Waterbender
JF-Expert Member
- Oct 2, 2018
- 6,802
- 8,644
Eti pepo anakufanya huwe hai. Ivi muandishi sizani kama unajua ulicho andika
Kuna uchawi wa aina mbili (au zaidi), kuna white witch na dark witch, dark witch ndio hip ya matunguli hirizi n.k, white witch ndio hio inayofundishwa na akina Rakhim.
Ukweli ni kuwa huu ni uchawi, mwili bila roho umekufa, kinachofanya roho itoke na mwili ubaki hai ni pepo linaloingia ndani ya ule mwili ili kuufanya hai, na roho yako itazurura kwa msaada wa mapepo ambayo huyaoni, ( Rakhim anasema ni malaika walinzi wawili unaoona vivuli vyao!!!)
Mwisho wa Siku utalazimika kwenda kusujudu kwa Mkuu wa wachawi, malkia wa mapango, Mwenye pembe mbili kama mbuzi, Utalazimika kumkufuru Mungu na kudanganywa kua ukifa utaendelea kuelea hivo hivo au utaenda ujinini!!! UWONGO MTUPU
Shetani atakuficha hutaona kuzimu ya kweli ya waliokufa na dhambi na mateso wanayopata, atakupeleka kuzimu ya wachawi (ujinini) kwenye maghorofa na starehe kumbe....