Norshad
JF-Expert Member
- Jun 3, 2013
- 5,128
- 12,216
Hahaaah na Makinikia yasafishwa kwa Tui la naziWewe mwenyewe unaogeshwa na iliki na mdalasini
Hahaaah na Makinikia yasafishwa kwa Tui la naziWewe mwenyewe unaogeshwa na iliki na mdalasini
Kukadiria maji inategemea na aina ya mcheleAsante, ila nashuri muwe mnatuambia na uwiano wa maji kwa mchele
Hahahahha Tanga nouma sanaaTanga ina hazina, ukinusurika katika mapishi, utanasa kwenye mengine
Kukadiria maji inategemea na aina ya mchele
Sikuhz michele mingi ni fake inatumia maji mengi sana sasa hapo ni kukadiria tu na pia wengine hupenda wali uliotota na wengine hupenda wali mkavu mkavu so jitahid tu kukadiria maji kulingana na wali uupendao ww
Mimi nimejaribu....
Hahahah Ahsante mateMate umetisha.
Khaaaukimaliza hiyo samani, mfumo wa upumuaji utakuwa shakani
Karibu tena MissMmmh athante
Eeeeeh hvy hvy hujakosea mkuuG7v578v58 re r 8 3gb 8 3gb 5 huu u f
Muda wako tuunapatikana wapi mama, naihitaji hiyo shule ya mapishi
Wallah nachukua jiko.Hahhaahhah hapo unawaza Kula tu
Sasa weka na Chuzi nazi la samaki wa kupaka pembeni mboga ya majani na kipilipili
Ukimaliza shushia na juice fresh kidogo
-Mchele
-Karoti
-Hoho
-Iliki
-Njegere
-Kitunguu saum
-Tangawizi
-Nazi ya kukuna ni nzuri zaidi
-Chumvi
kwa kuongezea tuu, unaweza kuweka vipande vya nanasi wakati wa kupalilia, local ama zabibu kavu...
yaani hii post itanifanya nirudi home mapema
Sasa hivyo vipande vya nanasi wali si utakuwa na sukari sukari .......
HahahaWallah nachukua jiko.