Habari za muda wana JF,
Binafsi ninataka kusajili blog inayotoa elimu kuhusu biashara. Nikaenda TCRA kwa ajili ya kusajili, nikajibiwa hadi niwe na kampuni ndio naweza sajili blog na sio mtu binafsi. Pia ninatakiwa kulipia tsh 1000,000 kila mwaka kwa ajili ya leseni.
Sasa nikawa najiuliza kusajili blog tu Hadi nikufungue kampuni! Na kila mwaka nilipie 1M, Nimeshangaa Sana, yaani hizi sera zinatufelisha Sana.
Binafsi ninataka kusajili blog inayotoa elimu kuhusu biashara. Nikaenda TCRA kwa ajili ya kusajili, nikajibiwa hadi niwe na kampuni ndio naweza sajili blog na sio mtu binafsi. Pia ninatakiwa kulipia tsh 1000,000 kila mwaka kwa ajili ya leseni.
Sasa nikawa najiuliza kusajili blog tu Hadi nikufungue kampuni! Na kila mwaka nilipie 1M, Nimeshangaa Sana, yaani hizi sera zinatufelisha Sana.