Greataziz
Senior Member
- Feb 8, 2018
- 124
- 99
Hahahahahaha kumbe ni maswala ya wana ndoaHahaha, siwezi kupika mm wakat yeye yupo ni jukumu lake kunipikia nionje hayo mambo
Hahahahahaha kumbe ni maswala ya wana ndoaHahaha, siwezi kupika mm wakat yeye yupo ni jukumu lake kunipikia nionje hayo mambo
jaman we Kuna cku nlitaka kupika ukasema hupend hzo unataka zle za sukari tuMmh wewe unawadanganya wenzio, mbona hujawahi kupikia mm, au huwa unapika wapi hayo makitu. Maelezo tafadhali
Asante Chef hapa nataka niki master vema nije na picha kabisa ili nisikuangushe mwalimu maana nilizopika first time zilikuwa poa kuliwa ila hazikufaa kupostiwa 😀😀😀😀 ila nilifanikisha kwa kufata njia za hapo juu chef wangu kuna siku nikizipatia ile kisawa sawa mtaona mrejesho wa picha kabisa hapa
jaman we Kuna cku nlitaka kupika ukasema hupend hzo unataka zle za sukari tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Bila Shaka itakuwa ukipika zkagandana Kama ugali nunua chujio kubwa lile la chuma wakat wa kuchemsha tambi hakikisha znalainika kiasi Yan ukitafuna znakuwa zna nata kweny meno kdgo Hapo unazimimina kweny hlo chujio ztoke maji badae ukizichanganya kweny rojo unazipika kwa Moto kdgo ili zsiungue na zlainike vzur uctumie mwiko kukoroga tambi tumia umaAsante Chef hapa nataka niki master vema nije na picha kabisa ili nisikuangushe mwalimu maana nilizopika first time zilikuwa poa kuliwa ila hazikufaa kupostiwa ila nilifanikisha kwa kufata njia za hapo juu chef wangu kuna siku nikizipatia ile kisawa sawa mtaona mrejesho wa picha kabisa hapa
SawaaaaaaUlitaka? Mi nilidhani ulipika alafu sikula, peka tuone na ntazipost hapa waone mwl kapatia au mzinguaji tu
Don't forget kuweka Kapicha.Let me cook Tambi when I reach my ghetto this the evening
Mimi nawekaga vyote bossMimi nimepika tambi zimekua kama ugali leo narudia tena ila ipi nzur niweke sukariii au chumvi et jaman
Ukipika za chumvi weka chumvi peke yake, ukipika za sukari basi na mboga yake iwe ya sukari hasa maharage, kuhusu kutoa tambi zilizonyooka weka maji kidogo yabaki ndani ya tambi kama wali uliotayari kubanikwa alafu weka moto mdogo ule wa kubanikia wali, kuongeza utamu tumia Nazi na iriki ila hata kama ni Nazi maji yawe Yale Yale kidogo, kingine kabla ya kupika tambi uwe unaziloweka na maji ya baridi dakika 10 mpaka 20 kuzifanya ziwe mbichi na ziwe rahisi kuzipika kwa mfumo wa kubanika au baking.Mimi nimepika tambi zimekua kama ugali leo narudia tena ila ipi nzur niweke sukariii au chumvi et jaman