Nielezee kama mtu nsiyefaham mkuu unavynambia light weight unanipoteza😁Ongeza protin intake na anza na light weight na utapanda kadri muda unavyosogea.
HapanaUnaingia gym?
YeahHaya poa.
Vyakula vya protini na vile vya kabohaidreti, fat, vitamin unavijua?
Kwakua umesema una mwili mwembamba kula sana vyakula vya protini, kunywa maji mengi na pumzika.Yeah
Profile ulioweka mbaya sana. Ndio wewe huyo? Mbona hujajazia sasaKwakua umesema una mwili mwembamba kula sana vyakula vya protini, kunywa maji mengi na pumzika.
Nilivyoandika light weight nilifikiri unaingia gym. Light weight inamaanisha utumie uzito mdogo katika mazoezi yako. Umesema unataka kuongeza mwili kwahiyo unataka kuongeza mwili kwa mazoezi gani?
Kuna app inaitwa abbs work iko playstore ukii pakua utakuja nishukuru