Jinsi ya kutatua tatizo la laptop kuonesha mistari hii

Asiliatz

Member
Aug 16, 2018
97
131
Habari wakuu!

Ni laptop aina ya hp elitebook 8440p, ilikuwa haina betri umeme ukazima baada ya kuwasha ikawa inaishia kwenye mistari kama picha inavyoonekana.... Ukizima na kuwasha tena inaandika "Automatic repair could not repair" ukizima nakuwasha tena inarudikwenye kuonesha mistari.

Haijaendelea zaidi ya kujiridia hayo matatizo, jaribu kufanya njia nyingi baada yakusoma mtandaoni lakini bado (ikiwemo RegBack, reset imegoma, safemode).

Nimechomoa HDD nimeunganisha kama external kwenye pc ingine haisomi.

Msaada tafadhali kwa aliyewahi kukutana na hili tatizo na akasolve au anayeweza changia njia za kusolve hili tatizo.
IMG20190608152043.jpg
 
Ram mkuu badili ra weka zingine then change SATA mode kisha start window normal
 
Check memory stress
Habari wakuu!

Ni laptop aina ya hp elitebook 8440p, ilikuwa haina betri umeme ukazima baada ya kuwasha ikawa inaishia kwenye mistari kama picha inavyoonekana.... Ukizima na kuwasha tena inaandika "Automatic repair could not repair" ukizima nakuwasha tena inarudikwenye kuonesha mistari.

Haijaendelea zaidi ya kujiridia hayo matatizo, jaribu kufanya njia nyingi baada yakusoma mtandaoni lakini bado (ikiwemo RegBack, reset imegoma, safemode).

Nimechomoa HDD nimeunganisha kama external kwenye pc ingine haisomi.

Msaada tafadhali kwa aliyewahi kukutana na hili tatizo na akasolve au anayeweza changia njia za kusolve hili tatizo.View attachment 1121986
 
Rudisha hiyo HDD yako then badili window, then uone kama umetatua tatizo
 
Back
Top Bottom