Jinsi ya kutengeneza mwili bila kuingia Gym

Castr

JF-Expert Member
Apr 5, 2014
31,689
63,436
Pushup.png
5511218.png
spartan.jpg
Push-Up-On-Knees_Exercise.jpg
 
Mimi huwa napiga push-ups mia kila asubuhi. 50 kwa 50.

Sijaelewa hiyo spartan.
 
Aisee kwanza hongera lakini utagundua kua kwa sasa hivi hazikupi tena changamoto.

Kwa spartan fanya kwamba mikono ikishakaa kama ile picha inavyoonesha utakua ukija juu unakua kama unataka kupiga pushap za kupiga makofi (hivyo utakua unanyanyua mikono yako off the ground).
Lakini kila ukinyanyuka mkono uliokua nyuma utaenda mbele, uliokua mbele utarudi nyuma.

Kama bado mkuu, usisite kuniuliza.
Mimi huwa napiga push-ups mia kila asubuhi. 50 kwa 50.

Sijaelewa hiyo spartan.
 
Je inakuwaje kwa sisi tunaofanya kazi za kutumia nguvu nyingi kama kubeba zege na kutembea au kuendesha baiskeli umbali mrefu kuna haja ya mazoezi zaidi maana izo kazi me naona ni zoezi tosha
Kazi kama hizo zinakupa nguvu na ukakamavu unaweza hata ukapata mwili uliokata lakini haviji kwa mpangilio, kufanya mazoezi ni kupangilia nini unataka kionekane na nini kisionekane.
 
Una kitambi kikubwa kabisa kabisa au una tumbo flat ila unataka kulikata?
Ni na tumbo la kawaida ila nataka kulifanya liwe na mkazo fulan kama six pack yaan lile tumbo hata unaweza kumruhusu mtu kukushika na asione manyamanyama au ukamruhusu akupge ngumi tumbon
 
91 Reactions
Reply
Back
Top Bottom