Jinsi ya kutoka nje ya mwili (Astral Projection)

Kwa anayejifunza; tafuta sehemu tulivu isiyo na kelele .Lala chari,legeza viungo vyako vyote achana na vyote katika mwili na mawazo kuyahisi na kuvihisi ,achana na mawazo yako yote kabisa sikiliza pumzi yako tuu na mzunguko wa damu na mapigo ya moyo na hivi navyo uviache na ubaki mwenyewe tuu , . mawimbi ya akili yatatingisha au chochote paja la USO na ndiyo unaingia sasa na kutetemeka au kupaa hewani na kujihisi we we ni skeleton haswa. Na unaweza Fanya chochote sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Basi tuseme ameen.

Sent using Jamii Forums mobile app
Achana na hizo occultism, hayo mambo yanadhoofisha afya yako kiroho, yoga/kundalini inafungua roho yako unakuwa open to demonic attacks and possession.

Ziko barriers Mungu ameweka kiroho kutulinda, unapofanya astral projection/yoga you pull down those barriers and leave yourself vulnerable to evil spirits.

Sent using Sukhoi Su-57
 
Jamani kuna watu wanasema unaweza ukafa nimesoma wikihow wanasema nafsi imekua connected na mwili so huwezi kufa lazima tu itaru kwenye mwili.
 
Achana na hizo occultism, hayo mambo yanadhoofisha afya yako kiroho, yoga/kundalini inafungua roho yako unakuwa open to demonic attacks and possession.

Ziko barriers Mungu ameweka kiroho kutulinda, unapofanya astral projection/yoga you pull down those barriers and leave yourself vulnerable to evil spirits.

Sent using Sukhoi Su-57
Ila kweli mkuu kuna vitu vingine vimekua forbiden by God,kama amekua ameruhusu basi kila mtu angeweza kufanya bila hata kufundishwa hapo tutakua tunamprovoke Mungu.
 
ASTRAL PROJECTION/Mental Projection......
View attachment 420199
Ni Ule Uwezo Wa Mtu Kutengana Na Mwili Wake Ki Fikra Katika Imani Husemwa Kiroho...
Utokaji huu wa nje ya mwili upo wa aina mbili au tatu na wenyewe ni wa roughly watu wanafundisha kwa maelezo marefu na mapana hali ya kuwa ni kitu kifupi tu watu wanatakiwa kujua jinsi ya kutoka na mengine kujifunza huko huko

FAIDA ZAKE:
View attachment 420282
1. Kujitambua kuwa wewe hufi na kuondoka moja kwa moja: Hili ni tukio litakalo kubadilishia maisha. Mamilioni ya watu wamekua wakithibitisha kuwa mtu akifa hapotei moja kwa moja bali kuna maisha mengine ambayo ataishi wale wasioamini life after dealth.

2. Kuongeza uwezo mzuri wa kulala: Hii husaidia mtu kulala katika hali ya usalama na kupata nguvu inayozungumziwa baada ya kulala na kujua ni ipi sababu kubwa ya kulala tunalala ili miili yetu ipumzike roho zetu zianze kuishi.

3. Kuongeza nguvu ya majariwa: Hii inaongeza kipawa cha unabii na uwezo mkubwa wa kumsoma mtu akili kama mind reader au telepathy, kasimama hapo wewe unaongea na roho yake.

4. Kujiendeleza Kimaisha: Ukiwa nje ya mwili inakuthibitishia kuwa wewe ni zaidi ya binadamu wa kawaida hivyo hukuongezea akili ya utendaji zaidi kwa kutumia maajabu na si nguvu tena.

5. Inakuongezea kukomaa kiroho: Watu wengi wamekuwa na roho nzuri baada ya kuishi na kiumbe zaidi ya asiekuwa mwanadamu.

6. Inaongeza heshima ya maisha: Hii hukufanya umuheshimu kila kiumbe na umuhurumie hata paka maana kule una uwezo wa kuongea hata na wanyama pia.

7. Inaongeza akili kumbukumbu na ubunifu: kupitia ufahamu utakao kuwa nao kwa zoezi hili inaeleweka kwamba utakuwa umefungua sehemu za ubongo wako za fahamu zinazodeal na akili pamoja na kumbukumbu.

8. Kukuwezesha kupata majibu yako mwenyewe kwa spiritual guide: kutoka nje ya mwili kutakujibia maswali mengi ambayo ulikua huwezi kuyajibu katika ulimwengu wako wa kiroho.

9. Kuondoa woga wa kufa: kuhofia kifo ni kuhofia jambo usilolijua.utakapotoka utaona kwamba kumbe nina uwezo wa kuishi maisha ya pili hata nikifa.

10. Kutambua na kuelewa mambo ya kale yaliyopita: utajifunza jinsi ya kupanua ubongo wako haya kuzungumza na historia za kale ingawa unaweza kuona pia tukio lijalo ila hii ni kwa wenye power ya precognition na retrocognitions.

11. Kupaa na kufurahi!

Ulimwengu wa roho hata anga sio mpaka. unaweza kupaa nyuma ya mawingu. na ukapaa kama puto. unataka kuwa na macho ya ndege mjini? la shaka! au unataka kupaa na kuogelea kama samaki dolphin na hata kuruka kama ndege, or dive inside and swim like a fish!

ukitaka unaweza hata kufika kwenye sayari za juu na zile ambazo bado hazijawa discovered wazungu walifanya zamani sana hii na kwenda huko kabla hata ya kurusha ndege, unaweza kwenda popote duniani na nje ya dunia hata kuwatembelea marafiki kila corner ya ulikmwengu

12. Kuthibitisha kwamba mwili wako utakufa ila akili au nafsi yako itabaki tu

13. utayaona mengi maisha yako yaliopita na kuyachezea na utakuwa na nafasi ya kuona kila kitu ambacho unatakiwa kufanya ufanikiwe

Pia hii yaweza kuwa tiba kubwa kwa magonjwa yasiyotibika kwa maana unaingia hata sehemu ambazo zimefichwa hasa na wawea kula dawa yeyote

evolution.

14. Kukutana Na Malaika wako wawili

Utawaona hawa hatua ya kwanza kutoka na kukuongoza kwa mengi ukitaka kuwaona.



15. Kuongeza Nguvu ya miujiza

Kutoka huku kutakufanya uongeze nguvu zako za miujiza kama vile

kuona vitu visivyoonekana kwenye real world, kuskia sauti za mawazo ya mtu, kujua kinachotokea dk kadhaa zijazo, kumlazimisha mtu kufanya utakacho (mind control), kuhisi jambo fulani linatokea, nguvu ya unabii,
Kuona aura ya kila kitu na nguvu zingine nyingi tu. haya yote yatakutokea kwa maana umezidi mpaka wa ubongo wako hapa ndio tunaanza kuona more than a normal brain function(waweza kuwa genius pia ukitumia vizuri, anyway usitumie manguvu yote hovyo utaanza kuhisi kuchanganyikiwa go stape by step.


16. kujaza busara akilini.

hii hukufanya uzidishe busara katika akili yako na amani kuu katika roho yako

17. Kuongeza tamaa ya kupata majibu

Kutoka nje ya mwili kutakufanya kujibu maswali na kujua zaidi kwamba wewe ni nani? upo wapi? na unafanya nini? na unaenda wapi? ukijua hayo hutabadilika mfumo wako wa maisha?

18. Kuwaona waliokufa

Hapa utakutana na ndugu zako uliokuwa ukiwapenda waliotangulia mbele za haki. Kukutana nao huku kutakusaidia sana kuwasaidia kama kuwalipia madeni na kukuonyesha mali walizoficha kama walikua wanakupenda.

19. Kujiongezea maajabu ya maisha

hapa utajifunza mengi kuona kila kiumbe kisichoonekana kupajua sehemu watu na nyumba kabla hujaenda

20. Kupona
Ukitoka nje ya mwili unakuwa umejitibu hapa utaweza kujitibu mwenyewe na wengine na wanyama pia.

Na Hizi bado ni baadhi tu:

Ni Aina Ya Nguvu Ambayo Huwa Nayo Watu Wote Isipokuwa Katika Asilimia 100..

65% Ni Watu Wasioijua

25% Ni Watu Wanaoijua

10% Ni Watu Wanaoitumia..

Hatua Za Kufuata Ili Kusavei Nje Ya Mwili

Kuna Njia Mbili Za Kutoka Nje Ya Mwili Hapa Nitaielezea Moja...

Njia Hizo Ni:

1; self Astral P...

2: Astral By Binaural Beats
View attachment 420201

HATUA ZA KUFUATA KWA NJIA YA KWANZA:

NI RAHISI TU....

1; Oga Na Vaa Nguo Safi Zisizo Bana

2: Lala Chali Mgongo Ukiwa Umenyooka Vema huku umefumba macho....
View attachment 420202
3: utapata vishawishi kujigeuza au kujitingisha vi ignore/ Usijishike wala kujitingisha kuwa kama soldier....

4: Usitingishe Macho Wala Kuchezesha Mwili Wako...

5: Subiri Na Uconcerntrate Kwenye Pumzi ( Hapa unakuwa unaudanganya ubongo kuwa mwili unaota)

6: ukiweza kujizuia Kujigeuza Geuza Au Kujikuna Ubongo Utajua Umelala Na Utaruhusu Mwili Kuachia Kinga Ya Paralysis Au Ganzi Salama Ya Mwili Mzima..
Ambayo Huwa Inakinga Miili Yetu Kutokujiumiza Wakati wa Kuota Mfano: sleep walking(unaota huku unatembea)

7: Wakati Hali Hii Inatokea Hapo Ndipo Unaweza Kujitenga na mwili wako ambao umepata ganzi....
tatizo hapa huwa lipo katika kujua ni upi mwili sahihi maana bado miili miwili inakuwa imeshikana

8: ukiamka na mwili wako wa ganzi kila kitu utakuwa umevuruga na utaamka kwenye mwili wenye ganzi (hii mimi ninauzoefu nayo pia unajiona upo macho lakini mwili hauamki wala kucheza unaganda ni kawaida ila huwa ni noma sana... haichukui muda ni kama sekunde 10 ukianza kujishtua au kujitingisha ila inashangaza kidogo wale wanafunzi wangu mnajua hapa namaanisha nini...

Sasa Je Utajua Vipi Kati Ya Miili Hii Upi Ni Sahihi?

Mbinu Rahisi Ipo Hivi Ukifikia Kwenye Hatua Hiyo Ya Kutoka.. Visualize Kwamba Una Mikono Mipya Na Miguu Mipya..
na ukishaingia kwenye hali hiyo hutokea set ya mingine

9: Baada Ya Hapo Inuka Katika Mwili Wako Wa Ndoto Sogea Mbele Hatua Tano Geuka Nyuma na Uangalie Mwili Wako Uliouacha.......

10: Hongera Umeweza Fanya Chochote Unachojiskia Hakina Madhara Kwenye Real World....
lakini vipo ambavyo vinaonekana in real world play safe there

ANGALIZO:
View attachment 420205
Wakati Unautizama Mwili Wako Uliouacha Kuna Kitu Kina Kuwa Kimekuunga Na Ule Mwili Kama Silver cold Hivi Nyeupe Ya Kama Wingu Hiyo Ndio Hukusaidia Kurudi Hata Kama Umepotea Njia.....
View attachment 420206


Rakims Spiritual

Rakims
Interesting
 
I respect your viewpoints Rakims, but I'm afraid you're taking allegiance with ignorance and diabolical celestial beings. The article in itself is full with speculation and unfounded assertion.

Your idea is based on your faith beliefs and dogmas, in contrast, your thread is more fiendish and supports witchcraft. My question is: are you open to the possibility that your belief system might be distorted and from not God? 
Mambo haya makuu walifumbuliwa watoto wachanga, na wenye akili za kijima walifumbiwa. Ignorant people can not talk of such high spiritual knowledge. Shida yenu mnafikiri mkisha soma soma kidogo mnadhani baaasi. You are not my broda.
Rakims thanks for good astra projection lesson in swahili.
 
Mambo haya makuu walifumbuliwa watoto wachanga, na wenye akili za kijima walifumbiwa. Ignorant people can not talk of such high spiritual knowledge. Shida yenu mnafikiri mkisha soma soma kidogo mnadhani baaasi. You are not my broda.
Rakims thanks for good astra projection lesson in swahili.
You are being deceived!

Sent using Sukhoi Su-57
 
Swali zuri sana maana hivi vitu havimo kwenye Biblia Takatifu which means havitoki kwa Mungu wa Mbinguni bali kwa shetani na mawakala wake wa kuzimu.

Sent using Sukhoi Su-57
Bora hii mada Mkuu nilihisi ni sayansi nilivyocheki Na mada zingine za Jamaa eti kumwita hadi jini Na umtume chochote tena naambiwa niwe tayari Na kumlipa mshahara
Kweli nimeweza hii Ap lakini sijui kama nitaendelea maana unaweza kuta hii elimu INA malipo Yake baadae hata roho yangu na
Uwezi pata hofu usipo soma Na mada zingine za Rakims
Haya yote kajivunzia wapi Ndotoni au msikitini



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hii mada Mkuu nilihisi ni sayansi nilivyocheki Na mada zingine za Jamaa eti kumwita hadi jini Na umtume chochote tena naambiwa niwe tayari Na kumlipa mshahara
Kweli nimeweza hii Ap lakini sijui kama nitaendelea maana unaweza kuta hii elimu INA malipo Yake baadae hata roho yangu na
Uwezi pata hofu usipo soma Na mada zingine za Rakims
Haya yote kajivunzia wapi Ndotoni au msikitini



Sent using Jamii Forums mobile app
Huyo "rakims" ni wakala wa shetani aliyetumwa kudanganya wana wa Mungu ili wauze/waweke nafsi zao kwa shetani!

He is a bloody satanist na sijui kwanini wanajf hawalioni hilo! Roho Mtakatifu awaokoe wote waliodanganywa na huyu mshirikina wakala wa kuzimu

Sent using Sukhoi Su-57
 
Elimu hii ilianzia Asia lakini kutokana na faida zake imeingizwa katika masomo ya tuba hasa zile za kipsychologia (metaphysics)-uhusiano wa roho,mwili/ubongo na nafsi zinavyofanya kazi efficiently na kuondoa fatigue na stress na Maladhi sugu mbalimbali ya nerves disorders na mengineyo kadhaa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom