Jinsi ya kutengeneza barafu za kula (ice cream)

Mkuu nimetulia ngoja nikupe ABC japo kidogo kwa uzoefu wangu,

Mahitaji:

Freezer kubwa kutegemea na uhitaji wako lakini pia pesa uliyo nayo.


Mifuko ya plastic ya kufungia barafu,ipo ya barafu za hamsini na barafu za mia au kutegemea uhitaji na soko lako.

Pia kuna juisi za unga ambazo zinauzwa kwa jagi lenye packet 72,kwa mwanZa ambako Mimi huchukulia mahitaji,jagi huuzwa sh 6000

Lakini pia kuna tangawizi ambayo Mimi huweka ili kutia/ kuongeza radha ya barafu lakini sio mhimu sana au kuna chupa furani ambazo huwa na kimiminika chenye kuongeza radha( flavours)

Kwa Mimi jagi moja lenye packet 72 linauwezo wa kuniingizia faida ya shilingi 40 elfu ila inaweza kuzidi hadi kufikia 70 elfu hii hutegemea ukubwa wa ice cream zako,Mimi hutengeneza kubwa ili kuvuta wateja,na barafu huwa na wateja wengi wakati wa kiangazi ambapo jua Kali huwalazimu watu kupata kitu cha baridi ili kupoza koo,kama una freezer kubwa jagi moja lenye packet 72 laweza isha within a day na kukuacha na faida ya almost 40 to 70 thousands,

Biashara hii inafaida kubwa sana lakini wengi huidharau na kuona kama ni kupoteza muda lakini pia hakuna cha kusumbuliwa na government juu ya maswala ya kodi licha ya faida kubwa iliyonayo

Kama kuna. sehemu hujaelewa mkuu uliza nikueleweshe


Sent using Jamii Forums mobile app
maelezo safi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi vibiashara vidogo mpaka utoboe Mungu asaidie yaani vina faida kidogo sana ,labda kama unafanya supplying ya hali ya juu
 
Katika hapa chagua ambayo unajua wanafunzi wataweza kununua kulingana na kipato chao then nikupe darasa
-Za maziwa
- ukwaju
- Ubuyu
Hizo mimi ndiyo najua kutengeneza
 
hivi vibiashara vidogo mpaka utoboe Mungu asaidie yaani vina faida kidogo sana ,labda kama unafanya supplying ya hali ya juu
Hizi biashara zinafaida sana tena sana ukiwa serious
Uwe umejitoa kwa moyo kuzifanya
Uwe msafi
Iwe ya uhakika nikiwa na maana siyo Leo unayo hiki kesho huna chaleo kina hiki cha kesho hakina
Hizi biashara zinafaida mtu ukiwa serious
Watu zimetutoa mbali sana
 
Kuu uko siriaz kweli,kuna wakati Mimi huingiza elfu 20000 za barafu tu x 30 = 600.0000 kwa mwezi,wakati huo mshahara wangu ni chini zaidi ya hiyo ninayopata kwenye barafu,
hivi vibiashara vidogo mpaka utoboe Mungu asaidie yaani vina faida kidogo sana ,labda kama unafanya supplying ya hali ya juu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: amu
Mkuu nimetulia ngoja nikupe ABC japo kidogo kwa uzoefu wangu,

Mahitaji:

Freezer kubwa kutegemea na uhitaji wako lakini pia pesa uliyo nayo.


Mifuko ya plastic ya kufungia barafu,ipo ya barafu za hamsini na barafu za mia au kutegemea uhitaji na soko lako.

Pia kuna juisi za unga ambazo zinauzwa kwa jagi lenye packet 72,kwa mwanZa ambako Mimi huchukulia mahitaji,jagi huuzwa sh 6000

Lakini pia kuna tangawizi ambayo Mimi huweka ili kutia/ kuongeza radha ya barafu lakini sio mhimu sana au kuna chupa furani ambazo huwa na kimiminika chenye kuongeza radha( flavours)

Kwa Mimi jagi moja lenye packet 72 linauwezo wa kuniingizia faida ya shilingi 40 elfu ila inaweza kuzidi hadi kufikia 70 elfu hii hutegemea ukubwa wa ice cream zako,Mimi hutengeneza kubwa ili kuvuta wateja,na barafu huwa na wateja wengi wakati wa kiangazi ambapo jua Kali huwalazimu watu kupata kitu cha baridi ili kupoza koo,kama una freezer kubwa jagi moja lenye packet 72 laweza isha within a day na kukuacha na faida ya almost 40 to 70 thousands,

Biashara hii inafaida kubwa sana lakini wengi huidharau na kuona kama ni kupoteza muda lakini pia hakuna cha kusumbuliwa na government juu ya maswala ya kodi licha ya faida kubwa iliyonayo

Kama kuna. sehemu hujaelewa mkuu uliza nikueleweshe


Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba uniwekee picha ya hiyo jagi lenye packet 72.
 
Ngoja nikuulize ukitumia hizo packet zilizopo kwenye jag sijui juice cola huko sukari? Nina rafiki yangu amefunga kiwanda sababu kuna mpinzani anauza hizo barafu sh 50 anatumia michanganyo ya juice cola na yeye anataka aanze kutumia hiyo ili vijana wake warudi.
Awauzie kwa jumla 50 wao wakauze rejareja 100.
Naomba unipe hatua kwa hatua imfae maana kiwanda keshafunga
Mkuu nimetulia ngoja nikupe ABC japo kidogo kwa uzoefu wangu,

Mahitaji:

Freezer kubwa kutegemea na uhitaji wako lakini pia pesa uliyo nayo.


Mifuko ya plastic ya kufungia barafu,ipo ya barafu za hamsini na barafu za mia au kutegemea uhitaji na soko lako.

Pia kuna juisi za unga ambazo zinauzwa kwa jagi lenye packet 72,kwa mwanZa ambako Mimi huchukulia mahitaji,jagi huuzwa sh 6000

Lakini pia kuna tangawizi ambayo Mimi huweka ili kutia/ kuongeza radha ya barafu lakini sio mhimu sana au kuna chupa furani ambazo huwa na kimiminika chenye kuongeza radha( flavours)

Kwa Mimi jagi moja lenye packet 72 linauwezo wa kuniingizia faida ya shilingi 40 elfu ila inaweza kuzidi hadi kufikia 70 elfu hii hutegemea ukubwa wa ice cream zako,Mimi hutengeneza kubwa ili kuvuta wateja,na barafu huwa na wateja wengi wakati wa kiangazi ambapo jua Kali huwalazimu watu kupata kitu cha baridi ili kupoza koo,kama una freezer kubwa jagi moja lenye packet 72 laweza isha within a day na kukuacha na faida ya almost 40 to 70 thousands,

Biashara hii inafaida kubwa sana lakini wengi huidharau na kuona kama ni kupoteza muda lakini pia hakuna cha kusumbuliwa na government juu ya maswala ya kodi licha ya faida kubwa iliyonayo

Kama kuna. sehemu hujaelewa mkuu uliza nikueleweshe


Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
MAHITAJI
(kwa mahitaji haya utatoa zaidi ya pisi 200 za barafu ukitumia vifuko vya size 1¼ X 10)
Maji lita 7
Maziwa ya unga 1 cup (brand yoyote)
Unga wa wanga (corn starch) 2 cups uchanganye na maji lita 1.5 (unga wa wanga unauzwa supermarket) au sokoni unga wa ubuyu
Sukari kilo 1¾ (waweza punguza)
Chumvi ½tsp (ukipenda)
Utaweka ladha uipendayo (vanilla, mango, chocolate, pineapple, nk) Mifuko 300 ya kufungia ice candy (mifuko ya barafu)

HATUA:
1. Weka maji lita 7 kwenye sufuria kubwa na weka jikon yachemke, ongeza sukari na chumvi(ukipenda), kisha changanya vizuri hadi viyeyukie humo .
2. Ongeza ile corn starch au ubuyu na maziwa ya unga kwenye hayo maji yanayochemka, koroga vzr ili kusitokee mabujabuja, chemsha kwa dk 8, kisha zima jiko, acha ipoe kwa saa kadhaa kisha ongeza ladha uipendayo.
3. Funga kwenye vile vifuko na gandisha hadi ziwe barafu.

nataka wife Ator pisi 200 za kula weyewe asante kwa mwongozo Numbisa
 
Mkuu nimetulia ngoja nikupe ABC japo kidogo kwa uzoefu wangu,

Mahitaji:

Freezer kubwa kutegemea na uhitaji wako lakini pia pesa uliyo nayo.


Mifuko ya plastic ya kufungia barafu,ipo ya barafu za hamsini na barafu za mia au kutegemea uhitaji na soko lako.

Pia kuna juisi za unga ambazo zinauzwa kwa jagi lenye packet 72,kwa mwanZa ambako Mimi huchukulia mahitaji,jagi huuzwa sh 6000

Lakini pia kuna tangawizi ambayo Mimi huweka ili kutia/ kuongeza radha ya barafu lakini sio mhimu sana au kuna chupa furani ambazo huwa na kimiminika chenye kuongeza radha( flavours)

Kwa Mimi jagi moja lenye packet 72 linauwezo wa kuniingizia faida ya shilingi 40 elfu ila inaweza kuzidi hadi kufikia 70 elfu hii hutegemea ukubwa wa ice cream zako,Mimi hutengeneza kubwa ili kuvuta wateja,na barafu huwa na wateja wengi wakati wa kiangazi ambapo jua Kali huwalazimu watu kupata kitu cha baridi ili kupoza koo,kama una freezer kubwa jagi moja lenye packet 72 laweza isha within a day na kukuacha na faida ya almost 40 to 70 thousands,

Biashara hii inafaida kubwa sana lakini wengi huidharau na kuona kama ni kupoteza muda lakini pia hakuna cha kusumbuliwa na government juu ya maswala ya kodi licha ya faida kubwa iliyonayo

Kama kuna. sehemu hujaelewa mkuu uliza nikueleweshe


Sent using Jamii Forums mobile app
Jamn nisaidie mm nikigndisha kwenye freezer mbona inaganda zile za pembeni tu hizo za katikati haigandi natumia Hisense freezer shida ni nini
 
Back
Top Bottom