Af nimeshawai kuhisi kama hivyo ucku wakati nikiwa nimelala Nilikua sielewi chochote kuhusu hili jambo kitu pekee nilichokua nazania ni kwamba Malaika mtoa roho ndy alikua anachkua uhai wangu (nakufa) Iseh Nilikua napiga sana maombi kimoyo moyo hiyo ganzi ilivyokua inaanzaga na kutembea kuanzia miguun kuja juu Nilikua naogpa sanaa Hali hiyo Nilikua Nikimuomba sana mungu Asinichukua kw wakati huo Nakumbk baada ya hali hiyo kutoweka nilikua ziwez kulala na nilikua nalia sanaaGuys nimejarib dis morning....wakati wa kutengana miili nj shidaaa u feel like hell yaan ubarid unauckia unaanzia miguuni kwene unyayo....unapanda taratib then take over inatakoa very slowly....separation of body! Nimeamua nijikurupue maana kuna imetoke very strange! But ntajarib tenaa jion
Pole sana mkuu, lakini elewa the only time angel of death visit you in your life is only one time and there is no escape from thatAf nimeshawai kuhisi kama hivyo ucku wakati nikiwa nimelala Nilikua sielewi chochote kuhusu hili jambo kitu pekee nilichokua nazania ni kwamba Malaika mtoa roho ndy alikua anachkua uhai wangu (nakufa) Iseh Nilikua napiga sana maombi kimoyo moyo hiyo ganzi ilivyokua inaanzaga na kutembea kuanzia miguun kuja juu Nilikua naogpa sanaa Hali hiyo Nilikua Nikimuomba sana mungu Asinichukua kw wakati huo Nakumbk baada ya hali hiyo kutoweka nilikua ziwez kulala na nilikua nalia sanaa
Ahsante ila ni jambo nzito na kutisha sanaaa kikubwa na shukuru sana juu ya Elimu hiiPole sana mkuu, lakini elewa the only time angel of death visit you in your life is only one time and there is no escape from that
Rakims
Mkuu Rakims kuhusu ile kitu ya njozi nilijarb nikafanikiwa kukutana na viongozi wawili na kama sio vibaya naweza kuitaja hii ndoto unitafsilie maana yake nini maake niliamka nikaiandika yote kama nilisahau basi ni vipengele vichacheNashukuru pia mkuu kwa kuona faida ya nilichokiandika many people doesn't know it
Rakims
Ya njozi ipi mkuu nina thread nyingi humu!?Mkuu Rakims kuhusu ile kitu ya njozi nilijarb nikafanikiwa kukutana na viongozi wawili na kama sio vibaya naweza kuitaja hii ndoto unitafsilie maana yake nini maake niliamka nikaiandika yote kama nilisahau basi ni vipengele vichache
Aise, kuna watu wanakipaji cha kupinga matarajio ya Mungu kwa binadamu?Mkuu Rakims na MziziMkavu, naombeni sana wakati mnatoa hili somo, pia muwape angalizo hao wanafunzi wenu, kuwa mchezo huu pia ni sawa na kuijaribu sumu kwa kuilamba!. Wapeni kabisa masharti ya kuzingatia, wakikosea ndio safari jumla!, asubuhi unakutwa ulitangulia ukiwa usingizini!.
Masharti ni haya.
Wito wangu mimi wa wafuatiliaji wa haya makitu, kama hujui unataka nini, au utoke out of body ili kuachieve nini, please don't do it!. Mtu asikudanganye kuwa its very fun to go out of body, is not fun!. Too much knowledge on anything is harmful, please don't try unless you are sure what you are trying to do!.
- Fanya hivyo ukiwa umelala peke yako chumbani, na kabla hujaanza ujinga huo, hakikisha umefunga mlango kwa funguo, kwa sababu akitokea mtu akakuamsha kwa kukutingisha kwa nguvu na kuchange ile position yako hata ya milimita moja, ile cord ni kama utando wa buibui, inakatika, wewe unakuwa ndio basi tena!.
- Unaweza kukutana na "the under world" ukaona maisha hayo ya astra plane ndio bora zaidi kuliko real world, hivyo cord ikakatika, huku unakutwa ndio basi tena!, wewe ni safari jumla!.
- Hizi ni highest stages za meditation ambazo haziruhusiwi kufanywa na beginners, na hazifanywi un supervised vinginevyo ni safari jumla!.
- Yote utakayoyashuhudia kwenye astra body, unaweza kuyafanya by simply opening up the "third eye!"
- Hizi ndizo the first stages za wachawi!.
Paskali