Hello guys..
Naombeni wataalamu wanionyeshe jinsi yakupima mashamba kwa kutumia Google Map kisha nipate picha kama hii inayo onekana hapa kwa ajili ya kuprint kisha nitoe copy nisave kwenye mkataba pia nisave online eneo la mashamba yangu kwa kutumia digital for future incase Of reference..
Naombeni wataalamu wanionyeshe jinsi yakupima mashamba kwa kutumia Google Map kisha nipate picha kama hii inayo onekana hapa kwa ajili ya kuprint kisha nitoe copy nisave kwenye mkataba pia nisave online eneo la mashamba yangu kwa kutumia digital for future incase Of reference..