Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Uko nje ya nchi...unataka kuchimba madini...this is latest point ya mining....kwa maana halisi ni kwamba labda useme unataka kufanya exploration ya madini..tanzania..na hapo unasajili company ya exploration....

Unafanya utafiti maeneo yako then ukisha pata deposit ya kutosha ya madini kuweza kuchimba kwa mfani 5-10 Million Oz..(kipimo cha Gold)then unaweza ku apply Mining license.Ila unaweza at the same time ukawa na license mbili katika company moja nimeona kwenye company moja Tanzania royality company hawa wana licence ya mining and exploration..ila wamefanya kaujanja kamoja ka kuwa na company mbili katika mwamvuli mmoja.Moja ikiitwa mama na nyingine dada.

Kwa ushauli exploration mining tanzani ni ngumu sana hata ma kampuni makubwa sasa yanatapata shida kufanya kwa kuwa eneo kubwa la tanzania limeshafanyiwa utafiti unawe zakuwa na PL 100,100% ownership lakini ukifanya exploration kwa level ya kwanza haikupi matumaini kwenda level ya pili...at the end of the day inakuwa useless.

So kuwa makini sana unapo kuja kufanya mambo kam hii tanzania..most of wa wawekezaji wanakuja fanya JV(Join venture) na company zenye maeneo...kwani kuna about 50 - 100 exploration company kanda ya ziwa acha uko kusini mwa tanzania kwenye uranium.

Asubuhi njema
Hakuna Company ya Exploration, kama alivyosema mmoja hapo juu unasajili kwanza Kampuni BRELA kama kampuni zingine, halafu unachukua leseni inayoendana na unachotaka kukifanya,
Aina za leseni
a) Chini ya daraja A ya sehemu ya IV
i) Leseni ya utafutaji madini - Mineral Exploration
ii) Leseni ya utafutaji madini ya vito - Gemstone Exploration
iii) Leseni ya umiliki - Ownership License
b) Chini ya daraja B sehemu ya IV - Leseni za uchimbaji madini - Mining
i) Leseni maalum ya uchimbaji madini
ii) Leseni ya uchimbaji madini
c) Chini ya daraja C sehemu ya IV
i) Leseni ya awali ya uchimbaji madini
d) Chini ya daraja D sehemu ya IV
i) Leseni ya Kuchenjua
ii) Leseni ya kuyeyusha
iii) Leseni ya kusafisha
 
Huu uzi uwe updated kwa kuweka njia mpya za kusajili kwa online system ya Brela (ORS)
Nadhani mode
Huu uzi uwe updated kwa kuweka njia mpya za kusajili kwa online system ya Brela (ORS)
Tunaomba Moderator mtusaidie ku-update kusajili kwa ors maana bila hivyo uzi hauna msaada tena.. Mi nimekuja mbio huku kujua usajili wa kampuni kwa njia mpya nimeshia kuwa dissapointed
 
Jambo ipo?

Kama hukupata majibu nipigie, kwa msaada
Nafanya shughuri hizi za usajili. Kwa haraka unapaswa uwe na kitambulisho cha taifa. Kama mpo wengi yaani wakurugenzi ama partners pia wanapaswa wawe nayo.

Nipigie 0778437201
Kama nipo ubia na foreigner inakuaje kwenye limited company?
 
Wakuu naona threads nyingi zinazungumzia usajili wa enzi zile za zamani.

Naomba anaejua namna ya kusajili kampuni kwa ORS anipe muongozo maana kuna mwanasheria nimempigia simu kuhusu memart anasema siku hizi sio kama zamani saizi memart naweza andaa mwenyewe tu akanigongea muhuri.

Na kama kwenye kampuni niko na foreigner anaeishi nje ila tunataka kufungua limited company sio partnership hapo utaratibu ukoje?
 
Hapa umetisha bro
1. Kwanza chagua jina halafu nenda Brela kasajili jina. It's a one day process.

2. Baada ya kupata 'OK' ya jina. Nenda kwa mwanasheria akuandalie documents mbili muhimu. Hii ni The Memorandum of the Company na Articles of Association copy nne nne. This is a Two days Job.

3. Unarudi Brella na kujaza forms na ku-submit na hizo documents na unalipia - applicable fees. This is another two days job.

In total 5 working days zinatosha kusajili kampuni. Ukianza Jumatatu, unamaliza Ijumaa. Kama una mkono mrefu, unaweza kufanyiwa kwa Fast Track na ukamaliza mambo yote in a day or two.
 
Mkuu samahani, hivi hizi memorandum na article of association ni lazima aandae mwanasheria? Je kama una uelewa wa haya mambo na sio mwanasheria inakuaje hauruhusiwi?
1. Kwanza chagua jina halafu nenda Brela kasajili jina. It's a one day process.

2. Baada ya kupata 'OK' ya jina. Nenda kwa mwanasheria akuandalie documents mbili muhimu. Hii ni The Memorandum of the Company na Articles of Association copy nne nne. This is a Two days Job.

3. Unarudi Brella na kujaza forms na ku-submit na hizo documents na unalipia - applicable fees. This is another two days job.

In total 5 working days zinatosha kusajili kampuni. Ukianza Jumatatu, unamaliza Ijumaa. Kama una mkono mrefu, unaweza kufanyiwa kwa Fast Track na ukamaliza mambo yote in a day or two.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Naomba kujua gharama za kunisaidia kufungua kampuni ukijibu hapa itapendeza
 
Back
Top Bottom