lembu
JF-Expert Member
- Dec 31, 2009
- 16,434
- 21,883
OBRS haipo tena. Kama hujamaliza application ndani ya siku sita kila kitu kinafutwa itakubidi uanze upya, ndio maana nikashauri kwa kusisitiza uwe na taarifa zote kabla hujaanza kuomba kwa sababu ukikosa hata taarifa ndogo inaweza kukufanya urudie rudie mpaka uchokeInamaana baada ya kua aproved alaf sjafanya ORS ndan ya siku sita nitakua nmepoteza info zote za kule obrs?