Unaweza kuanza biashara kwa kutumia jina lako na ukapata TIN na leseni... Kama hauna ulazima sana basi tumia tu majina yako bila kusajili jina la biasharaMsaada wa haraka wadau, ninataka kuanza biashara, ila sina kitambulisho cha kura wala cha taifa ( vilipotea),
Je inawezekana kuanza biashara yaani kupata namba ya mlipakodi na leseni bila kuwa na jina la biashara? Maana ili kusajili jina la biashara vinatakiwa vitambulisho, na mim hivyo sina, msaada tafadhali!
Kusajili ni mpaka Dar tu? kwani hakuna ofisi za kanda kama kati, nyanda za juu kusini, magharibi na ziwa? Tafadhali naomba kujuzwa!1. Kwanza chagua jina halafu nenda Brela kasajili jina. It's a one day process.
2. Baada ya kupata 'OK' ya jina. Nenda kwa mwanasheria akuandalie documents mbili muhimu. Hii ni The Memorandum of the Company na Articles of Association copy nne nne. This is a Two days Job.
3. Unarudi Brella na kujaza forms na ku-submit na hizo documents na unalipia - applicable fees. This is another two days job.
In total 5 working days zinatosha kusajili kampuni. Ukianza Jumatatu, unamaliza Ijumaa. Kama una mkono mrefu, unaweza kufanyiwa kwa Fast Track na ukamaliza mambo yote in a day or two.
Anzia hapaNB: Nataka kufungua kampuni katika stage hii kwa sababu kwa ninavopanga naona baadae naweza kuomba tenda nikiwa kama kampuni ,kwa hiyo naona niwe na kampuni yangu japo haina ofisi ni mimi na simu yangu tu!!
Nawasilisha
Mwl nishasoma threads hizo ila naona hazijajibu kiundani zaidi hayo maswali yangu matatu.naomba kama unaweza kugusa exactly maswali yangu naomba unijibu
Naombeni majibu JamanMwl nishasoma threads hizo ila naona hazijajibu kiundani zaidi hayo maswali yangu matatu.naomba kama unaweza kugusa exactly maswali yangu naomba unijibu
Mkuu unamaanisha kodi inakuwa kubwa kuliko mtaji hiyo ipo kisheria au kwa sababu ya uchumi ulivo?Katika awamu hii,, kodi inakuwa kubwa kuliko mtaji
Naomba nikujibu maswali yako kama ifuatavyoHabari members
Nina shida na majibu ya haya maswali,naomba kujibiwa
nataka kufanya biashara flani ambayo inafanyika online au saa nyingine unamfuata mteja alipo unampa huduma hiyo anakulipa.sasa naomba kujua
1- naweza kufungua kampuni ya hii biashara? Bila kuwa na ofisi maalumu? Yaan ofisi ni mimi mwenyewe na msaidizi wangu
2- je hata kama mtaji wangu ni chini ya laki tano (500,000) tsh naweza kufungulia kampuni biashara hii?
3- je mambo ya kodi yanaendaje kulingana na biashara yangu ilivyo ndogo japo nategemea baada ya miaka kadhaa itakuwa na kumiliki ofisi pia
4- je gharama za kufanya utaratibu wote kabisa mpaka unakabidhiwa cheti cha kampuni yako jumla ni sh ngapi ili nijipange?
NB: Nataka kufungua kampuni katika stage hii kwa sababu kwa ninavopanga naona baadae naweza kuomba tenda nikiwa kama kampuni ,kwa hiyo naona niwe na kampuni yangu japo haina ofisi ni mimi na simu yangu tu!!
Nawasilisha
Da! Asante sana mkuu! Short and clear nimekuelewa!!! Ntakutafuta nipe mda niweke sawa mamboNaomba nikujibu maswali yako kama ifuatavyo
1. Kufngua kampuni
Limited company inafunguliwa kwa kuwa na Memorandum na Articles of Association. Ss katika Memorandum hapo utaona ofisi za kampuni zinasajiliwa ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Lakini eneo la ofisi hata nyumbani kwako waweza kuweka ndipo ilipo ofisi ya kampuni yako. Mfano Unakaa Ilala, mtaa wa Lindi, barabara ya Shaurimoyo, plot no 1, block b nk.
2. Mtaji wa laki 5
Kampuni inaanza kusajiliwa kuanzia na kiasi cha chini cha mtaji wa sh elfu 20 hivyo hiyo laki 5 ni kubwa sana
3. Masuala ya kodi
Kodi inategemea na kiasi gani kwa mwaka kinapatikana kwa sababu si kila biashara inafuzu kulipa kodi. Mauzo yasiyozidi mil 4 kwa mwaka haulipi kodi. Rejea TRA kodi na ushuru mbalimbali 2017/2018, chapa ya Julai 2017 ukurasa wa 9, jedwali sehemu no 2.
4. Gharama za usajili
Gharama za usajili inategemea na thamani ya mtaji kwa upande wa malipo ya BRELA na vlvl kuna gharama za consultant. Kwa mujibu wa mtaji usemao kwa haraka haraka ni 177,200/=. Then gharama za consultant inategemea kwani hazipo fixed lakini kwetu ukija tutaongea. Mawasiliano ntaweka chini
Karibu
I-Business Consult ltd
Mobile:0659211222/0777777766
Email:iconsultbuzness@gmail.com
Asante MkuuDa! Asante sana mkuu! Short and clear nimekuelewa!!! Ntakutafuta nipe mda niweke sawa mambo
Mkuu naomba kuchangia kama ifuatavyoNimeona watu wakiorodhesha shughuli nyingi zitakazofanywa chini ya kampuni moja na wengine wanakuwa specific na aina fulani tu ya shughuli ningependa kujua labda kuna gharama tofauti kati ya gharama za kuwa na kampuni yenye shughuli nyingi ndani yake lakini sio zote zinafanyika na ile yenye shughuli moja au mbili? Na vipi kwenye suala zima la kulipia mapato TRA kwenye kampuni yenye shughuli nyingi na ile yenye shughuli labda moja tu?
Ni kweli nahitaji kufungua kampuni lakini before nahitaji kufahamu juu ya mambo hayo mawili.
Search JinaNdugu wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya kutengeneza furniture hapa kwetu Tanzania, anijuze .
-shukrani.
MkuuNdugu wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya kutengeneza furniture hapa kwetu Tanzania, anijuze .
-shukrani.