yusufu hezron
Member
- Jan 2, 2012
- 88
- 20
D0d00ccv ccxx fd
uzi mtamu
Ndiyo unaweza kufungulia lakini itabidi ibadilishwe matumizi kwenda matumizi ya biashara. Lakini itakuwa hyhyJe TIN niliyotunia kupata leseni ya udereva naweza kufungulia biashara?
Ndiyo, leta ubaoni tuijadili. karibunikupe biashara?
Karibu sanaNtawafuta..
Naomba nikujibu katika masuala ya usajiliHabari zenu..msaada jamani..naombeni kujua hatua za kusajili bidhaa..kupewa kibali cha TFDA na TBS..na je! Inagharimu kiasi gani katika usajili?na ofisi kwa Dar es salaam ziko sehemu gani? Na inachukua mda gani kusajiliwa?na yeyote mwenye kujua wapi nitapata mashine ndogo ya kutengenezea chalk? Na wapi nitapata malighafi za losheni kwa bei nzuri..AHSANTENI
Ahsante..ubarikiwe mnoNaomba nikujibu katika masuala ya usajili
1. Je umeshasajili jina la biashara yako au kampuni kwa upande wa BRELA?
2. Je umeshasajili TIN no kwa upande wa TRA?
(Tufanye umesajili vyote hivyo vya awali)
Hatua inayofuatia ni
3. Kusajili SIDO ambao wao watakuwa wanakutambulisha katika taasisi unazoomba leseni au kibali kama mjasiriamali wao hivyo kupata huduma kwa urahisi
4. Hii ina maana kupata kibali TBS, ina maana SIDO wataandika barua kwa TBS baada ya wewe kuomba kubali kupitia SIDO juu ya bidhaa yako unayozalisha. TBS watajiridhisha ubora wa bidhaa unayozalisha kwa kuchukua sample, kama ipo vema basi utapata cheti cha ubora. Huduma hii ni BURE kwa wajasiriamali wadogo
5. Ukija TFDA utaandika barua kama mlolongo wa hapo juu ambapo SIDO watakuombea kama mwanachama wao mjasiriamali. Baada ya hapo TFDA watafuata utaratibu wao n wakijiridhisha basi utapata cheti chao. Gharama hii sina uhakika nayo
6. Ofisi za TFDA zipo pale Mabibo External karibu na B. W. MKAPA EPZA Zone na ofisi za TBS zipo pale UBUNGO kati t stendi ya mabasi na kituo cha mafuta cha Oilcom
Mashine ndogo ya kutengeneza chaki nenda SIDO pale Vingunguti/Kiwalani small industries zone
Ukifika SIDO mule ndani hata hizo malighafi utazipata pia kwani kuna harakti nyingi sana za uzalishaji za wajasiriamali
Karibu
Maoni, ushauri na maswali waweza kutucheki ktk
Email: consultafrolinktz@gmail.com
Hotline: 0755411455
Brela wako wapi?Naomba nikujibu katika masuala ya usajili
1. Je umeshasajili jina la biashara yako au kampuni kwa upande wa BRELA?
2. Je umeshasajili TIN no kwa upande wa TRA?
(Tufanye umesajili vyote hivyo vya awali)
Hatua inayofuatia ni
3. Kusajili SIDO ambao wao watakuwa wanakutambulisha katika taasisi unazoomba leseni au kibali kama mjasiriamali wao hivyo kupata huduma kwa urahisi
4. Hii ina maana kupata kibali TBS, ina maana SIDO wataandika barua kwa TBS baada ya wewe kuomba kubali kupitia SIDO juu ya bidhaa yako unayozalisha. TBS watajiridhisha ubora wa bidhaa unayozalisha kwa kuchukua sample, kama ipo vema basi utapata cheti cha ubora. Huduma hii ni BURE kwa wajasiriamali wadogo
5. Ukija TFDA utaandika barua kama mlolongo wa hapo juu ambapo SIDO watakuombea kama mwanachama wao mjasiriamali. Baada ya hapo TFDA watafuata utaratibu wao n wakijiridhisha basi utapata cheti chao. Gharama hii sina uhakika nayo
6. Ofisi za TFDA zipo pale Mabibo External karibu na B. W. MKAPA EPZA Zone na ofisi za TBS zipo pale UBUNGO kati t stendi ya mabasi na kituo cha mafuta cha Oilcom
Mashine ndogo ya kutengeneza chaki nenda SIDO pale Vingunguti/Kiwalani small industries zone
Ukifika SIDO mule ndani hata hizo malighafi utazipata pia kwani kuna harakti nyingi sana za uzalishaji za wajasiriamali
Karibu
Maoni, ushauri na maswali waweza kutucheki ktk
Email: consultafrolinktz@gmail.com
Hotline: 0755411455
Brela wapo ghorofa Mezanine kwa kuelekezwa usajili kwa ORS, ghorofa ya 6 maelezo ya jumla, Ushirika tower, Mnazi mmojaBrela wako wapi?
AmiiiinAhsante..ubarikiwe mno
Hatua za kupata TIN NO ya kampuni.Hallo watalaam wa Biashara mimi ninakampuni nilisajili mwaka jana mwezi wa nne April,2017.
Sina TIN namba. Jumla ya pesa niliyolipa ni 240,000/= mtaji ni mdogo. Nasikia eti hata kama sijafanya biashara natakiwa kulipia mwezi wa nne April, 2018. Kama ni kweli je nalipia kiasi gani ?
Nitashukuru kama mtanidaidia kwa hilo na nadhani itabido nije kupanua mawazo kuhusu kodi nk consultations