Jinsi ya Kutibu Vidonda Katika Ulimi Wako

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,268
33,040
Ramba kijiko kimoja cha Asali safi ya nyuki kutwa mara 3 hutibu vidonda kwenye ulimi wako na kuvimaliza.


Onyo:: Asali yenyewe isiwe Asali feki aka Asali iliyochakachuliwa haitaweza kukutibu hivyo Vidonda vyako kwenyeUlimi.

ASALI.jpg

honeyjar.jpg
 
Ramba kijiko kimoja cha Asali safi ya nyuki kutwa mara 3 hutibu vidonda kwenye ulimi wako na kuvimaliza.




10261971_241630426045675_565630697756903696_n.jpg
​ ​
honeyjar.jpg










Mimi huwa nakula machungwa kwa wingi mara tu nipatapo vidonda vya ulimi na baada ya siku kama 3 hadi 4 huwa napona, vipi nayo ni tiba sahihi?
 
Ni Kweli hili tatizo limenisumbua kwa muda mrefu..... Vikitokea vidonda katika ulimi Hata kuongea inakuwa shida sana. Likirudia tena nitajaribu hii tiba...
 
Mimi huwa nakula machungwa kwa wingi mara tu nipatapo vidonda vya ulimi na baada ya siku kama 3 hadi 4 huwa napona, vipi nayo ni tiba sahihi?
Machungwa ndio yenyewe kwa vidonda vya ulimi ukiwa navyo unakuwa na upungufu wa Vitamini C na machungwa yana Vitamini C kwa wingi sio tu ule Machungwa wakati una vidonda vya ulimi unatakiwa kila wakati uwe unakula Machungwa na matunda mengine kwa afya yako.

Oranges.jpg
 
Machungwa ndio yenyewe kwa vidonda vya ulimi ukiwa navyo unakuwa na upungufu wa Vitamini C na machungwa yana Vitamini C kwa wingi sio tu ule Machungwa wakati una vidonda vya ulimi unatakiwa kila wakati uwe unakula Machungwa na matunda mengine kwa afya yako.

Oranges.jpg

Asante mkuu, nitazingatia ushauri huu.
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom