GAZETI
JF-Expert Member
- Feb 24, 2011
- 5,277
- 6,673
Wadau kuna hii kitu nimekuwa nikisikia kwa miaka
mingi kuwa unaweza kuzalisha umeme kwa kutumia
choo (UMEME WA CHOONI),
Naomba mwenye maelezo ya jinsi unavyoweza
kutengeneza umeme huu anipatie kwani nafikiri kama
inawezekana basi ndio njia muafaka ya kumsahau Ngeleja
na Jairo.
Pia kama kuna njia nyingine nzuri ukiacha hiyo ya
chooni naomba tufahamishane.
Msaada wenu tafadhali!
mingi kuwa unaweza kuzalisha umeme kwa kutumia
choo (UMEME WA CHOONI),
Naomba mwenye maelezo ya jinsi unavyoweza
kutengeneza umeme huu anipatie kwani nafikiri kama
inawezekana basi ndio njia muafaka ya kumsahau Ngeleja
na Jairo.
Pia kama kuna njia nyingine nzuri ukiacha hiyo ya
chooni naomba tufahamishane.
Msaada wenu tafadhali!