structuralist
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 1,231
- 905
Ok pamoja mkuuSina formula, nilikua nakula kawaida tu kwa kuzingatia protin, wanga etc.
What matters ni mazoezi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok pamoja mkuuSina formula, nilikua nakula kawaida tu kwa kuzingatia protin, wanga etc.
What matters ni mazoezi.
Safi sana kwa maelezo mazuri, kuna gym nilianzia kipindi naanza tizi nikipigishwa vyumaa maninaaa as if ni pro kesho kutwa yake mikono imevimba na mwili kama sio wanguKatika kila uzi nilikua naonyesha beginner aanzeje, ajipe mapumziko kati ya zoezi moja na jingine kwa muda gani na nilionyesha mazoezi ambayo beginner anaweza kuanza nayo kabla hajajumuisha mazoezi yote.
Mfano katika uzi huu nilionyesha push ups ambazo beginner hazimfai hapa mwanzo..
Dawa ni kwenda slow na kuongeza vitu kadri muda unavyoenda. Sikuahidi kua kesho utaweza kujikuna mgongoni ila nakuahidi maumivu yatakua robo ya siku zingine.
Hapana. Wataalamu wanasema mazoezi ni 20% tu na utaratibu wako wa kula ni 80%. Kama unafakamia macalories mengi kuliko unayounguza hata uwe unalala gym hakuna uzito utakaopoteza. Mazoezi na utaratibu mzuri wa chakula ni lazima viendane sawa.Sina formula, nilikua nakula kawaida tu kwa kuzingatia protin, wanga etc.
What matters ni mazoezi.
Chief niamini mimi. What matters ni mazoezi, mazoezi ya mtindo wa hardcore hata kama unashindia wanga kila muda hardcore exercises itakuweka sehemu poa sana.Hapana. Wataalamu wanasema mazoezi ni 20% tu na utaratibu wako wa kula ni 80%. Kama unafakamia macalories mengi kuliko unayounguza hata uwe unalala gym hakuna uzito utakaopoteza. Mazoezi na utaratibu mzuri wa chakula ni lazima viendane sawa.
Hapa ni mimi nikiwa nasoma. Nahisi unajua namna mwanafunzi anavyokula, anakua hana format ya nini kije au nini kisije..Hapana. Wataalamu wanasema mazoezi ni 20% tu na utaratibu wako wa kula ni 80%. Kama unafakamia macalories mengi kuliko unayounguza hata uwe unalala gym hakuna uzito utakaopoteza. Mazoezi na utaratibu mzuri wa chakula ni lazima viendane sawa.
push up kama hizo ulizoeleza ila hiyo spartan na push up ya magoti sijapiga mkuu. Napiga 15 kwa 15Umefanya mazoezi gani kwa siku tano?
mm huwa push up zangu nazipiga wakati nagegedaInakuaje wadau?
Nimeanza mazoezi ya kunyanyua uzito (I hate saying vyuma) mwaka 2013. Katika mazoezi hua tunasema majukumu ndiyo mchawi wa mazoezi, hivyo majukumu ya chuo yalikua yakinifanya nisiingie gym vile ninavyotaka iwe.
Wakati mwingine unajikuta unakosa pesa ya kuingia gym hivyo unajikuta huna option zaidi ya kukaa nyumbani ukiangalia ulivyoviingiza kwa wiki sita vikipukutika.
Lakini kwa muda nimekua nikitumia njia ambayo inanifanya kuubakisha mwili kwa kuujaza na kuukata.
Best of all, hili zoezi unaweza ukafanya popote na ndani ya dakika 45 (kutegemea na unavyotaka kua challenged).
Ili kuyafikia malengo ya hapo inabidi tufanye haya mazoezi kwa kutumia mtindo unaoitwa Tabata Protocol.
Zoezi tutakalolifanya litakua ni push ups (pushapu).
Na kanuni yetu itakua;
Zoezi moja litajumuisha seti nne.
Seti moja itajumuisha reps 20.
Kupumzika kati ya seti na seti ni sekunde 10.
Kupumzika kati ya zoezi moja na jingine ni dakika moja.
Anza na Pushap za Kawaida.
Hii ni ile aina ya pushap ambayo watu wengi wameizoea. Kama alizopiga Magufuli ila wewe usikunje ngumi.
View attachment 462249
Utaanza kwa kwenda juu ukishuka chini hiyo ni moja, utafanya hivyo mara 20. Utapumzika sekunde 10 na kurudia tena mara nne.
Hapo tunakua tumemaliza zoezi moja tunaenda jingine.
Pushap za miguu ikiwa imeinuka.
Mimi hua naweka miguu kitandani, unaweza ukaiweka kwenye stuli, jiwe au hata ndoo ukiigeuza juu chini. Pale daraja la Manzese miguu hua inawekwa kwenye ngazi.
View attachment 462252
Utaanza kwa kwenda juu ukishuka chini hiyo ni moja, utafanya hivyo mara 20. Utapumzika sekunde 10 na kurudia tena mara nne.
Hapo tunakua tumemaliza zoezi la pili, tunaenda jingine.
Tunakuja na Spartan Pushap.
Mikono yako inatakiwa ipishane, mmoja uwe mbele kushinda mwingine. Lakini ukiwa unaenda juu mkono uliokua mbele utaurudisha nyuma na uliokua nyuma unaupeleka mbele.
View attachment 462253
Utaanza kwa kwenda juu ukishuka chini hiyo ni moja, utafanya hivyo mara 20. Utapumzika sekunde 10 na kurudia tena mara nne.
Hapo tunakua tumemaliza zoezi la tatu tunaenda jingine.
Tunamalizia na Pushap za Magoti kugusa Chini.
Unaweka mikono kama unataka kupiga pushap alizopiga Magufuli, ila magoti yako yatakua yamegusa chini na usikunje ngumi kama Magufuli.
View attachment 462255
Utaanza kwa kwenda juu ukishuka chini hiyo ni moja, utafanya hivyo mara 20. Utapumzika sekunde 10 na kurudia tena mara nne.
Hapo tunakua tumemaliza zoezi letu.
NB.
-Utavuja sana jasho ndani ya dakika moja
-Kama hujawahi kufanya mazoezi, usifanye spartan pushap na hii ya magoti kugusa chini kwa sasa mpaka utakapozoea. Pia punguza idadi ya seti na reps, jiongezee na muda wa kupumzika.
-Natumia uzoefu na kujifunza kwa wengine, sijasomea, ushauri wangu siyo wa kidaktari.
-Comment workout yako tupate kujifunza.
Update:
Tafadhali usiniquote na kuniuliza juu ya hii mada
sawa sawa MkubwaHii namna ya mazoezi na hizo push ups zote anza kuzifanya.
Usipumzike.
Hivi huyo umemchukulia.serious?Hongera sana. Hua unazipiga kila siku?
Squat inasaidia nini mkuu?Kajijua kama kazingua ndiyo maana hajajibu tena.