Hardbody
JF-Expert Member
- Jan 25, 2017
- 3,550
- 3,803
Yanaonekana tu vizuri Mkuu, hata majina ya Mafile yapo vile vile kama nilivoyaandika wakati nasave ila tu content hazipo ukifungua tu inakuandikia "file empty".... Sasa hapo sijui tatizo ni nini na wakati inaonesha kuwa kuna Space imetumika ya hayo mafile. Au itakuwa fakeHayo mafile hayaonekani? hayawezi hamishika? tafuta application inaitwa ULTRA ISO itakusaidia yapata!!...ukishindwa itumia nitafute!..