WANDUGU,
Habari za mchana, najua wengi wetu humu tunamiliki au tunaendesha magari. na Magari mengi ya sasa ni yale yanayotumia VVT-I technology, sasa kuna story nyingi za mtaani kuwa unaweza kuendesha gari hata kama ina CC 2000 na bado ukapunguza fuel consumption kwa kiasi fulani. sasa naomba kama tunaweza kushare hizo experience without regarding the cc of the car ili tuone kama tunaweza kuokoa mafuta. Si unajua tena uchumi:smiling::smiling:
Ahsante na karibuni
Habari za mchana, najua wengi wetu humu tunamiliki au tunaendesha magari. na Magari mengi ya sasa ni yale yanayotumia VVT-I technology, sasa kuna story nyingi za mtaani kuwa unaweza kuendesha gari hata kama ina CC 2000 na bado ukapunguza fuel consumption kwa kiasi fulani. sasa naomba kama tunaweza kushare hizo experience without regarding the cc of the car ili tuone kama tunaweza kuokoa mafuta. Si unajua tena uchumi:smiling::smiling:
Ahsante na karibuni