Mwl.RCT
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 13,542
- 18,547
Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakuu naomba kuelekekezwa namna ya kusajili kampuni na ikiwezekana nijue ina wez kunihharimu kiasi gani cha fedha.
Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa TanzaniaWakuu naomba kuelekekezwa namna ya kusajili kampuni na ikiwezekana nijue ina wez kunihharimu kiasi gani cha fedha.
Mkuu in mtaji kiasi gani angarau unafaa kuanzisha Microcredit companyZINGATIA HAYA UNAPOTAKA KUSAJILI KAMPUNI
1. Jina.
Unapotafuta jina jitahidi jina liwe linatamkika kirahisi ili isikusumbue katika marketing lakini kikubwa ni maana ya jina. Kuna maneno mengine ni matusi kwa lugha nyingine, hivyo jitahidi sana kufanya utafiti wa kina wa jina hilo.
2. Mtaji:
Maamuzi ya mtaji kiasi gani kiandikishwe ni ni jambo la msingi sana. Wengi hupenda kuweka mtaji mdogo ili kupunguza gharama za usajili na kodi, vema, lakini hicho kisiwe kigezo mama cha kukuamulia mtaji uwe kiasi gani. Tambua kwamba mtaji unawakilisha ukomo wa kuwajibika kwa kampuni katika wajibu wake.
3. Wanahisa:
Wanahisa mnatakiwa kuwa watu mnaofahamiana vema, wenye mrengo unaofanana na mnaelewana. Tofauti na hilo itasababisha kuchelewa kwa maamuzi muda wote na kuhatarisha ustawi wa biashara.
4. Uandishi wa katiba:
Ni hatari kutegemea mtu yeyote asiye na utaalam wala ujuzi wa kuandika katiba akuandikie. Kibaya zaidi wengine huandika wao wenyewe hata kama hana utaalam na uzoefu huo. Hata kwa wanasheria, si kila mwanasheria anaweza kukuandikia katiba iliyo standard.
Kitu kibaya zaidi watu hudhani kwamba unaweza kuchukua katiba yoyote na kubadili majina tu kisha ukaendelea na usajili. Hawaangalii mpangilio wa maneno na malengo, hawazingatii kama katiba ina vipengele vya kuruhusu mambo Fulani Fulani kufanyiwa mabadiliko,
Hawazingatii ni namna gani founders wanalindwa na katiba, na mengine mengi. Hivyo unashauriwa kuwatumia wataalam wenye uzoefu kufanya kazi hiyo.
Kwa huduma za uhakika na weledi katika masuala hayo yote, waone essence consult company limited.
Pia tunatoa usaidizi katika kusajili NGO, Huduma za kihasibu, kuandika michanganuo ya biashara, na usaidizi kwa wale wanaotaka kuanzisha taasisi za mikopo n.k Wasiliana nasi kwa namba 0768597186 au email
doricelucas21@gmail.com
Habari mkuu Singo na wataalum wengine ninaomba kufahamu business arrangement nzuri kama ninataka kuanzisha kiwanda kidogo cha product 1 mkoa A na kiwanda kidogo kingine cha product 2 mkoa B.Mtaji wa chini ni Milioni Moja, ila sikushauri usitumie mtaji huu,anzia hata na Million ,japo unaweza aza na mtaji mdogo baadae ukaongeza ,lakini memorandum and articles ya awali haitabadilika ila uta file special resolution pamoja na form ya kuongeza mtaji,kwa hiyo kujua au kuthibisha kwamba mtaji umeongezeka itakuwa kwa majibu ya barua ya official search inayotoka kwa msajili
Sole propiator ama businessname inasajiliwa kwa hela ndogo,hausishi kuandaa memorandum and articles ambayo kama mtaalam atakuandalia itabidi umlipe, pia huwasilisha mahesabu ya kila mwaka TRA yanayoandaliwa na muhasibu Faida za limited ni kwamba unaweza fanya shughuli mbalimbali kwa company moja ilimradi objectives zimeainishwa kwenye memorandum,pia kuna baadhi ya biashara ambayo huwezi kufanya bila kuwa limited company,company inahusika kama yenyewe kwa sababu company is legal person hivyo hata kama ni kufilisi zinafilisiwa mali za company na si za mtu ambazo hazija orodheshwa kama ni za company,pia hata kama ni mahakamani company inaweza mtumia mwanasheria kuiwakilisha wakati kwenye sole propriatorship mwenye biashara ndiyo huhusika zaidi.
Zaidi ya wapo kuna wataalam wengine humu wataongozea
Itafaa usajili Limited company ambayo ita ainisha shghuli zote za company.Hapo utakuwa na Uhuru wa kufanya biashara popote,Ila utatakiwa kuwa na leseni ya biashara na branch TIN kwa kila mkoa utakokuwa na hayo maduka au huduma.Habari mkuu Singo na wataalum wengine ninaomba kufahamu business arrangement nzuri kama ninataka kuanzisha kiwanda kidogo cha product 1 mkoa A na kiwanda kidogo kingine cha product 2 mkoa B.
Lakini pia ninataka kuanzisha Sales stores mkoa C, mkoa D na mkoa E. Hizi sales stores ninataja ziuze product zangu na related products za manufacturers wengine.
Je ni business arrangement gani inaweza kuleta ufanisi in terms of management, revenue,cost control, profitability na tax liability.
•Sole propieter or limited company?
•One business entity or a number of entities?
Ninatanguliza shukran
Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie.
Natanguliza shukrani zangu.
-------------------------------------
Mtaji wa mil 1 ni 177,200Gharama halisi n Tsh ngap ..?
Utawajulisha kwa kutumia special resolution ,kisha utafanyiwa assessment na kulipia kadri ya assessment itakavyokuwa.ahsante mkuu
Hv mtaji ukiongezeka itabidi ulakafanye tena usajiri..?
Mkuu nimechasajili jina na limekuwa approves. Nafanyaje ili nipate certificate ya kuonyesha jina limesajiliwa.Mkuu ni rahisi tu
Hatua ya kwanza ni kujisajiri kwa kufungua akaunti na Brela katika mfumo wa online ie. OBRS!
Baada ya kuwa na akaunti utaenda katika menu ambayo utachagua aina gani ya usajili utakao kama individual, partnership, company nk
Utapendekeza jina kipekee ambalo biashara/kampuni yako iitwe
Kwa Maelezo zaidi tembelea website ya brela
Kwa msaada usisite kutucheki au kuwasiliana katika barua pepe I consultbuzness@gmail.com
Karibu
Sent from my HUAWEI Y330-U11 using JamiiForums mobile app
Nimeelewa maana ya neno LimitedItafaa usajili Limited company ambayo ita ainisha shghuli zote za company.Hapo utakuwa na Uhuru wa kufanya biashara popote,Ila utatakiwa kuwa na leseni ya biashara na branch TIN kwa kila mkoa utakokuwa na hayo maduka au huduma.
Sole proprietorship haitafaa kwa sababu eneo la ilipo biashara huandikwa kwenye Extract from registrar ambayo hutolewa pamoja na Certificate of registration,hivyo hutoweza kutumia hiyo business name kupatia leseni za biashara mikoa tofauti tofauti.
Ila limited company inaweza miliki majina ya biashara zaidi ya moja ambazo zinafanyika maeneo tofauti tofauti na biashara tofauti tofauti.
Asante mpendwa