sengobad
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 8,000
- 7,370
Aise, huko ni kudumaza maendeleo, bora wangeweka vitambulisho viwili au vitatu ukikosa hichi jnaleta hichi mfano passport au Leseni ya Gari.Nimewauliza hilo wakajibu Kitambulisho cha Taifa ni lazima na kama bado kabisa itabidi usubiri tu. Ndio hali halisi