ni ndoto zako kama kawaida ya ukilala.

Kutoka nje ya uhai wako ni kitu kisichowezekana. Ndo maana hata kwenye ndoto zote ukiota unataka kufa lazima ushtuke usingizini. Kanuni haziruhusu kukuvusha ulimwengu wa pili kwa maono tu. Ukivuka ni umevuka kimoja.

Sema hii ni elimu nzuri kwa kutapelia watu. Maana binadamu wana shauku sana ya kutaka superpowers na kuona kesho ikoje.
Mkuu it normal kwa watu wasiokuwa na elimu na kitu kusema kama hayo unayosema
 
Kuna uchawi wa aina mbili (au zaidi), kuna white witch na dark witch, dark witch ndio hip ya matunguli hirizi n.k, white witch ndio hio inayofundishwa na akina Rakhim.

Ukweli ni kuwa huu ni uchawi, mwili bila roho umekufa, kinachofanya roho itoke na mwili ubaki hai ni pepo linaloingia ndani ya ule mwili ili kuufanya hai, na roho yako itazurura kwa msaada wa mapepo ambayo huyaoni, ( Rakhim anasema ni malaika walinzi wawili unaoona vivuli vyao!!!)

Mwisho wa Siku utalazimika kwenda kusujudu kwa Mkuu wa wachawi, malkia wa mapango, Mwenye pembe mbili kama mbuzi, Utalazimika kumkufuru Mungu na kudanganywa kua ukifa utaendelea kuelea hivo hivo au utaenda ujinini!!! UWONGO MTUPU

Shetani atakuficha hutaona kuzimu ya kweli ya waliokufa na dhambi na mateso wanayopata, atakupeleka kuzimu ya wachawi (ujinini) kwenye maghorofa na starehe kumbe....
Hapana mkuu endelea kutafuta elimu utajua ninachozungumzia hapa
 
Ujue mwil na roho mpaka ziachane completely ni lazima spiritual golden rop ikatwe au iachane ungekuwa mwil umekufa, Ata ufanye dawa gani hawez rudi lakin kama iyo rop haijaachana anaweza kurudi. Je ujawahi sikia flan msukule umemshidwa au mtu kakohoa na kuwa mzima wakati doctor wako alisibitisha amekufa. Kurudi kuna mazingira yake labda marehem sadikika aliwekewa kinga. Au individual ability kama gift alio zaliwa nayo maaana kuna watu hawalogeki na hana kinga ya mahalifa ya mtu, na hajaokoka kwa ndugu zangu wakristo, pia pitia na enock
Lugha ipi nzuri kwako pepo au jini? Unajua wanaochukuliwa misukule roho zao zinachukuliwa mda mrefu kabla ya kifo cha "kutengenezwa", nini kinafanya miili iwe hai wakati roho imechukuliwa?...jini (pepo), umewahi kusikia habari za kuchukuliwa kivuli? Ulidhani ni shadow...pole
 
Nadhani hiyo itasaidia kwa wasioelewa vizuri astra projection.. na wakiamini kuwa mtu unakufa au roho inatengana na mwili NOO.. SIYO UKWELI..
 

Attachments

  • The Dangers of Astral Projection - Exemplore.mp4
    18 MB
Mh!!!???
IMG_20190913_080754.jpeg
 
NB: Kurudi Kwenye Mwili Wako Ukitaka Unarudi Tu Bila Tatizo Wala Kuukosa Hakuna Tatizo... Waweza Hata Kufumba Macho Ukataka Ukifumbua Uamke Kwenye Mwili Wako Unaamka au unagonga kidole au unajiambia ni muda wa kuamka

unaamka binafsi huwa narudi zangu kwenye mwili wangu nikiusogelea karibu zaidi au kutaka kuugusa naamka


Rakims
Nazidi kupata Darasa.......Kuna siku nilikuwa kwenye shughuli ya kifamilia na baada ya pilika nyingi watu wengi walilala ikafika mida ya Maakuli ikabidi tuwaamushe waliolala kwa kuwatikisa Mzee mmoja akagomba eti tusiwaamshe kwa njia hiyo na baadala yake Tuwaamshe kwa Kuwangonga gonga KIDOLE GUMBA cha miguuni.......!!! Sikujua maana Yake...... Sasa nimeelewa....

Rakims endelea Mkuu..........
 
Mimi sleep paralysis hunitokea, yaani mwili unakufa ganzi ila nakua alert na kuskia kila kinachotendeka karibu yangu, mwanzoni nilikua naogopa sana, nilikua nadhani ni majini yamenigandisha.
Lakini siku hizi huwa natulia na kusklizia tu hadi raha.
 
Nilijaribu kutoka nje ya mwili ilinipa shida sana,siku hiyo ilikua alufajiri kama saa 11 hivi nikaamka nikabafu nikajifuta maji kama kawaida,nikajilaxa kwa utulivu nikaachia mwili nikaulegeza nikavuta hisiakali,theni nikahisi mwili unakakamaa kabisa dheni nikajikuta natoka kitandani nakaa pembeni halafu nauna mwili umejilaza ghafla najikuta najikuta natetemeka kwenye njozi kubwa.sijui ilikuaje lakini haifai kufanya hivyo.nilijikuta namuna mama yangu alie fariki miaka mingi iliyo pita nikaongea nae then akatoweka,ghafla nazinduka najikuta machozi yanatoka tena kwa hisia kali.nainuka naenda bafuni kuoga wakati naogo bado hisia zinakuja namaswali mengi najiuliza ivi kimetokea nini vile?sirudii tena
 
Nilijaribu kutoka nje ya mwili ilinipa shida sana,siku hiyo ilikua alufajiri kama saa 11 hivi nikaamka nikabafu nikajifuta maji kama kawaida,nikajilaxa kwa utulivu nikaachia mwili nikaulegeza nikavuta hisiakali,theni nikahisi mwili unakakamaa kabisa dheni nikajikuta natoka kitandani nakaa pembeni halafu nauna mwili umejilaza ghafla najikuta najikuta natetemeka kwenye njozi kubwa.sijui ilikuaje lakini haifai kufanya hivyo.nilijikuta namuna mama yangu alie fariki miaka mingi iliyo pita nikaongea nae then akatoweka,ghafla nazinduka najikuta machozi yanatoka tena kwa hisia kali.nainuka naenda bafuni kuoga wakati naogo bado hisia zinakuja namaswali mengi najiuliza ivi kimetokea nini vile?sirudii tena
Nahiyo Id photo yako unaogopa Nini Sasa ila pole sana rudia Tena ndugu uje utupe hadithi nyengine
 
Back
Top Bottom