willy ze great
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 1,026
- 1,179
Msaada anayefahamu jinsi ya kutoa harufa ya mafuta ya taa kwenye dumu nililonunua kwaajili ya kubebea maji ya matumizi ya geto. Nimeweka sabuni ya unga na mchanga lakini bado harufu ipo tena kali sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app