Jinsi ya kutengeneza barafu za kula (ice cream)

Hahahah aisee wewe mchoyo hadi kwapani.

Kuna wengine walikua wakinunua tu wanaitemea sasa wale makauzu wanasema wee nipe hivyo hivyo
zangu hizo! mwenzio akwambia nmeitia mate ili usimuombe still nataka ivoivo! dah
 
Mahitaji
(kwa mahitaji haya utatoa zaidi ya pisi 200 za barafu ukitumia vifuko vya size 1¼ X 10)

Maji lita 7
Maziwa ya unga 1 cup (brand yoyote)
Unga wa wanga (corn starch) 2 cups uchanganye na maji lita 1.5 (unga wa wanga unauzwa supermarket) au sokoni unga wa ubuyu
Sukari kilo 1¾ (waweza punguza)
Chumvi ½tsp (ukipenda)
Utaweka ladha uipendayo (vanilla, mango, chocolate, pineapple, nk) Mifuko 300 ya kufungia ice candy (mifuko ya barafu)
HATUA:
1. Weka maji lita 7 kwenye sufuria kubwa na weka jikon yachemke, ongeza sukari na chumvi(ukipenda), kisha changanya vizuri hadi viyeyukie humo .
2. Ongeza ile corn starch na maziwa ya unga kwenye hayo maji yanayochemka, koroga vzr ili kusitokee mabujabuja, chemsha kwa dk 8, kisha zima jiko, acha ipoe kwa saa kadhaa kisha ongeza ladha uipendayo.
3. Funga kwenye vile vifuko na gandisha hadi ziwe barafu.
mkuu umeongelea vyote viwili barafu na ice cream au maana nijuavyo maziwa hutumika kwenye ice cream au inakuwaje hii
 
Nimeongelea barafu za kawaida.

Kuna maeneo ukienda ukaulizia barafu wanakupa yale mabonge ya barafu,ila ukiulizia ice cream wanakupa hizi za kula. Ukitaka za maziwa wanaita koni(corne)
mkuu umeongelea vyote viwili barafu na ice cream au maana nijuavyo maziwa hutumika kwenye ice cream au inakuwaje hii
 
Nimeongelea barafu za kawaida.

Kuna maeneo ukienda ukaulizia barafu wanakupa yale mabonge ya barafu,ila ukiulizia ice cream wanakupa hizi za kula. Ukitaka za maziwa wanaita koni(corne)
thanks sana mkuu ni biashara ndogo ndogo za kujiongeza nina work mate watu anauza kwa siku zaidi ya 200 hiyo home kwake watanzania tuamke tusidharau biashara kuingiza elfu ishirini kwa siku ni kubwa tena ukiwa umetulia home kwako
 
Kweli kila biashara inalipa cha msingi ni kutumia akili na mahesabu ya faida na hasara.
thanks sana mkuu ni biashara ndogo ndogo za kujiongeza nina work mate watu anauza kwa siku zaidi ya 200 hiyo home kwake watanzania tuamke tusidharau biashara kuingiza elfu ishirini kwa siku ni kubwa tena ukiwa umetulia home kwako
 
Baada ya ice cream hizo kuna hii nyingine.
Kwenye friji kuna zile set za kugandishia vipande vya barafu, sasa kwa mchanganyiko kama huo unamimina kwenye zile set unaweka na vile vijiko kama vya kulia ice cream za azam then gandisha
 
Hizo tunaita barafu za mti
Baada ya ice cream hizo kuna hii nyingine.
Kwenye friji kuna zile set za kugandishia vipande vya barafu, sasa kwa mchanganyiko kama huo unamimina kwenye zile set unaweka na vile vijiko kama vya kulia ice cream za azam then gandisha
 
13 Reactions
Reply
Back
Top Bottom